Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
WAWATA = Wanawake Wakatoriki TanzaniaWAWATA (Wanawake Wakatiliki Tanzania)
Yani mfukoni mbongo teee, ni kukamuana tozo tu,Yawezekana kuna uhusiano hasi kati ya akili na madini. Nchi nyingi zenye madini hazina akili za kunufaika na hayo madini.Mwisho tunaishia kujiita matajiri lakini mfukoni teee!
Hili nalo mkalitizameRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassan amesema kuwa Tanzania ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu ameibariki neema nyingi sana.
Amesema hayo wakati akitoa hotuba yake kwenye hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya WAWATA (Wanawake Wakatiliki Tanzania) iliyofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 11, 2022.
“……Tanzania ni nchi nzuri. Tuna mambo mengi ya kujivunia, tunaweza kufanya biashara popote kupitia bandari ya Dar es salaam, tuna maziwa, mito na ardhi yenye rutuba kubwa. Tuna madini ambayo mengine hata hatujui majina yake. Tatizo ni namna gani ya kutumia” amesema Rais.
Rais amesema kuwa anayo matumaini makubwa kuwa kadri muda unavyokwenda, Tanzania itaweza kujisimamia vizuri pamoja na kuzitumia rasilimali hizi kwa ufanisi na manufaa makubwa kwa nchi.
"Neema ambayo MUNGU ameumba hapa duniani... Tuyatumie maumbile haya kwa maendeleo yetu.. Asanteni sana kwa kunisikiliza.. Kristuuuuu.. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Asanteni sana WAWATA.."“……Tanzania ni nchi nzuri. Tuna mambo mengi ya kujivunia, tunaweza kufanya biashara popote kupitia bandari ya Dar es salaam, tuna maziwa, mito na ardhi yenye rutuba kubwa. Tuna madini ambayo mengine hata hatujui majina yake. Tatizo ni namna gani ya kutumia” amesema Rais.
Wenzetu Botswana wana uzoefu kwenye masuala ya madini na wameendelea kwa kutumia rasilimali hiyo."Tatizo ni namna ya kuyatumia"
Hiyo kauli nayo ni tatizo, kwamba Rais anamaanisha Mungu ametupa "wajinga" madini ambayo hatujui namna ya kuyatumia ili kuliondoa hili taifa kwenye lindi la umaskini?
Nyerere aliwahi kutoa kauli inayofanana na hiyo miaka mingi iliyopita, akiwaasa wenzie huko CCM wayaache hayo madini mengi ardhini mpaka pale watanzania wakiwa na uwezo wa kuyachimba wenyewe, akapuuzwa.
Lakini, kauli kama hiyo inaporudiwa leo, zaidi ya miaka thelathini baadae inaonesha tatizo sio ujinga wa watanzania, bali tatizo ni ujinga wa viongozi wa CCM, hawa ni wabinafsi na walafi, muda wote wanawaza 10%.
Ndio maana wanasababisha taifa lisione faida ya kuwa na madini licha ya kuwa na wasomi wengi kuliko wakati ule Nyerere alipoitoa hiyo kauli kwa mara ya kwanza.
Sasa namshauri Rais wetu afuate ule ushauri wa Nyerere alioutoa miaka ile, kwamba, viongozi wa serikali ya CCM wayaache hayo madini yabaki ardhini mpaka pale ujinga wao utakapoondoka kwenye vichwa vyao, ili wasizidi kulitia hasara taifa.
Kwa miaka 60 hatujatumia rasilimali zetu kutuondolea umaskini .Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassan amesema kuwa Tanzania ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu ameibariki neema nyingi sana.
Amesema hayo wakati akitoa hotuba yake kwenye hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya WAWATA (Wanawake Wakatoliki Tanzania) iliyofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 11, 2022.
“……Tanzania ni nchi nzuri. Tuna mambo mengi ya kujivunia, tunaweza kufanya biashara popote kupitia bandari ya Dar es salaam, tuna maziwa, mito na ardhi yenye rutuba kubwa. Tuna madini ambayo mengine hata hatujui majina yake. Tatizo ni namna gani ya kutumia” amesema Rais.
Rais amesema kuwa anayo matumaini makubwa kuwa kadri muda unavyokwenda, Tanzania itaweza kujisimamia vizuri pamoja na kuzitumia rasilimali hizi kwa ufanisi na manufaa makubwa kwa nchi.
Mimi nimekuelewa mkuu..Mh Rais amemaanisha kuwa Sisi tu matajiri na utajiri wetu tunaweza kunufaika nao kupitia masoko yaliyopo nk.
Tuna madini mengi lakini tunategemea tozoRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suhulu Hassan amesema kuwa Tanzania ni nchi ambayo Mwenyezi Mungu ameibariki neema nyingi sana.
Amesema hayo wakati akitoa hotuba yake kwenye hafla ya maadhimisho ya miaka 50 ya WAWATA (Wanawake Wakatoliki Tanzania) iliyofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa, Septemba 11, 2022.
“……Tanzania ni nchi nzuri. Tuna mambo mengi ya kujivunia, tunaweza kufanya biashara popote kupitia bandari ya Dar es salaam, tuna maziwa, mito na ardhi yenye rutuba kubwa. Tuna madini ambayo mengine hata hatujui majina yake. Tatizo ni namna gani ya kutumia” amesema Rais.
Rais amesema kuwa anayo matumaini makubwa kuwa kadri muda unavyokwenda, Tanzania itaweza kujisimamia vizuri pamoja na kuzitumia rasilimali hizi kwa ufanisi na manufaa makubwa kwa nchi.
Nakuunga mkono kwa [emoji817]"Tatizo ni namna ya kuyatumia"
Hiyo kauli nayo ni tatizo, kwamba Rais anamaanisha Mungu ametupa "wajinga" madini ambayo hatujui namna ya kuyatumia ili kuliondoa hili taifa kwenye lindi la umaskini?
Nyerere aliwahi kutoa kauli inayofanana na hiyo miaka mingi iliyopita, akiwaasa wenzie huko CCM wayaache hayo madini mengi ardhini mpaka pale watanzania wakiwa na uwezo wa kuyachimba wenyewe, akapuuzwa.
Lakini, kauli kama hiyo inaporudiwa leo, zaidi ya miaka thelathini baadae inaonesha tatizo sio ujinga wa watanzania, bali tatizo ni ujinga wa viongozi wa CCM, hawa ni wabinafsi na walafi, muda wote wanawaza 10%.
Ndio maana wanasababisha taifa lisione faida ya kuwa na madini licha ya kuwa na wasomi wengi kuliko wakati ule Nyerere alipoitoa hiyo kauli kwa mara ya kwanza.
Sasa namshauri Rais wetu afuate ule ushauri wa Nyerere alioutoa miaka ile, kwamba, viongozi wa serikali ya CCM wayaache hayo madini yabaki ardhini mpaka pale ujinga wao utakapoondoka kwenye vichwa vyao, ili wasizidi kulitia hasara taifa.