Rais Samia teua Wakurugenzi, hawapo vituoni wote wamejazana Dodoma

Rais Samia teua Wakurugenzi, hawapo vituoni wote wamejazana Dodoma

Kiukweli mfano mdogo ni Maafisa Elimu Kata. Hawa watu wana mawanda mabana sana kwenye kusimamia shughuli za serikali

Uzoefu wao ni adimu sana na wanalijua namna ya kusimamia hasa miradi

Tatizo lauafisa Elimu Kata ni kukosekana kwa magodfather na watu watu wa kuwasemeasemea

Lakini serikali ikiwa makini Maafisa Elimu Kata ni recruiting post yoyote ya halmashauri

Hawa viongozi wana uwanda mpana kwenye maongozi, usimamizi wa miradi, nidhamu zilizotukuka kwenye utumishi wa Umma na uwezo Mkubwa wa kushawishi wananchi kwenye maendeleo
 
Kiukweli mfano mdogo ni Maafisa Elimu Kata. Hawa watu wana mawanda mabana sana kwenye kusimamia shughuli za serikali

Uzoefu wao ni adimu sana na wanalijua namna ya kusimamia hasa miradi

Tatizo lauafisa Elimu Kata ni kukosekana kwa magodfather na watu watu wa kuwasemeasemea

Lakini serikali ikiwa makini Maafisa Elimu Kata ni recruiting post yoyote ya halmashauri

Hawa viongozi wana uwanda mpana kwenye maongozi, usimamizi wa miradi, nidhamu zilizotukuka kwenye utumishi wa Umma na uwezo Mkubwa wa kushawishi wananchi kwenye maendeleo
Kwangu Sio hao tu, wako watumishi wa umma wengi wenye uwezo wa kuwa wakurugenzi kuliko wanasiasa walioshindwa ubunge kura za maoni
 
Wataje waliokwamisha fomu za wagombea ili mkeka usitoke kabla yakuwasukumia.
Mimi namkumbuka was Morogoro tayari ametumbuliwa.
Taja halmashauri zingine.
 
Wamekimbia vituo vyao, wamejazana Dodoma eti wanasema wanapigana ili warudi. Vituo vingi vinakaa bila watu, kazi hazifanyiki.

Wapo huko wanaingaikie teuzi
Mkuu naweza kubaliana na wewe kipindi ichi Cha teuzi watu hawalali, ila pia ni kipindi Cha watu kupiga na kupigwa pesa , msione mikeka inakuja na majina ya watu ,watu hubambana haswa ili kupata valid connection
 
Naunga mkono hoja. Nafikiri Sifa za Mtumishi kuwa MKURUGENZI WA HALMASHAURI NI LAZIMA AWE NA
1. ELIMU YA SHAHADA NA KUENDELEA
2. UZOEFU WA KAZI KATIKA NAFASI YA JUU (SENIOR POST) KWA MIAKA ISIYOPUNGUA 12. yaani toka aajiriwe km Afisa awe amefanya kazi kwa muda huo, hivyo lazima atakuwa na Cheo cha Afisa Mwandamizi Mkuu I au ii. Yaani ofisini tayari atakuwa Boss hivi wa Idara au kitengo. Au tayari ana heshima zake hapo. Ndio waliteuliwa kuwa Wakurugenzi na wengine MA-DAS pia. Pabakuwa hakuna lawama zozote.
Kitenfo kuteua kwa kigezo cha Chama tunaharibu mfumo kabisaaaaa. Ndio maana kwa CCM imejaa wanachama wenye malengo ya kunuifaika tu badala ya kukipenda Chama.
Mama taf aturejeshe kwenye utaratibu.
 
Naunga mkono hoja. Nafikiri Sifa za Mtumishi kuwa MKURUGENZI WA HALMASHAURI NI LAZIMA AWE NA
1. ELIMU YA SHAHADA NA KUENDELEA
2. UZOEFU WA KAZI KATIKA NAFASI YA JUU (SENIOR POST) KWA MIAKA ISIYOPUNGUA 12. yaani toka aajiriwe km Afisa awe amefanya kazi kwa muda huo, hivyo lazima atakuwa na Cheo cha Afisa Mwandamizi Mkuu I au ii. Yaani ofisini tayari atakuwa Boss hivi wa Idara au kitengo. Au tayari ana heshima zake hapo. Ndio waliteuliwa kuwa Wakurugenzi na wengine MA-DAS pia. Pabakuwa hakuna lawama zozote.
Kitenfo kuteua kwa kigezo cha Chama tunaharibu mfumo kabisaaaaa. Ndio maana kwa CCM imejaa wanachama wenye malengo ya kunuifaika tu badala ya kukipenda Chama.
Mama taf aturejeshe kwenye utaratibu.

E0NhMwdXIAAW0HL (1).jpeg
 
Naunga mkono hoja. Nafikiri Sifa za Mtumishi kuwa MKURUGENZI WA HALMASHAURI NI LAZIMA AWE NA
1. ELIMU YA SHAHADA NA KUENDELEA
2. UZOEFU WA KAZI KATIKA NAFASI YA JUU (SENIOR POST) KWA MIAKA ISIYOPUNGUA 12. yaani toka aajiriwe km Afisa awe amefanya kazi kwa muda huo, hivyo lazima atakuwa na Cheo cha Afisa Mwandamizi Mkuu I au ii. Yaani ofisini tayari atakuwa Boss hivi wa Idara au kitengo. Au tayari ana heshima zake hapo. Ndio waliteuliwa kuwa Wakurugenzi na wengine MA-DAS pia. Pabakuwa hakuna lawama zozote.
Kitenfo kuteua kwa kigezo cha Chama tunaharibu mfumo kabisaaaaa. Ndio maana kwa CCM imejaa wanachama wenye malengo ya kunuifaika tu badala ya kukipenda Chama.
Mama taf aturejeshe kwenye utaratibu.
Upo sahihi.
 
Msitupangie tutaendelea kuteua makada wa ccm walio sababisha ccm kuwa. Madarakani mpka leo wamepambana sana na kujitoa kwa ajili ya chama mpka kwa kura feck we unafanya mchezo
 
Hao ndio wanategemewa kumpitisha mama 2025....lazima mama ajipange haswa kuhakikisha anaweka watu wenye mtazamo wa support kwa mama
 
Pamoja na mamlaka ya Raisi kuteua wakurugenzi ni vema wakashindanishwa CV na ikiwezekana wafanyiwe usaili na tume (jopo) huru ili kuongeza ufanisi wa utendaji ktk ngazi hiyo ya uongozi..! Haya yanaweza kufanywa chini ya kapeti... Sisi wengine tutangaziwe majina tu tosha.
 
Afuate nyayo za mwendazake ,ateue toka kwenye kundi LA walio gombea mwaka jana
 
Back
Top Bottom