Rais Samia toa kauli zenye nguvu na zilizo bayana

Rais Samia toa kauli zenye nguvu na zilizo bayana

hahahah Mkuu pole leo kama Machinga wangetolewa nilikuwa nakuletea zawadi pale Azam .. pole kwa kukosa zawadi.

Kwenye hili la machinga wewe unasema hivyo kwakuwa huna la kupoteza kabisa, huna ndugu machinga wala hawakugusi wala kukunufaisha kwa lolote.

Kwa Samia yeye swala la machinga linamgusa sana na litamgusa kwa kila njia ambayo itatumika maana itakuwa na matokeo moja kwa moja kwake kuliko yeyote yule.

Rais Samia ujamuelewa kwakuwa wewe unataka aseme moja kwa moja kuwa hataki kuwaona kwenye hayo maeneo kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Rais Samia anajaribu kutaka kuonekana mwema na kila mtu ndio maana umeshindwa kumuelewa lakini kwa kauli yake iko wazi kuwa hawataki wamachinga uko mtaani na ameeleza wazi lakini anajificha ficha kwakuwa anaogopa kuonekana mbaya.

Rais anatakiwa kuwa na msimamo wa wazi kwenye kila jambo sio kukaa katikati kama anavyofanya Rais Samia.
Suala la msingi siyo kukosekana kauli thabiti isiyo na tafsiri zinazokinzana. Lazima tuelewe chimbuko la Umachinga. Hawakuota kama uyoga. Umachinga ni kielelezo cha 'bomu' linalokabili taifa letu - yaani ukosefu wa ajira kwa vijana. Bila kupatikana ufumbuzi wa tatizo hili mengine yote ni ngonjela tu; umachinga utaendelea kutamalaki. Na kweli "ukiwagusa tu utanuka".
 
Waboreshe kilimo kwa kukiongezea thamani. Hakutakuwa na machinga tena mjini. Mimi nasimama na machinga, maana ni dada, kaka,baba, na mama zetu. Wanatafuta mkate wao wa kila siku ili kukidhi mahitaji muhimu kwa familia zao. Kwa nature ya biashara zao unawatoa kuwapeleka wapi?
Serikali imeshindwa kuleta maendeleo kwa wananchi wake, na indicator moja wapo ni hilo la watu kukimbilia mijini kutafuta ugali.
Hata zile milioni hamsini walizowahi kuahidi, hakujawahi kutokea utekelezaji wake. Huenda zingesaidia kuboresha maisha ya raia huko vijijini na kupunguza wimbi la raia kukimbilia mijini.
Ukitaka kujua serikali imeshindwa, hata elimu zinazotolewa hazijasaidia watu kijikwamua kimaisha. Wasomi wengi leo ni madereva bodaboda na machinga. Leteni uwekezaji wa viwanda na makampuni kupunguza wimbi la kazi zisizo na kichwa.
Mwisho, hakuna kiongozi wa CCM anayesema ni kwa namna gani watapunguza wimbi la umaskini kwa wananchi wake. Zaidi, serikali iko kuwafanya wazidi kuwa maskini na matozo juu.
Njia iloyobaki ni CCM kupisha wengine, tujaribu vyama vipya na sera mpya.
Natoa rai, machinga komaeni kutetea ugali wenu. Otherwise, waje na way forward ambayo haitoathiri vipato vyenu.
Point
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Ni tatizo la kutaka pande zote za shilingi; halafu nimesoma akisema kuwa yeye hafokei watu, ila anatumia kalamu yake. nadhani huo siyo uongozi kwani kama hutoi maagizo thabiti bali unategemea mtu uliyemtuma alete unachotaka bila kumweleza ni nini unataka ama sivyo utamfuta kazi bila hata kumweleza kwa nini umemfuta, hilo ni tatizo.
 
Njia iloyobaki ni CCM kupisha wengine, tujaribu vyama vipya na sera mpya.

hapo ndipo tatizo lilipo; Chama gani kitakachopishwa na CCM iwapo vyama vyenwe ndiyo hivi. Hata kama CCM ingeendelea kuwa Madarakani, iwapo vyama vya upinzani vingekuwa na nguvu, haingefanya hayo yanayolalamikiwa. Zamani sana ilikuwa mtu akionekana na nguo za kijani za CCM anazomewa, leo hii hali siyo hivyo.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Mkuu, huna rais wa namna hiyo hapa.

Ni lazima awe 'vague' ili asionekane yeye ndiye mbaya kwa hao walengwa.

Magufuli pamoja na ubabe wake hakuthubutu hata kuwa 'vague', yeye moja kwa moja alitaka sifa zote kutoka kwa hao wafanya biashara.

Huyu mama anataka yeye asilaumiwe. Pakitokea watekelezaji wakafanya lisilowapendeza hao watu, mama mara moja anawaruka. Atasema yeye hakuagiza iwe hivyo. Na kwa upande wa pili, watekelezaji wasipofanya lolote la kuwaondoa hao watu, walalamikiwa watakuwa hao hao watendaji, na mtoa maagizo atawaruka kwa kusema walishindwa kutekeleza maagizo yake.

Viongozi wote dhaifu sifa yao kuu ni hiyo ya kuwa 'vague'; kuepuka lawama toka pande zote.

Hapa sioni chochote kikifanyika kubadilisha hali iliyopo sasa.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Wiki iliyopita niliweka Post nikimtaka Mkuu wa Mkoa asikwepe jukumu la kuwaondoa wamachinga, nilisema wazi hakuna mwenye uwezo wa kuwaondoa isipokuwa Rais peke yake, na nilikazia Mkuu wa Mkoa hawezi hasilani. Rais aliwajengea kiburi na wakajengeka na nikasema Makamu wa Rais na Waziri Mkuu hawathubutu kuongelea kuhusu wamachinga kwani liko juu ya uwezo wao, ni wazi Rais kuwaogopa wamachinga kunatia shaka.
Nilimalizia kwa kusema tarehe 13/09/2021 itapita na wamachinga watakuwapo na wataendelea kuwapo.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Pia awe muwazi kuhusu katiba mpya na asisingizie kwamba anashughulikia uchumi kwanza.
 
Unadhani yeye na chama chake hawapendi kura za machinga? Lazima waache kauli zinaelea hewani ili kesho likibuma wapate upenyo wa kutokea.
Huo ndio ukweri 100% ndugu zangu
 
Panya akikuuma huwa anakupuliza ili usisikie maumivu ukiamka nyama ya kisigino cha mguu haipo.

Machinga wajiandae kisaikolojia mama wa kambo si mama.
 
Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.

Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.

Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.

Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.

Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;

✓ Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.

✓ Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.

✓ Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.

======

Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Kwa hili ni sahihi ila kuwatoa pia kuendane pia na kuwapeleka sehemu ambazo zina nafuu na wao wapate chochote..

Hili tatizo limekuwa sugu hatari yaani kuendelea kumung'unya maneno hakutufikishi..

Labda pia tuje na wazo la biashara za ucku Ili wao wafanye biashara ucku asubuh wapishe wengine..

Mwisho watumie njia ya kuwatoza kodi na leseni mambo ya bure hakuna ,bora walipe leseni hata ya 100,000 kwa mwaka au miaka 2 .
 
Huu upuuzi ulidhibitiwa vizuri kipindi cha JK hadi wakawa wanajengewa masoko ila yule mwehu wa huko mapolini alivyokuja akaulea mpaka inaonekana as if ni utaratibu rasmi kwa maelezo eti ni wapiga kura wake..
 
Waboreshe kilimo kwa kukiongezea thamani. Hakutakuwa na machinga tena mjini. Mimi nasimama na machinga, maana ni dada, kaka,baba, na mama zetu. Wanatafuta mkate wao wa kila siku ili kukidhi mahitaji muhimu kwa familia zao. Kwa nature ya biashara zao unawatoa kuwapeleka wapi?
Serikali imeshindwa kuleta maendeleo kwa wananchi wake, na indicator moja wapo ni hilo la watu kukimbilia mijini kutafuta ugali.
Hata zile milioni hamsini walizowahi kuahidi, hakujawahi kutokea utekelezaji wake. Huenda zingesaidia kuboresha maisha ya raia huko vijijini na kupunguza wimbi la raia kukimbilia mijini.
Ukitaka kujua serikali imeshindwa, hata elimu zinazotolewa hazijasaidia watu kijikwamua kimaisha. Wasomi wengi leo ni madereva bodaboda na machinga. Leteni uwekezaji wa viwanda na makampuni kupunguza wimbi la kazi zisizo na kichwa.
Mwisho, hakuna kiongozi wa CCM anayesema ni kwa namna gani watapunguza wimbi la umaskini kwa wananchi wake. Zaidi, serikali iko kuwafanya wazidi kuwa maskini na matozo juu.
Njia iloyobaki ni CCM kupisha wengine, tujaribu vyama vipya na sera mpya.
Natoa rai, machinga komaeni kutetea ugali wenu. Otherwise, waje na way forward ambayo haitoathiri vipato vyenu.
Dawa ya nyie machinga bila kuwawekea kodi au leseni marufuku tena iwe sawa na wenye maduka tuu huwezi sepa
 
Dawa ya nyie machinga bila kuwawekea kodi au leseni marufuku tena iwe sawa na wenye maduka tuu huwezi sepa
Njooni na utatuzi wa kudumu ikiwa mnaona machinga hawachangii pato la taifa. Sio hizo ngonjera za majukwaani. Ukitaka kuona nguvu ya machinga, watimueni. Mimi nasubiri kuona hizo siku saba mlizotoa.
 
Back
Top Bottom