Mbona kaweka wazi. Wapangwe vizuri. Maana yake mbele ya frame za biashara nyingine wataondolewa, kwenye road reserves wataondolewa vibanda ambavyo vimejengwa bila vibali vitaondoka, watafutiwe sehemu mwafaka za kufanyia biashara zao. Kipi ambacho hakipo wazi hapo? Nyie mlitaka waswagwe tu kama mtu anaye swaga mifugo yake? Mbona hata mifugo ikiswagwa inakuwa na ulekeo ima inaenda kuchungwa, kupelekwa kwenye kunyweshwa maji, josho, mnadani, machinjioni au kurudishwa zizini. Yuko mwanadamu ambaye thamani yake ni chini ya mifugo?