Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
Sio afoke bali atoe maagizo yanayoeleweka. Kama sisi huku bado hatujamuelewa hao watendaji watatekeleza nini? Anasema "wamachinga wapangwe vyema" jiulize kuwapanga vyema ndio vipi wakati wanamaeneo rasmi tayari, ni ama atoe amri ya kuwaondoa au awaache sio kutoa maagizo yasiyoeleweka.Mnataka afoke foke kama yule kichaa aliyekuwa mtaani kwenu.
Mkuu Wamachinga lazima waondoke katikati ya miji yote nchini. Ni suala la muda tu.Kwa kauli hizi na hayo maagizo yakishindwa kutekelezeka watu wakimwona Mama yetu kama ni "dhaifu" watakuwa wanakosea au watakuwa sawa?
Na ndio maana ukianza habari za katiba wa warioba ni sawa na kuwashika makalio watakavyokushambulia!!Jamaa anahisi mbinu ni kusubiria kura za wamachingaπ !!! CCM ina mbinu nyingi mbadala ndio maana still iko madarakani
Hahahahah hawawezi kukuelewa! Ni sawa na kuchezea dumu la petrol jikoni π π πNa ndio maana ukianza habari za katiba wa warioba ni sawa na kuwashika makalio watakavyokushambulia!!
Maeneo rasmi kwenye barabara za gari na njia za waenda kwa miguu? Kama hamjamuelewa endeleeni na shughuli zenu ipo siku mtamuelewa.Sio afoke bali atoe maagizo yanayoeleweka. Kama sisi huku bado hatujamuelewa hao watendaji watatekeleza nini? Anasema "wamachinga wapangwe vyema" jiulize kuwapanga vyema ndio vipi wakati wanamaeneo rasmi tayari, ni ama atoe amri ya kuwaondoa au awaache sio kutoa maagizo yasiyoeleweka.
Hujanielewa, point yangu ni kwamba tayari wanamaeneo rasmi kwamba wakitolewa humo barabarani ndio wataenda huko sasa hii kauli ya kuwapanga vyema ina maana gani? Je ina maana kwamba wafunge mitaa kama alivyosema mkuu wa mkoa, wakae barabarani lakini isiwe karibu maduka au wawaelekeze barabara za kufanya biashara. Yeye anatakiwa aseme wamachinga waondolewe au wabaki lakini sio stori za kuwapanga vyema.Maeneo rasmi kwenye barabara za gari na njia za waenda kwa miguu? Kama hamjamuelewa endeleeni na shughuli zenu ipo siku mtamuelewa.
This is what we are talking about..Sio afoke bali atoe maagizo yanayoeleweka. Kama sisi huku bado hatujamuelewa hao watendaji watatekeleza nini? Anasema "wamachinga wapangwe vyema" jiulize kuwapanga vyema ndio vipi wakati wanamaeneo rasmi tayari, ni ama atoe amri ya kuwaondoa au awaache sio kutoa maagizo yasiyoeleweka.
True..vyama vya upinzani inabidi wajipange watengeneze watu aisee..CDM ya kina Slaa sio hii ya sasa,hii ya sasa imeparanganyika vibaya mno hata tukisema waingie ikulu itakuwa ni utani aisee.hapo ndipo tatizo lilipo; Chama gani kitakachopishwa na CCM iwapo vyama vyenwe ndiyo hivi. Hata kama CCM ingeendelea kuwa Madarakani, iwapo vyama vya upinzani vingekuwa na nguvu, haingefanya hayo yanayolalamikiwa. Zamani sana ilikuwa mtu akionekana na nguo za kijani za CCM anazomewa, leo hii hali siyo hivyo.
Kipindi cha Jk miji ilikuwa safi sana..Huu upuuzi ulidhibitiwa vizuri kipindi cha JK hadi wakawa wanajengewa masoko ila yule mwehu wa huko mapolini alivyokuja akaulea mpaka inaonekana as if ni utaratibu rasmi kwa maelezo eti ni wapiga kura wake..
Sasa si uwaeleweshe na wengine...Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.
Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.
Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.
Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.
Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;
β Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.
β Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.
β Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.
======
Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
Sio ngumu, serikali haina utashi. Maeneo rasmi yanayohitaji kuwaweka wamachinga ni machache. Wengi waliojaza umati wa machinga ni vibaka.Ishu ya machinga ni ngumu kuitatua.
Miji inanuka kupitia wamachinga. Mikojo inawekwa kwenye chupa za maji, vinyesi kwenye mifuko walio ondoa bidhaa.Ni ngumu ndio ila hatuna budi kufanya sasa hivi wakiachwa hivi na population inazidi kuongezeka hii nchi itakuwa kama jalala..
Najua kila mtu inabidi apeleke mkono kinywani lakini sio kwa kuvurugavuruga utaratibu hivi aisee..Barabara zinatengenezwa then zinaanza kuzibwa tena.
'vyama vyenyewe ndio hivi... ' , ni kauli potofu. CCM hakuanza kama ilivyo. Vyama vya upinzani vinateswa na serikali ya CCM visikuwe, lakini unaona, vyama vyenyewe ndio hivyo. Viongozi wa upinzani nyumba zao ni mahabusu, sebule zao ni mahakamani, lini watajenga vyama vyao? Viongozi wa CCM wanafanya mikutano na wananchi kila siku, wapinzani hata mikutano ya ndani hawaruhusiwi, wewe unaona vyama vyenyewe ndio hivyo. Ujinga wa watu wa aina yako ndio nguvu ya CCM kuendelea kudumaza maendeleo ya nchi hii.hapo ndipo tatizo lilipo; Chama gani kitakachopishwa na CCM iwapo vyama vyenwe ndiyo hivi. Hata kama CCM ingeendelea kuwa Madarakani, iwapo vyama vya upinzani vingekuwa na nguvu, haingefanya hayo yanayolalamikiwa. Zamani sana ilikuwa mtu akionekana na nguo za kijani za CCM anazomewa, leo hii hali siyo hivyo.
Kujenga uchumi ni swala endelevu, atafanya sehemu yake na ataondoka. Katiba inahitajika, japo ni mwiba wa samaki kwa CCM.Pia awe muwazi kuhusu katiba mpya na asisingizie kwamba anashughulikia uchumi kwanza.
Mama anangata na kupuliza kwa kauli hiyo legalege nani atakayekubali kuondoka kwa amaniNi vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili.
Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu hili saga la Wamachinga linaloendelea.
Ameonesha hafurahishwi na biashara hiyo inavyofanyika kiholela na inavyovuruga biashara zinazolipa kodi. Lakini aka sugar-coat maneno yake na sijajua ni intentionally au accidentally..Mhe.Rais amesema wapangwe na nguvu isitumike,watolewe kwa amani.
Kitu ambacho hakiwezekani kirahisi hivyo kwa hawa watu na pia kauli hiyo inawapa watekelezaji wakati mgumu na pia kauli hii haiwaandani Wamachinga kutoka sehemu hizo kwa haraka kwa kuhofia matumizi ya nguvu.
Mimi naona ilibidi aseme yafuatayo;
β Biashara holela ni marufuku nchini. Watu watafanya biashara kwenye maeneo rasmi tu.
β Walioko maeneo yasiyo rasmi kama vile kwenye road reserves,mbele ya fremu za biashara za watu wengine hawaruhusiwi kuendelea na biashara maeneo hayo.
β Maafisa wa mipango Miji na Majiji wataelekeza ni maeneo gani rasmi ya kufanya biashara na atakaye kaidi "NGUVU" zaidi itatumika..deadline iwekwe watu wajiandae kuhama.
======
Kauli yake ya leo bado itawapa watekelezaji wakati mgumu..Wamachinga hawa hawataondoka maeneo hayo bila nguvu kubwa kutumika kwa watakaokaidi.
www unafikiri wataondoka kirahisi hivyoMbona kaweka wazi. Wapangwe vizuri. Maana yake mbele ya frame za biashara nyingine wataondolewa, kwenye road reserves wataondolewa vibanda ambavyo vimejengwa bila vibali vitaondoka, watafutiwe sehemu mwafaka za kufanyia biashara zao. Kipi ambacho hakipo wazi hapo? Nyie mlitaka waswagwe tu kama mtu anaye swaga mifugo yake? Mbona hata mifugo ikiswagwa inakuwa na ulekeo ima inaenda kuchungwa, kupelekwa kwenye kunyweshwa maji, josho, mnadani, machinjioni au kurudishwa zizini. Yuko mwanadamu ambaye thamani yake ni chini ya mifugo?
www unafikiri wataondoka kirahisi hivyo