Rais Samia toa mwaliko kwa mabingwa wa nchi, Simba Sports Club kuja kupata Iftar ndani ya Ikulu

Rais Samia toa mwaliko kwa mabingwa wa nchi, Simba Sports Club kuja kupata Iftar ndani ya Ikulu

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Ahlan wa Sahlan

Je, huu sio muda sahihi kwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kutoa mwaliko kwa mabingwa wa soka nchini Tanzania, Simba sportive de club kujumuika nae katika Iftar ndani ya Ikulu hapo Dar es Salaam.

Heshima ambayo Klabu ya simba imeipagia na inazidi kuipatia nchi ya Tanzania kitaifa na kimataifa haielezeki!! Itahitaji zaidi ya mwaka mzima kuanza kuelezea mafanikio ya simba kimataifa.

Nembo ya visit Tanzania inazidi kupepea kimataifa. Simba imeuheshimisha uwanja (Estadio) de mkapa (aka lupaso) kuwa ni kaburi kwa kila hasimu wa Simba kimataifa.

Kwa taarifa za ndani kabisa kutoka ofisi ya takwimu katika CAF, pale Cairo inasema mechi ya Simba dhidi ya USGN imefatiliwa na zaidi ya watu bilioni 2 hapa duniani. Theluthi ya binadamu wote hapa ulimwenguni walikuwa macho kuitazama simba ikifanya maajabu yake hapo kwa Mkapa.
 
Waende Ikulu ya Dodoma, Dar hatutaki foleni
 
Ahlan wa Sahlan

Je, huu sio muda sahihi kwa Rais wa jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kutoa mwaliko kwa mabingwa wa soka nchini Tanzania, Simba sportive de club kujumuika nae katika Iftar ndani ya Ikulu hapo Dar es Salaam.

Heshima ambayo Klabu ya simba imeipagia na inazidi kuipatia nchi ya Tanzania kitaifa na kimataifa haielezeki!! Itahitaji zaidi ya mwaka mzima kuanza kuelezea mafanikio ya simba kimataifa.

Nembo ya visit Tanzania inazidi kupepea kimataifa. Simba imeuheshimisha uwanja (Estadio) de mkapa (aka lupaso) kuwa ni kaburi kwa kila hasimu wa Simba kimataifa.

Kwa taarifa za ndani kabisa kutoka ofisi ya takwimu katika CAF, pale Cairo inasema mechi ya Simba dhidi ya USGN imefatiliwa na zaidi ya watu bilioni 2 hapa duniani. Theluthi ya binadamu wote hapa ulimwenguni walikuwa macho kuitazama simba ikifanya maajabu yake hapo kwa Mkapa.
Sio bilioni 5?
 
Sasa Simba endelenibkujidangnay na Yule babu aliyeshika tochi alfu muombe mechi za usku na yanga alfu na ss tuje na tochi zetu
 
Back
Top Bottom