Rais Samia, tulikueleza mapema hawa CHADEMA sio wa kuwalegezea maana ni waganga njaa wasiojali maslahi ya taifa. Sasa mapema umeona madhara yao

Sa

ruhusu demokrasia nchini la sivyo utatoweka kwa aibu kama jpm.
 
Lete hio thread yako ikimuonya samia. Na je meko yuko wapi
 
kumbe ndio maaana.
ukimchekea nyani utavuna mabua.
mchelea mwana...............................
viongozi wetu wa chadema wamekosa sana ustaarabu, kwa kifupi sio wastaarabu ndio maana tunaonekana chama cha wahuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Keybord worries
 
Umemuuliza baba ,babu,shangazi ,mama ,mke,mume ,mtoto,mjomba na rafiki zako wakasema wanataka katiba mpya ?hii tabia ya kujumua fikra za watu wote inapaswa kubadilika
 
Kama pesa zote za ruzuku, za wafadhili kutoka Ujerumani,makato ya wabunge Kila mwezi na hawajajenga hata kijiofisi makao makuu ndo ujue Hawa wasaka shilingi,wakipewa chochote ili kuleta vurugu wako tayari.
 
Sijui hizi likes 14 umezipata wapi? Nadhani ni kwa wapumbavu wenzio. Anyway, kutawala wajinga raha sana. Ukifanya mazuri watakutetea, ukifanya vibaya watakutetea vilevile!!
 
Idugunde bwana unanifurahishaga Sana kamanda yaani wewe ni Moja ya watu akili kubwa hapa jamvini

Napendekeza JF wakupe u mods wa jukwaa la siasa maana unaweza limudu Kwa akili yako kubwa ya kuchambua mambo!
Hahahahaaaaaaaaa, wapumbavu hujuana kwa vilemba vyao! Yaani na wewe unamuona huyu kenge ni akili kubwa? Daaah!!!
 
Mimi nadhani kwamba Chadema ndiyo wanawatengeneza viongozi wetu kuwa na 'mkono wa chuma'
tatizo ni kwamba wanataka( siyo kutoa maoni/ushauri) Rais aliyepo madarakani wampe mwongozo wa nini afanye na nini asifanye. Sidhani kama duniani kote aliwahi kutokea kiongozi wa dizaini hiyo. Mama SSH alianza vizuri sana na ninyi lakini mnataka kumpeleka mnavyotaka. Natabiri kwamba mkiendelea hivyo atawashughulikia kwelikweli kwa mujibu wa sheria.
 
Hahahahaaaaaaaaa, wapumbavu hujuana kwa vilemba vyao! Yaani na wewe unamuona huyu kenge ni akili kubwa? Daaah!!!
hahaahaahaa mkuu hebu Soma hiyo comment Kwa jicho la tatu halafu fanya iwe kinyume chake nimetumia lugha ya picha tu kumbagaza huyo MATAGA!
😂😂😂😂😂😂🙌
 
Ukafilie kwa mbali umemkumbatia Jiwe huko jehànamu alipo
 
Yaan mboyoyo zoootee hiz ni issue ya katiba mpya 🤣🤣🤣🤣na hapo katiba ni kwaajil ya afya ya taifa na ustaw.
 
Ugoro mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…