Rais Samia: Tumeshalipia treni 19 za Umeme na mabehewa 89, Seti 10 za treni na mabehewa 80 kwaajili ya mizigo

Mama huyu ni jembe kwelikweli, Waliosema miradi itakwama wako wapi?
 
Wewe unapendekeza kipi kianze???
 
Wewe unapendekeza kipi kianze???
Hatuna sababu ya kulipa kesh katika mradi hauwanzi kesho,japo ni mzuri, mapedekezo yangu pesa ikawekezwe KWANZA katika Mambo ya msingi mfano umeme,maji wakati huo tunao mkataba nao ambao tunaendelea utekeleza taratibu kadiri mradi wa reli unavyoenda,taifa hili bado maskin Sana mkuu
 
Wonderful Madame Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…