Pre GE2025 Rais Samia: Tunaelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nileteeni Watu wazuri ili nikishusha Mahela yatumike vizuri

Pre GE2025 Rais Samia: Tunaelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, nileteeni Watu wazuri ili nikishusha Mahela yatumike vizuri

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Black Butterfly

Senior Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
130
Reaction score
368

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
 
View attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
Kwani pesa ni za kwake?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
View attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
Huyo mama ameanza ubaguzi kama mtangulizi wake Mwendazake.................

Nimemsikia Kwa masikio yangu akiwaambia wale wananchi wa Dumila, kuwa wamchagulie viongozi wa serikali ya mitaa toka chama Tawala Cha CCM, akaendelea akisema iwapo watamchagulia viongozi wengine toka vyama vya upinzani, basi wajue kuwa maendeleo watayasikia Kwenye Bomba tuu!😎
 
Huyu
Huyo mama ameanza ubaguzi kama mtangulizi wake Mwendazake.................

Nimemsikia Kwa masikio yangu akiwaambia wale wananchi wa Dumila, kuwa wamchagulie viongozi wa serikali ya mitaa toka chama Tawala Cha CCM, akaendelea akisema iwapo watamchagulia viongozi wengine toka vyama vya upinzani, basi wajue kuwa maendeleo watayasikia Kwenye Bomba tuu!😎
Mama akitoboa 2025 nitajisaidia uwanja wa mkapa
 
Huyo mama ameanza ubaguzi kama mtangulizi wake Mwendazake.................

Nimemsikia Kwa masikio yangu akiwaambia wale wananchi wa Dumila, kuwa wamchagulie viongozi wa serikali ya mitaa toka chama Tawala Cha CCM, akaendelea akisema iwapo watamchagulia viongozi wengine toka vyama vya upinzani, basi wajue kuwa maendeleo watayasikia Kwenye Bomba tuu!😎
Kiburi na dharau kwa walipa kodi.
 
View attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.

..ama hajui, au haheshimu sheria.

..lakini fedha alizotoa, ukachanganya na tamko lake, amekiuka sheria za uchaguzi.
 
Na viongozi wazuri na bora wenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo na fedha za maendeleo ni lazima watoke CCM tu.huko kwa wapinzani ni wababaishaji tu.angalia mtu kama Lissu aliwachangisha watu pesa ili anunue gari la kifahari kwa raha zake ,lakini mpaka sasa yupo kimya na hasemi pesa zimekwenda wapi na zilipatikana kiasi gani.

Wananchi nawasihi sana kuhakikisha mnachagua viongozi wa CCM katika ngazi zote.maana CCM itawaleteeni wagombea wazuri, waadilifu, wachapakazi,waaminifu na wazalendo.
 
Kamati za PETS vijijini zikiundwa kuanzia wakuu wa wilaya ,hukataa zisifanye kazi ni wapinzani
 
Na viongozi wazuri na bora wenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo na fedha za maendeleo ni lazima watoke CCM tu.huko kwa wapinzani ni wababaishaji tu.angalia mtu kama Lissu aliwachangisha watu pesa ili anunue gari la kifahari kwa raha zake ,lakini mpaka sasa yupo kimya na hasemi pesa zimekwenda wapi na zilipatikana kiasi gani.

Wananchi nawasihi sana kuhakikisha mnachagua viongozi wa CCM katika ngazi zote.maana CCM itawaleteeni wagombea wazuri, waadilifu, wachapakazi,waaminifu na wazalendo.
Ripot ya CAG ccm ishasema ilichukua hatua gani kwa waliopata hati chafu? Mapato na matumizi mnasomaga?
 
View attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
Amewataka wananchi kuchagua viongizi wazuri, kwani viongozi wanachaguliwa na wananchi au wahesabu kura?
 
Na viongozi wazuri na bora wenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo na fedha za maendeleo ni lazima watoke CCM tu.huko kwa wapinzani ni wababaishaji tu.angalia mtu kama Lissu aliwachangisha watu pesa ili anunue gari la kifahari kwa raha zake ,lakini mpaka sasa yupo kimya na hasemi pesa zimekwenda wapi na zilipatikana kiasi gani.

Wananchi nawasihi sana kuhakikisha mnachagua viongozi wa CCM katika ngazi zote.maana CCM itawaleteeni wagombea wazuri, waadilifu, wachapakazi,waaminifu na wazalendo.
Na kweli, na wahesabu kura wataamua matokeo yaweje kwenye hizo chaguzi za kishenzi.
 
Huyo mama ameanza ubaguzi kama mtangulizi wake Mwendazake.................

Nimemsikia Kwa masikio yangu akiwaambia wale wananchi wa Dumila, kuwa wamchagulie viongozi wa serikali ya mitaa toka chama Tawala Cha CCM, akaendelea akisema iwapo watamchagulia viongozi wengine toka vyama vya upinzani, basi wajue kuwa maendeleo watayasikia Kwenye Bomba tuu!😎
Sasaivi kila mtaa ni wao tu kuna maendeleo gani?
 
View attachment 3059831
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na wananchi wa Dumila mkoani Morogoro na kuwaunga kwa kununua nyanya, bamia, tangawizi, mahindi yeboyebo na vitu vingine vilivyokuwa vikiuzwa na wajasiliamali wadogo wadogo pamoja na kuwapatia shilingi milioni 20 kwa ajili ya genge lao.

Aidha Rais Samia amewataka wakazi hao kuchagua viongozi wazuri katika uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa ambao watamsaidia kuwafikishia maendeleo.
Kuna mwingine alinunua samaki alijadiliwa wiki nzima, mwingine akanunua mhindi ikawa balaa, haya matendo ni ya kawaida sana, muwe mnaandika wakinunua vilemba heleni na hata leso basi
 
Mbona uchaguzi ulio pita walipita wao tu je maendeleo mbona hayapo na je hao majizi ni wapi sasa na wametoka wapi Maana viongozi wote huku chini ni ccm sasa sijui anasema nini mama
 
Back
Top Bottom