Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,422
- 7,350
Mhe Rais pole na majukumu,kazi yako unaifanya vizuri Sana ,#MitanoTena
Sisi Wananchi wa Tanzania bara ,ukweli tumechoka na iki KIKIKOTOO cha ushuru WA kuingiza magari ,ushuru unazidi bei ya kununua gari ,mbona Zanzibar hawana ushuru WA kufuru namna hiyo
Tuna amini Kodi ikupungua watu wengi wataingiza magari na serikali itapata mapato makubwa ,
NB;Ushuru uwe kama Zanzibar Tu WA kuingiza magari bara
Sisi Wananchi wa Tanzania bara ,ukweli tumechoka na iki KIKIKOTOO cha ushuru WA kuingiza magari ,ushuru unazidi bei ya kununua gari ,mbona Zanzibar hawana ushuru WA kufuru namna hiyo
Tuna amini Kodi ikupungua watu wengi wataingiza magari na serikali itapata mapato makubwa ,
NB;Ushuru uwe kama Zanzibar Tu WA kuingiza magari bara