figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa, tunaomba apumzishwe ili kazi hii ya Sensa iende Vizuri. Hili ni Suala la Kitaifa si Swala la CCM. Kila mtanzania anatakiwa ashiriki hata asiyekuwa na chama.
Tutafute Mtu asimamie Sensa kwa Manufaa ya Nchi. Dk Chuwa tunamshukuru kwa muda wote aliofanya kazi NBS, apangiwe kazi nyingine. Tunafanya hivi kwa Manufaa ya Umma na Taifa kwa Ujumla.
Sheria ya Takwimu inaumiza sana Nchi. Pale NBS weka mtu mwenye uchungu na Nchi hadi hili jambo lipite ndo tuendelee na mambo ya Mazoea.
Mtakwimu huyu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, anadai eti tathmini iliyofanywa hivi karibuni na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini asilimia 97 ya Watanzania wako tayari kuhesabiwa. Na Rais Samia akaaminishwa hivyo. Wakati kuna Sehemu hata hawajui tarehe ni lini, Au hawajapewa hela ya kuzunguka nchi kutangaza au kutumia Mitandao ya kijamii?
Sifurahii kuona hii Sensa inaenda vibaya sababu ya watu wachache wanaotaka kumharibia Rais Samia aonekana anabeba watu.
Tunaomba Kamishina wa Sensa Anna Makinda, apewe mtu sahihi wa kufanya naye kazi, Makinda kajitengenezea heshima kubwa kwa muda mrefu, Msimchafulie CV yake.
Pia kama ameamua kufanya kazi na vyama vya Siasa, angeita vyama vyote akae navyo kuliko kushirikisha CCM tu na vyombo vyake vya habari
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa, tunaomba apumzishwe ili kazi hii ya Sensa iende Vizuri. Hili ni Suala la Kitaifa si Swala la CCM. Kila mtanzania anatakiwa ashiriki hata asiyekuwa na chama.
Tutafute Mtu asimamie Sensa kwa Manufaa ya Nchi. Dk Chuwa tunamshukuru kwa muda wote aliofanya kazi NBS, apangiwe kazi nyingine. Tunafanya hivi kwa Manufaa ya Umma na Taifa kwa Ujumla.
Sheria ya Takwimu inaumiza sana Nchi. Pale NBS weka mtu mwenye uchungu na Nchi hadi hili jambo lipite ndo tuendelee na mambo ya Mazoea.
Mtakwimu huyu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa, anadai eti tathmini iliyofanywa hivi karibuni na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imebaini asilimia 97 ya Watanzania wako tayari kuhesabiwa. Na Rais Samia akaaminishwa hivyo. Wakati kuna Sehemu hata hawajui tarehe ni lini, Au hawajapewa hela ya kuzunguka nchi kutangaza au kutumia Mitandao ya kijamii?
Sifurahii kuona hii Sensa inaenda vibaya sababu ya watu wachache wanaotaka kumharibia Rais Samia aonekana anabeba watu.
Tunaomba Kamishina wa Sensa Anna Makinda, apewe mtu sahihi wa kufanya naye kazi, Makinda kajitengenezea heshima kubwa kwa muda mrefu, Msimchafulie CV yake.
Pia kama ameamua kufanya kazi na vyama vya Siasa, angeita vyama vyote akae navyo kuliko kushirikisha CCM tu na vyombo vyake vya habari
Askofu Ammeus Bandekile Mwamakula dhidi ya Kashfa ya Sensa Mbeya
KASHFA YA KAZI YA SENSA MBEYA: UMMA UNASUBIRI KAULI YA KAMISHNA WA SENSA, UONGOZI WA JUU WA CCM NA SERIKALI. Mantiki (logic) inatutuma tutoe hitimisho hili: kama Katibu wa CCM wa Wilaya ya Mbeya Mjini alimuandikia barua Mtendaji wa Kata ya Ruanda kumtaka awape kazi ya Sensa vijana 10 wa CCM...
CCM acheni siasa kwenye suala la Sensa 2022
CCM imefika mahali wao kila kitu ni siasa. Nimeona watu wanapiga sana kelele sana kwenye mitandao kua uvccm ndo watafanya hili swala. Nimejiridhisha kwa [emoji817] % kuwa ndo wanapewa nafasi ya kufanya hili zoezi. Na hii ni baada ya Mimi mwenyewe ambaye Sina chama chochote nikamfata Mtendaji...
Sakata la Upendeleo wa Ajira za Sensa, BAVICHA yaweka Msimamo
Akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Makao Makuu ya Chadema, Nje ya Jiji la Dar es Salaam, Huko Kinondoni Mtaa wa Ufipa, Mwenyekiti wa Bavicha John Pambalu, Amesema kwamba Upendeleo wa Ajira za Makalani wa Sensa uliovujishwa na Wazalendo wa Mbeya upo Nchi nzima, kiasi cha kulitia Aibu...
Mkurugenzi Mkuu Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dk. Albina Chuwa