usiwapangie watu cha kusema kwani wakati tra wanapora hela za watu kwenye mabenki alikuwa 2nd incharge vipi kuhusu kubambikia watu kesi mama alikuwa headmistress? Kama huko kategua dhulmat hata huku hatashindwa halafu usinipangie namna za kudeka kwa mama yangu.Tume gani? Wakat hayo yakitokea yeye alikuwa Nani ? Alikuwa raia wa kawaida ? She was a highest commanding officer Kando ya Jiwe ...acheni uzwazwa
Kategua wapi?usiwapangie watu cha kusema kwani wakati tra wanapora hela za watu kwenye mabenki alikuwa 2nd incharge vipi kuhusu kubambikia watu kesi mama alikuwa headmistress? Kama huko kategua dhulmat hata huku hatashindwa halafu usinipangie namna za kudeka kwa mama yangu.
Hakuna haja ya tume mtekaji mkuu kashakufa. Over endelea kuenjoy bongo mkuuMh rais mama yetu mpendwa samia damu ya mtu haipotei bure tunaomba uunde tume ichunguze whereabouts za madhila ya hawa watu kiafrika na kimila itatufariji hata tukizika mifupa ya hawa watu unless tuambiwe tanzania kulitokea aliens abductions na ufo kipindi cha mwendazake. Mama kilio cha familia ya ben na azory sio kidogo hebu tuambie maana na wewe ni mama je wake zao waitwe wajane? Na watoto wao waitwe yatima?
Kampeni timeTume gani? Wakat hayo yakitokea yeye alikuwa Nani ? Alikuwa raia wa kawaida ? She was a highest commanding officer Kando ya Jiwe ...acheni uzwazwa
Ni kweli kabisa na aspounda tume hiyo ajue ikiundwa baadaye na yeye atachunguzwa na tume hiyo.Mh rais mama yetu mpendwa samia damu ya mtu haipotei bure tunaomba uunde tume ichunguze whereabouts za madhila ya hawa watu kiafrika na kimila itatufariji hata tukizika mifupa ya hawa watu unless tuambiwe tanzania kulitokea aliens abductions na ufo kipindi cha mwendazake. Mama kilio cha familia ya ben na azory sio kidogo hebu tuambie maana na wewe ni mama je wake zao waitwe wajane? Na watoto wao waitwe yatima?