Rais Samia tunasheherekea uhuru wa Tanganyika gizani? Hakuna umeme mitaani. Hii aibu

Rais Samia tunasheherekea uhuru wa Tanganyika gizani? Hakuna umeme mitaani. Hii aibu

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Leo watoto walitakiwa waone kwenye luninga historia ya taifa lao.

Lakini wewe na January mmekata umeme.

Kwa nini msituonee huruma japo hata kwa leo tu siku ya uhuru.

Watu wapo nyumbani wanahitaji kuangalia luninga na kujikumbusha na uhuru wa taifa lao
 
Kamata Bango la malalamiko yako na nenda kwa local office yako ya tanesco, sio kukimbilia humu, kwangu kuna umeme,maji safi, huduma safi za matibabu na nikipata mafua kidogo ni kuchota forex pale bank kuu na kukimbilia Mill Park med clinic,endelea kulalama humu JF
 
Kamata Bango la malalamiko yako na nenda kwa local office yako ya tanesco, sio kukimbilia humu, kwangu kuna umeme,maji safi, huduma safi za matibabu na nikipata mafua kidogo ni kuchota forex pale bank kuu na kukimbilia Mill Park med clinic,endelea kulalama humu JF
Unamjibu nani?
 
Leo watoto walitakiwa waone kwenye luninga historia ya taifa lao.

Lakini wewe na January mmekata umeme.

Kwa nini msituonee huruma japo hata kwa leo tu siku ya uhuru.

Watu wapo nyumbani wanahitaji kuangalia luninga na kujikumbusha na uhuru wa taifa lao
Malalamiko department hamkosi majungu series of complaining
 
Nchi inapiganiwa na umeme hukuwepo miaka iyo. Kua mvumilivu linafanyiwa kazi
 
Jf ni makalio ya mama yako? Mpaka unanipangia kuyachezea?
Inaonekana una depression, anger na hii sio salama kwa siha yako, kosa langu kukuambia ukweli kuwa fanya push back yako,sio kulalama humu kwenye soft landing, fight fight kama unaona ni haki yako kupata umeme, kinyume chake lalama humu
 
Nimecheka sana ,umemkomesha jamaa nyege zote zimeondoka na hawezi kushobokea watu hovyo tena.
Acha uzuzu, middle class wa kulalama humu kabla ya push back, mnalalama hadi viajira uchwara humu,if unaona na haki yako na huipati make a push back ili kuipata,JF ni jukwaa watu wanakuja na solutions sio kulalama tu
 
Acha uzuzu, middle class wa kulalama humu kabla ya push back, mnalalama hadi viajira uchwara humu,if unaona na haki yako na huipati make a push back ili kuipata,JF ni jukwaa watu wanakuja na solutions sio kulalama tu
Usipangie wanaume kuchezea makalio ya mama yako
 
Back
Top Bottom