Nadhani amekusikia. Hebu subiri kwanza tuone.Mhe. Rais sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025. Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala. Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Nani amsikie, Bibie keshalewa madaraka.Nadhani amekusikia. Hebu subiri kwanza tuone.
Unaweza kuwa ulimpigia kura rais SSH lakini huna uwezo wa kumshurutisha nini afanye na nini asifanye, ana miliki vyombo vyote vya dola na hafanyi kazi kwa kumsikiliza kila mtu mtaani anasema nini.Mhe. Rais sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025. Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala. Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Mhe. Rais sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025. Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala. Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Mama naye ni wale waleMhe. Rais, sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025.
Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala.
Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Endeleeni kutaka.Kitila amesema wale wanaotegemea huruma ya ccm hawajitambui.Mhe. Rais, sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025.
Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala.
Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Jisemee mwenyewe ikiwezekana na familia yako, wewe hujatumwa na Watanzania.Mhe. Rais, sisi wananchi kwa ujumla tunakuomba kwa heshima na taadhima iwe jua na iwe mvua tunataka Katiba Mpya kabla ya 2025.
Usemi kuwa wananchi wanataka elimu kwanza kuhusu Katiba Mpya usemi huo hauingii akilini mwetu tunataka Katiba kabla ya uchaguzi 2025 ili nchi iendelee kuwa na amani na CCM iendelee kutawala.
Achana na ushauri ambao kwa namna nyingine hauna tija kuwa kuwe na elimu kwanza. Mhe. Rais tunataka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi 2025.
Uchaguzi utafanyika ubaki unakodoa mimacho kodoNtawashanga watu wakishiriki uchaguzi
Ova