BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Natoa rai mtandao wa Starlink uwekwe Tanzania.
Watu wa vijijini tunateseka.
Asante!
Watu wa vijijini tunateseka.
Asante!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, she is the problem, serikali anayoongoza ndio wamezuia Licence for star links to operate, na sababu walizotoa doesn’t make any sense, you can tell hawajali wananchi zaidi ufisadi wao na maslahi ya wachacheKwani samia ndio ataleta starling huku bongo? Acheni uboya. Nyie ndio kila kitu mnaona rais ndio inatakiwa kufanya.
Kila mtu utamsikia, tunaomba rais samia atufanyie hiki, Kyle tunamwomba rais samia utufanyie kile...yaani kama hanna akili vile. Nonsense.
Hakuna mtu analilia ugali wa mtu, is a business na sio bure tutalipa with our own money, internet connection sio ushabiki ni huduma muhimu sana kama umeme tuu na maji, serikali wanatufanyia uhuni wa kipuuzi sana kwa kuzuia licence bila sababu ya msingiMtanzania analilia ugali wa ELon Musk , hama kweli wajinga ni wengi....Hkuna kitu kitabadilika hata iletwa ni ule ushabiki tu .
Hujafungiwa mziki na kuletewa wasanii huko mkate maunoooMtanzania analilia ugali wa ELon Musk , hama kweli wajinga ni wengi....Hkuna kitu kitabadilika hata iletwa ni ule ushabiki tu .
Unapenda ushabiki maandaziHakuna mtu analilia ugali wa mtu, is a business na sio bure tutalipa with our own money, internet connection sio ushabiki ni huduma muhimu sana kama umeme tuu na maji, serikali wanatufanyia uhuni wa kipuuzi sana kwa kuzuia licence bila sababu ya msingi
Mrangi mlivyokuwa malaya , kwanz wewe ni mtoto wa nje ya ndoa ...Yaani nyie ndiyo malaya tena mnatumika kama vocha , akili hamna kabisa.Hujafungiwa mziki na kuletewa wasanii huko mkate maunooo
Maana hilo ndilo jambo kubwa kwenu mnalolionaaa
Ova
Nmeitumia rwanda nawaona wana terezaaa hukoMrangi mlivyokuwa malaya , kwanz wewe ni mtoto wa nje ya ndoa ...Yaani nyie ndiyo malaya tena mnatumika kama vocha , akili hamna kabisa.
Hata hiyo starlink huijui ni zile shobo na ushamba wa kijijini kwenu.
Kumbuka remote iko Msoga na IgungaNatoa rai mtandao wa Starlink uwekwe Tanzania.
Watu wa vijijini tunateseka.
Asante!
Hakuna kitakachobadilika ni ushamba wako na kupenda mashindano ya kitoto ...Unakuwa na tabia za kike unapenda kujifananisha na kila mtu , tamaa hizo angalia .Nmeitumia rwanda nawaona wana terezaaa huko
We endelea kukata mauno tu
Ehe mziki wapi leo
Ova
Pole, nimekuambukiza maskini.Na mambo ya VPN yasiwepo, nimepata shida sana leo.
Haujui ulisemalo.Mtanzania analilia ugali wa ELon Musk , hama kweli wajinga ni wengi....Hkuna kitu kitabadilika hata iletwa ni ule ushabiki tu .