Rais Samia, tungependa kama ulivyokuwa mwepesi kutolea ufafanuzi suala la Ndugai, Kabudi na Lukuvi basi hata kuungua kwa Masoko kuwa pia mwepesi

Iliungua benki kuu mwaka 1984 sembuse soko la ilala!. Kuungua kwa majengo na masoko pengine ni uzembe wa wenye dhamana.

Pengine ni uzembe wa wiring iliyofanyika wakati wa ujenzi. Soko la Mbeya limeshaungua mara mbili, pengine ni uzembe wa mamlaka husika.
 
Gerson Msigwa ( Msemaji wa Serikali ) unateseka sana na GENTAMYCINE na kwakuwa Umejipendekeza Mwenyewe Kwangu nakuibia Siri sasa kuwa huna muda mrefu hapo unatolewa na anakuja Mtu mwingine ambaye ni Adui yako Kiutendaji na ulishawahi hata Kumtukana mwaka 2019 ulipokuwa na Kiburi na Jeuri ya kuwa chini ya Hayati 17 March, 2021.
 
Hawa waungwana wanatafuta mambo hasi yasiyo na maana ndio wanayaandikia uzi. Vitu vya maendeleo kama hivi kwenye chapisho lako wala hawawezi kuvifikiria.
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Yaani ungejua hata huyo Msigwa namuonaga tuu kwenye tv.

Kwani akitolewa wewe utafaidikaje au ndio utateuliwa? Wanaonifahamu.wanajua.mimi.hata sio Msigwa ila ni mfuatiliaji mzuri wa siasa na ni mfuasi mwaminifu wa Samia sio mwanachama wa Chama chochote mimi ..

Tunakutana na Samia kwenye sera za Uchumi sio ujinga wenu wa.siasa na.vyeo,huko paruaneni ila tuu msituharibie uchumi kama Mwendazake.
 
Naunga mkono hoja....tena atangaze mara moja Serikali kuwafidia na kuwawekea utaratibu wenye Afya siku za usoni...

Serikali iingie tu hasara ya kuwafidia kama sehemu ya msaada kwa watu wake au stimulus package kusaidia watu...
 
Ajali hutokea muda wowote
 
Hivi haya masoko hakuna walinzi moto unawakaje mpaka kukolea mlinzi asistuke na kuomba msaada, yani mpaka moto uteketeze mali hivyo
 
Nimeshangaa leo kusikia wale jamaa waliounguliwa bidhaa zao jana wameanza kujenga vibanda vyao navyo vimebomolewa na polisi usiku na pamewekwa ulinzi mkali kuzunguka lile eneo.

Huu ni ushetani wa hii awamu ya wapiga dili.
 
Naunga mkono hoja....tena atangaze mara moja Serikali kuwafidia na kuwawekea utaratibu wenye Afya siku za usoni...

Serikali iingie tu hasara ya kuwafidia kama sehemu ya msaada kwa watu wake au stimulus package kusaidia watu...

Kama alivyowafidia mwendazake watu wa kagera badae kimara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…