Betterment
Member
- Jan 31, 2023
- 21
- 14
Hivo mkuu.Poleni Sana. Uchumi mdogo.mama anadonoadonoa huku na kule. Japo hicho kidogo pokeeni. Chai 3000, mchana 3500 na usoiku 3,000 pesa kwisha. Bado ya bodaboda au nauli huko walikopanga nje ya chuo. Hali ni ngumu. Kuna binti namsomesha huwa nampa 300,000 ya matumizi. Dada itabidi niongeze mpaka 400,000 Kwa mwezi kujikimu.
🤩Dodoma ni fahari ya watanzania kama makao makuu ya nchi yetu.
Zuzu hana akili huyo toka atangaze kushusha bei ya luku nchi nzima kisha baada ya siku chache akaja kufuta nika proof kuwa zuzu ni zuzu kweli kweli ...kazi yake ni kutafuta sifa za kipumbafu tuFuatilia matangazo ya mbashara (moja kwa moja) kutoka Ikulu Chamwino jijini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe...
Huna lolote ambalo ungefanya bwehge wewe, acha kujimwambafaiIngekuwa enzi zetu tungekinukisha balaa
Sio wafanyakazi hao Bali ni Wanafunzi,300k Kwa mwezi kubwa sanaWANAVYUO wanaruka ruka kuongezewa sh 1,500/= Aisee njaa mbaya
Pesa kama hizi serikali anakopa kwa ku issue bonds kwahiyo sio issue sana kuzipataUnakopesha kama unazo.
Sasa sisi hatuna labda tukakope tuje kukopesha.
Genta popoma 🤣I'd namba ngapi Hii wataalam[emoji4]
Wanataka iPhone 14 pro max.. lazima wajiuze.. misingi ishaharibika .. kwanza kama kawatuma tu sasaKutokana na hali ngumu ya maisha kwa wanafunzi wengu vyuo na vyuo vikuu ilikua inapelekea wengi wao kujihusisha na vitendo vya udangaji na kubet...
Mmmmj😳😳😳😳😳😳Kwakweli Serikali ya DR. SSH Inagusa nyoyo za ss wananchi Ina focus fulani hivi tamu balaa na utekelezaji wake Ni faster faster, kila kinacho ongelewa tayari kinakuwa kimesha andaliwa modality yake ya utekelezaji. Mm na ndugu zangu tunasema hivii Kura yetu DR. SSH 2025 Unayo na kwaheshima yako kuanzia 2024 Kura Ni kijani mwanzo mwsho.
Kazi iendelee
Kwa nn emb tuelezeeSinza patakuwa Ushuhuda wa kweli
Wa NIT naye ameongezewa leo nimecheki account yake , wanafunzi wengine wahuni watakuwa bado wanapiga hela wazee wao wakati wemelipiwa ada yote maana wengi hawafahamu kama kuna nyongeza mpya mwaka huu kea wanafunzi wengi.Basi tuwaombee Ili aongozewe
Mungu ni Mwema🙏🙏🙏 Asante pia Kwako Allah Akuruzuku kadri ya Huwezo wake kwako. Maana umewapigania wadogo zetu.Wa NIT naye ameongezewa leo nimecheki account yake , wanafunzi wengine wahuni watakuwa bado wanapiga hela wazee wao wakati wemelipiwa ada yote maana wengi hawafahamu kama kuna nyongeza mpya mwaka huu kea wanafunzi wengi.View attachment 2521212
USA hakuna hizo Ajenda Mkuu unajaribu kuandika propaganda.Duniani kote vijana wanapitia wakati mgumu sana tena wale wa mavyuo na waliomaliza vyuo.
Kuna makala niliangalia jinsi vijana wa USA wanaosoma vyuo wakikosa pesa za kupata makazi ya chuo wakilala kwenye gari.
Sera ya vijana bado imefunikwa sio tz tu bali duniani kote
Yaani dodoma kuwa hq ya nchi sio kuwa ndio utaamka asubuhi utakutana na chakula mezani. Inabidi upigane na utoe jasho ama uumize akili. So hakuna kinachoongezeka ama kupungua. Kama ulikuwa unalipa Ada ya mwanao milioni mbili bado itaendelea kuwa iyo iyo 2mDodoma ni fahari ya watanzania kama makao makuu ya nchi yetu.
Zile 10kWa NIT naye ameongezewa leo nimecheki account yake , wanafunzi wengine wahuni watakuwa bado wanapiga hela wazee wao wakati wemelipiwa ada yote maana wengi hawafahamu kama kuna nyongeza mpya mwaka huu kea wanafunzi wengi.View attachment 2521212