MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Wasomi wa nchi hii hasa hii miaka ya karibuni ni wa ajabu sana sujui hata kama wana reason, ni hatari sana kuwa na wasomi wa aina hii ambao kureson ni tatizo.
Walipaswa kumbana Mama kuhusu gharama za vyakula, hio 10, 000/ ni sawa na tone Baharini, hakuna kitu hapo kama coast of living zitakuwa juu,
Nchi zingine Serikali huogopa vitu vikuu vitatu;
1. Maandamano ya kulalamikie bei ya vyakula, haya yanaogopwa kama ukoma.
2. Maandamano ya wanafunzi, haya pia ni aina ya maandamano yanayo ogopwa sana.
3.Maandamano ya Wakulima kudai vitu kama pembejea na sera zingine za kilimo.
Hivyo vitu vitatu huwa unaweza shangaa Serikali imepinduliwa.
Ila sasa kwa Bongo hilo halipo, make kama wasomi hata kureson ni shida haw come waingie mitaani.
Walipaswa kumbana Mama kuhusu gharama za vyakula, hio 10, 000/ ni sawa na tone Baharini, hakuna kitu hapo kama coast of living zitakuwa juu,
Nchi zingine Serikali huogopa vitu vikuu vitatu;
1. Maandamano ya kulalamikie bei ya vyakula, haya yanaogopwa kama ukoma.
2. Maandamano ya wanafunzi, haya pia ni aina ya maandamano yanayo ogopwa sana.
3.Maandamano ya Wakulima kudai vitu kama pembejea na sera zingine za kilimo.
Hivyo vitu vitatu huwa unaweza shangaa Serikali imepinduliwa.
Ila sasa kwa Bongo hilo halipo, make kama wasomi hata kureson ni shida haw come waingie mitaani.