Rais Samia: Tutaendeleza yale mazuri ya awamu ya 5

Rais Samia: Tutaendeleza yale mazuri ya awamu ya 5

Kumbe awamu ya tano ilikuwa na mabaya yake!.
 
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
Yaani wewe la maana uliloona ni mikutano ya vyama vya siasa? kweli? Mtu mzima na familia?!
 
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
Siwezi tupa neno lolote kwa mama ninaimani nae Sana
 
Mabaya ya awamu ya 5 ni yapi ambaye hutayaendeleza?
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
 
ndio, Katiba. yule jamaa hakufuata katiba, alikuwa yeye ndio katiba. Na pia mama ameunda tume ya watalamu kuhusu COVID ambayo jiwe alidai haipo, haidi ikamuua na yeye
Mama anasema yeye na jiwe ni kitu kimoja.
 
Umeamua kujipendekeza kwa mama upate teuzi by Askofu Konk
Mkuu Kama kusoma hujui ,atakuangalia picha unashindwa, ilo kongamano limeandaliwa kimkakati, na kiroho lipo kundi flani nyuma ya kongamano sema tu watu wanashindwa soma mchezo, huyo Konk wako anasema mwendazake katuacha wamoja, how, kusaka vyeo ,yeye kutokana na kauli zake vipi tukisema anatimika tu , so KWA watu wenye macho ya kiroho hawezi kuteka fikra zetu , atawateka watu wa aina yako
 
"Tutaendeleza mazuri"
Hapa anajua kuna mabaya yalikuwa yanatokea
 
Mama anasema yeye na jiwe ni kitu kimoja.
wametoka wote CCM ila hawawezi kuwa kitu kimoja, Mwinyi hakuwa sawa na Nyerere, Magufuli hakuwa sawa na Kikwete, Mkapa hakuwa sawa na Mwinyi. na kaonyesha mtazamo tofauti kuhusu sera za mambo ya nje, kodi, uwekezaji na hata Coviid na pia katamka hataki kufananishwa na Magufuli
Mama anasema yeye na jiwe ni kitu kimoja.
 
Pia amesema yeye na JPM ni kitu kimoja akimaanisha tuache kelele za kulinganisha kitu kimoja. Wote ni ccm, wanaongozwa na katiba ya ccm.

Nyumbu wamepoteza ramani mkuu, wengine wana fungua nyuzi kumponda eti hana degree, wengine ndio hawa ambao bado hawajielewi wana mkoti mama maneno nusunusu.

Ukimwambia aweke clip hapa tusikie utamtafuta na tochi humu.

Kifupi wamepoteza mwelekeo hawaelewi wanacho fany,mama kawachana live yeye na magu nikitu kimoja na ilani ya chama ipo mezani kwake.

Amini mkuu leo nyumbu wana lala na viatu.
 
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.

Kiswahili ni bahari. Kwamba ataendeleza mazuri - ina maana haendelezi kila kitu.

Kwamba atafanya maboresho? Ama!

Mama kaza hapo hapo. Mdogo mdogo tutaelewana tu.
 
Mama nakupenda jamani Rais wangu mpk nalia, hakika wewe ni chaguo la mungu kwetu kwa wakt sahihi, mataga mpooooooooo likiwakera nendeni chato.
 
Nyumbu wamepoteza ramani mkuu, wengine wana fungua nyuzi kumponda eti hana degree, wengine ndio hawa ambao bado hawajielewi wana mkoti mama maneno nusunusu.

Ukimwambia aweke clip hapa tusikie utamtafuta na tochi humu.

Kifupi wamepoteza mwelekeo hawaelewi wanacho fany,mama kawachana live yeye na magu nikitu kimoja na ilani ya chama ipo mezani kwake.

Amini mkuu leo nyumbu wana lala na viatu.
Wanacheza ngoma ya ccm.
 
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.

Mkuu unaharaka sana ya kuandika. Sijui hata kama huwa unaelewa. Tulia uone matendo
 
Mama Samia akihutubia Taifa ktk kongamano la kidini jijini Dodoma, amesema ataendeleza mazuri tu yaliyofanywa awamu ya 5. Sijui wale wapiga mapambio mpo?

Akaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa ataboresha haki, amani na demokrasia.

Wewe kidampa unayezuia mikutano ya kisiasa ya vyama vya upinzani ole wako.
Ataendeleza mazuri tu, aliyasema ni yapi au unashadidia tu! Pumbavu!!!
 
Back
Top Bottom