MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Bandiko la kisomi ila uhalisia kwenye ground ni tofauti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lengo kuu ni hilo la mitano tena!?? Tanzania tanzania nchi yangu kwishney!!Nimefarijika kuzijua changamoto za vijana wa Pwani kama ulivyoziainisha na kwa vile umeweka namba yako, utatafutwa ujumuishwe kwenye team ya mitano tena.
kivipi ndugu, ufafanuzi kidogo tuBandiko la kisomi ila uhalisia kwenye ground ni tofauti.
Mambo yote sasa ni hit single ya mitano tena, kikwazo pekee cha mitano tena ni HII kitu!.Lengo kuu ni hilo la mitano tena!?? Tanzania tanzania nchi yangu kwishney!!
Kazi kweli ipo!.Aisee kazi kweli kweli!
Asante kwa uchangiaji,Ingekuwa kura zetu zinaamua nani kiongozi, wangetusikiliza.
Ila kwa kauli zao mbele ya umma, ambazo ziko on record, ikiwemo
- Hata mumchague nani CCM itaunda serikali
- Sisi na wajuzi wa kuiba kura, na kutubu baadaye
- Kupita bila kupingwa ni jitihada zetu tulizofanyia porini
- Ushindi mlioupata hata sisi tumo (huku afande akiweka ishara ya kushikilia mtutu wa bunduki)
Kuna haja gani ya kutusikiliza?
As long as hakuna consequences zozote viongozi wanapata kwa kuziba masikio, hakuna kitu kitaenda. Mfumo wa demokrasia unategemea consequence iwe kwenye uchaguzi. Hilo wameweka kwapani.
Sasa ni mwendo wa kuomba hisani.