robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 762
- 1,236
Kwa mara nyingine tena tukubali kwamba Tanzania hatujaweza kuwa na mchujo wa kupata viongozi wenye busara. Busara hutokana na kuiga pamoja na uzoefu. Kwa mtu aliyeweza kuwa kiongozi wa nchi haistahili awe na mapungufu ya kiwango hiki. Yaani sasa rais ameamua kuja majukwaani na washangiliaji wenye nguo za kijani.
Rais anakuja kuhutubia mambo ya uchumi wa kitaifa akiwa na washangiliaji binfasi. Kwa ujumla rais Samia ameonesha udhaifu wake halisia ktk uongozi.
Baada ya Mh. Ndugai 'kumkosea'na baadaye akaomba msamaha wa wazi, imekuwa ni aibu kumuona rais wa nchi (siyo kijana mpiga mdundiko) akijitokeza na kuanza kujibu mapigo na kujigamba uwezo wake, na kutoa ahadi ya kuwaondoa watu madarakani.
Je, kwa tabia hii Samia anaamini ameonesha ushujaa? Kiuongozi, huku ni kupwaya! Ni kuonesha uwezo mdogo na washauri wake ni wa uwezo mdogo.
Rais anakuja kuhutubia mambo ya uchumi wa kitaifa akiwa na washangiliaji binfasi. Kwa ujumla rais Samia ameonesha udhaifu wake halisia ktk uongozi.
Baada ya Mh. Ndugai 'kumkosea'na baadaye akaomba msamaha wa wazi, imekuwa ni aibu kumuona rais wa nchi (siyo kijana mpiga mdundiko) akijitokeza na kuanza kujibu mapigo na kujigamba uwezo wake, na kutoa ahadi ya kuwaondoa watu madarakani.
Je, kwa tabia hii Samia anaamini ameonesha ushujaa? Kiuongozi, huku ni kupwaya! Ni kuonesha uwezo mdogo na washauri wake ni wa uwezo mdogo.