Rais Samia umedanganywa Mbowe alitoroka nchi ukakubali au umeamua kuruhusu utetezi wako kukosolewa?

"Maza Mizinguo" anazidi kujipambanua kuwa uwezo hana; hata ule wa kudanyanyia tu watu waone mashaka juu ya mtuhumiwa hana.

Hata kukubali tu kujitokeza na kushiriki kwenye mahojiano na chombo cha habari kama hicho na kujionyesha kiasi cha ufinyo alichonacho kiongozi wa nchi inahitaji kutokujielewa ukomo wa uhafifu wa uelewa wa mtu husika.
 
Kalee vilema vyako vya kichina wewe zuzu au GSM Hawajakukamulia ndimu
 
Serikali ina mkono mrefu na inajua jinsi ya kudeal na hawa janjajanja.
CCM ina inapendwa na watu wajinga - TWAWEZA.
Hiyo serikali iliyojaza wajinga, unaamini inaweza kuwa na mkono mrefu.

Serikali yetu is full of fools. Will be a great miracle for fools to lead a way to true development.

Very unfortunate to the nation blessed with everything but lacking visionary leadership!!
 
ngoja nikusaidie mtoto,..... Military - Wikipedia, sasa kama kingereza kugumu nitakutafsiria, hivi huko kwenu hamna watu wanaojielewa? hii nchi ni shida lakini tutawaelewesha kidogo kidogo. na wewe nisaidie hizo tovuti, inawezekana umeangalia tuu maandishi
 


Ruled?kinyume cha hii kauli ni mbowe hana kesi na hapa mkuu wa nnchi atakuwa kadanganya? What a had time to exist[emoji2307]
 
Wanasikitisha sana na hizi siasa chafu maana upinzani nao wangekuwa wameji organize ccm wasingechezea watu kiasi hichi. Maana lisu tu mwenyewe aliwanyoosha mpaka basi
 
Acheni siasa chafu nyie wekeni fair ground ya kushindana bila kufunga wapinzani wenu, upinzani uko mioyoni mwa watu sio mbaya
 

Mama wa kambo hajadanganywa, bali ni sehemu ya huo uongo. Lengo la uongo wa mama na serikali yake ni kukataa madai ya katiba mpya.
 

Kilaza umeshajifunza kuandika? Maana majizi mengi ya kura yana tatizo kwenye kuandika.
 
Mama hana jipya zaidi ya kulegeza macho na kula urojo....Salim Kikeke kaletwa kimkakati kapewa chake ndio maana hajamuhoji maswali,salim kaipaka BBC mavi kwa njaa zake
 
We Beatrice, kwanini wanawake hamuaminiani?

We umeona samia ni wakudanganywa tu.kwa kumuonaje?

Yeye na wewe nani anajua taarifa za nchi hii zaidi.
 
Tukutane baada ya hukumu..!!
 
we beatrice, kwanini wanawake hamuaminiani?

We umeona samia ni wakudanganywa tu.kwa kumuonaje?

Yeye na wewe nani anajua taarifa za nchi hii zaidi.
Kwenye hili kuna taarifa kadanganywa... mfano
1. Anakuwaje amejificha Nairobi wakati kama ameenda huko maana yake alipita mipakani kwa passport?
2. Washitakiwa wenzie Mbowe wanaotumikia kifungo ni akina nani?
3. Gaidi amewezaje kufanya mikutano aliyoifanya na hakukamatwa?
4. Gaidi alipewa salam za pole na Rais, hivyo hakutoroka na alikuwa msibani

Huoni kwa hayo tu kuna taarifa kaongopewa?

BTW, si suala la mwanamke BITE kumuamini mwanamke SAMIA..! la hasha.. Kwani wewe unayemuamini Samia, nawe ni mwanamke?

Samia anaweza asiwe wa kudanganywa, lakini katika hili la ugaidi, kaingizwa chaka na baadhi ya watu wake..!! Huoni yale majibu ya SINA UHAKIKA, NADHANI, etc..!! kwenye hili, neno nadhani halikutakiwa kuwepo..

Kujua taarifa za nchi hii haimaanishi kuwa huwezi Danganywa..!! Unakumbuka ile Ambulence JK alikataa kuikabidhi enzi zake akiwa Rais? SI unakumbuka alichomekewa mambo? Ndo ujuwe kujua mambo mengi siyo kinga ya kutodanganywa
 
Tz ina viongozi kweli kweli, mbona makubwa , aisee
 
Serikali ina mkono mrefu na inajua jinsi ya kudeal na hawa janjajanja.
Kwenye hili hakuna urefu wala ufupi wa mkono wa serikali...

Hapa kuna visasi, chuki, ujinga, upumbavu na atawala kukosa maarifa ya uongozi na utatuzi wa matatizo yanayoikabili nchi hii...!

Kwa ujinga wao wanadhani Freeman Mbowe na CHADEMA ndiyo kikwazo cha maendeleo ya nchi hii matokeo wana weka wazi (expose) ujinga na kukosa maarifa yao ya kiuongozi...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…