Rais Samia umenifurahisha kwa kuwapiga chini Kitila Mkumbo na Mwita Waitara

Rais Samia umenifurahisha kwa kuwapiga chini Kitila Mkumbo na Mwita Waitara

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
 
Kitila mswahili tu, not a result oriented person, ila Mh. Rais anajua kupatia kuchagua, kagonga mule mule, wale akina Waitara, Kitila, Mwambe, Job, piga chini, ilaaa ilaaaaa

Ilaaa ilaaaa, Jenista singependa kabisaa arudi, kabisaa

Alafu kapewa Utumishi, watu watalia balaaa, huyu hana kabisa kabisa moyo wa kuwawezesha watumishi. Shida juu ya shida huyu aisee
 
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Huko nako hawana nafasi kwakuwa walinyea Kambi, wakajiajiri kama ambavyo Wana sii hasa wanawashauri vijana wasio na ajira wakajiajiri🤸.
 
Kitila mswahili tu, not a result oriented person, ila Mh. Rais anajua kupatia kuchagua, kagonga mule mule, wale akina Waitara, Kitila, Mwambe, Job, piga chini, ilaaa ilaaaaa

Ilaaa ilaaaa, Jenista singependa kabisaa arudi, kabisaa

Alafu kapewa Utumishi, watu watalia balaaa, huyu hana kabisa kabisa moyo wa kuwawezesha watumishi. Shida juu ya shida huyu aisee
Huyu Jenista watu wamelia Sana mitandaoni. Mh Rais aliangalie kwa hicho la pili
 
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Zile story kuwa jamaa ni kutoka kitengo kumbe zilikuwa gia za kung'oa mademu?
 
Huyu Jenista watu wamelia Sana mitandaoni. Mh Rais aliangalie kwa hicho la pili

Jenista hapana aiseee.. Watumishi soon watamlilia Mh. Rais, huyo hapana kabisa, Mh. Rais waonee huruma watumishi wako.
 
Waitara ulevi ndio umemponza.
Mkumbo unafiki sijui utampeleka wapi.
Kwanza hakuna mtu aliyemchagua akamuwakilishe bungeni.
Come 2025 mkumbo atakua Hana wa kumbeba.
 
Huyu Mkumbo bure kabisa...amewatumia sana vijana baada ya ubunge kawakimbia
 
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Wivu tu unakutesa
 
Kiukweli professor alikuwa vizuri
Nafikiri ata to michango positive Sana pale bungeni
 
Huyo Mkumbo akafundishe.Ni mbunge wa Ubungo tangu apate Ubunge hajawahi kwenda kwa wapiga kura wake....mwaka 2025 lazima apigwe chini....akafie mbele.
 
IMG_20220107_143809.jpg
 
Mwita Waitara naye amekimbia ualimu akawa anadandadanda mara CHADEMA,mara CCM njaa ilimsumbua.

Naye 2025 lazima kura za maoni apigwe chini aende shule kufundisha
 
Huko nako hawana nafasi kwakuwa walinyea Kambi, wakajiajiri kama ambavyo Wana sii hasa wanawashauri vijana wasio na ajira wakajiajiri[emoji1732].
Waitara na Mkumbo ni wabunge hivyo usitegemee mtakula vumbi wote
 
Back
Top Bottom