Rais Samia umenifurahisha kwa kuwapiga chini Kitila Mkumbo na Mwita Waitara

Rais Samia umenifurahisha kwa kuwapiga chini Kitila Mkumbo na Mwita Waitara

Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Hahahaha . Kitila mkumbo alishawasaliti hata wanafunzi pale UDSM alipokuwa raisi. Alipeleka Nairobi wakati wenzake yanaendelea na kunjo.
Nilimsikia siku moja akiwa.viunga vya TBC anasema bado ana imani na ccm akiwa na magwanda ya CDM nikachoka sana.
Haikunishangaza alipohama
Msaliti huyo
 
Huyo Mkumbo akafundishe.Ni mbunge wa Ubungo tangu apate Ubunge hajawahi kwenda kwa wapiga kura wake....mwaka 2025 lazima apigwe chini....akafie mbele.
Hahaha . Kaishia kuweka mabango ya ofisi ya mbunge na ana ligali libovu limeandikwa mbunge wa ubungo
 
Yaani kambi nzima ya mwendazake chali... eti movement ya 2025 weeee...

Nawashauri waje tu tudai katiba...maana katiba hii washaonja utam wake.
 
Ukweli ni kwamba watabaki kwenye historia ya mawaziri na wabunge katika nchi hii. So it's not a big issue wataendelea kukumbukwa na kusomwa na vizazi vinavyokuja.
 
Waitara ulevi ndio umemponza.
Mkumbo unafiki sijui utampeleka wapi.
Kwanza hakuna mtu aliyemchagua akamuwakilishe bungeni.
Come 2025 mkumbo atakua Hana wa kumbeba.
Hahaha nna visa vyake vingi nishakutana navyo
Live huyu wait

Ova
 
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.

Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.

Demokrasia maana yake nini. Siasa ya kuingia kabla ya balehe ndo hii. Hao wanasiasa wote wako kimalengo. Chama Ni nafasi tu. So kua kwanza na acha kuchukia kishanba.
 
Kitila mswahili tu, not a result oriented person, ila Mh. Rais anajua kupatia kuchagua, kagonga mule mule, wale akina Waitara, Kitila, Mwambe, Job, piga chini, ilaaa ilaaaaa

Ilaaa ilaaaa, Jenista singependa kabisaa arudi, kabisaa

Alafu kapewa Utumishi, watu watalia balaaa, huyu hana kabisa kabisa moyo wa kuwawezesha watumishi. Shida juu ya shida huyu aisee
Jenista alimuua mme wake!!!! Amebaki anagawa uchi ovyo ovyo kwa wabunge
 
Back
Top Bottom