Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Hahahaha . Kitila mkumbo alishawasaliti hata wanafunzi pale UDSM alipokuwa raisi. Alipeleka Nairobi wakati wenzake yanaendelea na kunjo.Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.
Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Hahaha . Kaishia kuweka mabango ya ofisi ya mbunge na ana ligali libovu limeandikwa mbunge wa ubungoHuyo Mkumbo akafundishe.Ni mbunge wa Ubungo tangu apate Ubunge hajawahi kwenda kwa wapiga kura wake....mwaka 2025 lazima apigwe chini....akafie mbele.
Huyo Mkumbo akafundishe.Ni mbunge wa Ubungo tangu apate Ubunge hajawahi kwenda kwa wapiga kura wake....mwaka 2025 lazima apigwe chini....akafie mbele.
Hahaha nna visa vyake vingi nishakutana navyoWaitara ulevi ndio umemponza.
Mkumbo unafiki sijui utampeleka wapi.
Kwanza hakuna mtu aliyemchagua akamuwakilishe bungeni.
Come 2025 mkumbo atakua Hana wa kumbeba.
Tupe kimoja Cha kulaliaHahaha nna visa vyake vingi nishakutana navyo
Live huyu wait
Ova
Lakini hawarudi bungeni tena!Waitara na Mkumbo ni wabunge hivyo usitegemee mtakula vumbi wote
Hawa jamaa ni wanafiki kupita maelezo , kwanza walikua upinzani wakaamia CCM muda mfupi wakapata teuzi huku wafia chama wakiachwa.Hawa jamaa walibebwa na Hayati JPM.Binafsi umenifurahisha sana kwa kuwapiga chini.
Naomba kamati kuu ya CCM wasiwapitishe kugombea ubunge na hata udiwani, waache waisome namba warudi upinzani kama wamekasirika.
Jenista alimuua mme wake!!!! Amebaki anagawa uchi ovyo ovyo kwa wabungeKitila mswahili tu, not a result oriented person, ila Mh. Rais anajua kupatia kuchagua, kagonga mule mule, wale akina Waitara, Kitila, Mwambe, Job, piga chini, ilaaa ilaaaaa
Ilaaa ilaaaa, Jenista singependa kabisaa arudi, kabisaa
Alafu kapewa Utumishi, watu watalia balaaa, huyu hana kabisa kabisa moyo wa kuwawezesha watumishi. Shida juu ya shida huyu aisee
Mhhhh makubwaJenista alimuua mme wake!!!! Amebaki anagawa uchi ovyo ovyo kwa wabunge
Uwaziri ulikuwa unawapa garantii ya kurudi bungeni?Lakini hawarudi bungeni tena!
Ndo wanamalizia mhula wao
Wasirudi kwa sababu ipi?Lakini hawarudi bungeni tena!
Ndo wanamalizia mhula wao