Rais Samia, umerithi wasaidizi hivyo umerithi miiba pia

Rais Samia, umerithi wasaidizi hivyo umerithi miiba pia

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Kutokana na michezo ya kisiasa inavyoendelea nchini, sisi wananchi tunaona kabisaa wasaidizi ama washauri wa Rais wanamzunguka na wanahakikisha anaenda kuanguka kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Issues ambazo seems unazungukwa ni hizi hapa
  1. Wasaidizi uliohama nao kutoka Awamu ya Tano
  2. Katiba Mpya
  3. Ripoti ya ukaguzi wa CAG kuhusu ukwapuaji Bandarini
  4. Sheria ya Kodi 2021/2022 hasa kwenye Tozo za Miamala ya Simu
  5. Majanga ya moto yanayoendelea nchini
  6. Ushauri wa kisiasa
Wasaidizi wako wanatafuta turufu ya kuaminiwa na Chama kupeperusha bendera hapo 2025, humo wapo pia ambao walishawahi kuomba kupeperusha bendera nafasi ya Urais 2015. Wapo ambao mpaka leo wanaamini katika fitina za kisiasa ndiyo maana unaona kuna kundi kubwa mitandaoni linalojitoa ufahamu kuhakikisha wanafarakanisha uongozi wako dhidi ya Mtangulizi wako.

Mama Samia, shtuka mapema kabla mambo hayajaanza kwenda jojo.
 
Hafai wizara yoyote ili
Ni Mara kumi wizara ya fedha hataangepewa Hussein Bashe

Madelu amepita wizara nyingi na zote amegonganisha wananchi,wanasiasa na viongozi wa dini.HAFAI SI MSIKIVU,Anajifanya mzalendo kumbe amevaa ngozi ya chui
 
Kutokana na michezo ya kisiasa inavyoendelea nchini, sisi wananchi tunaona kabisaa wasaidizi ama washauri wa Rais wanamzunguka na wanahakikisha anaenda kuanguka kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Issues ambazo seems unazungukwa ni hizi hapa
  1. Wasaidizi uliohama nao kutoka Awamu ya Tano
  2. Katiba Mpya
  3. Ripoti ya ukaguzi wa CAG kuhusu ukwapuaji Bandarini
  4. Sheria ya Kodi 2021/2022 hasa kwenye Tozo za Miamala ya Simu
  5. Majanga ya moto yanayoendelea nchini
  6. Ushauri wa kisiasa
Wasaidizi wako wanatafuta turufu ya kuaminiwa na Chama kupeperusha bendera hapo 2025, humo wapo pia ambao walishawahi kuomba kupeperusha bendera nafasi ya Urais 2015. Wapo ambao mpaka leo wanaamini katika fitina za kisiasa ndiyo maana unaona kuna kundi kubwa mitandaoni linalojitoa ufahamu kuhakikisha wanafarakanisha uongozi wako dhidi ya Mtangulizi wako.

Mama Samia, shtuka mapema kabla mambo hayajaanza kwenda jojo.
Mkuu siyo miiba ni misumari!!!!
 
Kutokana na michezo ya kisiasa inavyoendelea nchini, sisi wananchi tunaona kabisaa wasaidizi ama washauri wa Rais wanamzunguka na wanahakikisha anaenda kuanguka kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Issues ambazo seems unazungukwa ni hizi hapa
  1. Wasaidizi uliohama nao kutoka Awamu ya Tano
  2. Katiba Mpya
  3. Ripoti ya ukaguzi wa CAG kuhusu ukwapuaji Bandarini
  4. Sheria ya Kodi 2021/2022 hasa kwenye Tozo za Miamala ya Simu
  5. Majanga ya moto yanayoendelea nchini
  6. Ushauri wa kisiasa
Wasaidizi wako wanatafuta turufu ya kuaminiwa na Chama kupeperusha bendera hapo 2025, humo wapo pia ambao walishawahi kuomba kupeperusha bendera nafasi ya Urais 2015. Wapo ambao mpaka leo wanaamini katika fitina za kisiasa ndiyo maana unaona kuna kundi kubwa mitandaoni linalojitoa ufahamu kuhakikisha wanafarakanisha uongozi wako dhidi ya Mtangulizi wako.

Mama Samia, shtuka mapema kabla mambo hayajaanza kwenda jojo.

Watanzania tuna mahaba ya kijinga sana. Sasa wewe Hapo inawezekana unampenda sana Mama Samia. Mimi sio inawezekana. Mimi nampenda Rais Wangu. Hata kama naishi Somalia huku. Pili. Inawezekana huna hayo mahaba ila una chuki za kijinga kwa JPM.

All two to score [emoji1][emoji1]. Ndio mana unahangaika kumfanya mama yetu awe kama alitokea sayari nyingine na akatua ghafla Tz na kuambiwa utakuwa Rais.

Mkuu Mama yetu mpendwa ndo kiongozi wetu na atahusika na sifa na Pia na malalamiko. Usimpe faraja za kitoto. Alikuwepo na Hapo Harithi chochote , anajua na anawajua.
 
Hafai wizara yoyote ili
Ni Mara kumi wizara ya fedha hataangepewa Hussein Bashe

Madelu amepita wizara nyingi na zote amegonganisha wananchi,wanasiasa na viongozi wa dini.HAFAI SI MSIKIVU,Anajifanya mzalendo kumbe amevaa ngozi ya chui
Uzalendo wake upo kwenye skafu
 
Hafai wizara yoyote ili
Ni Mara kumi wizara ya fedha hataangepewa Hussein Bashe

Madelu amepita wizara nyingi na zote amegonganisha wananchi,wanasiasa na viongozi wa dini.HAFAI SI MSIKIVU,Anajifanya mzalendo kumbe amevaa ngozi ya chui
Angepewa michezo
 
Yaani mleta uzi we ni boga, eti aliohama nao, kwani yeye Suluhu alikuwa wapi?

Si alikuwa Na.2 baada ya kipala? Sasa si walewale tu au unatarajia kuvuna tembele kwenye mwembe-kuku!

We ni kyuku!!
 
Kutokana na michezo ya kisiasa inavyoendelea nchini, sisi wananchi tunaona kabisaa wasaidizi ama washauri wa Rais wanamzunguka na wanahakikisha anaenda kuanguka kwenye uchaguzi mkuu 2025.

Issues ambazo seems unazungukwa ni hizi hapa
  1. Wasaidizi uliohama nao kutoka Awamu ya Tano
  2. Katiba Mpya
  3. Ripoti ya ukaguzi wa CAG kuhusu ukwapuaji Bandarini
  4. Sheria ya Kodi 2021/2022 hasa kwenye Tozo za Miamala ya Simu
  5. Majanga ya moto yanayoendelea nchini
  6. Ushauri wa kisiasa
Wasaidizi wako wanatafuta turufu ya kuaminiwa na Chama kupeperusha bendera hapo 2025, humo wapo pia ambao walishawahi kuomba kupeperusha bendera nafasi ya Urais 2015. Wapo ambao mpaka leo wanaamini katika fitina za kisiasa ndiyo maana unaona kuna kundi kubwa mitandaoni linalojitoa ufahamu kuhakikisha wanafarakanisha uongozi wako dhidi ya Mtangulizi wako.

Mama Samia, shtuka mapema kabla mambo hayajaanza kwenda jojo.
Hii ni awamu ya 5B.
 
Sio kweli ,

Rais baada ya kuingia ikulu tu alibadilisha timu nzima ya wasaidizi wake pale ikulu , kateua ma DC, RC's bado mkeka wa DED na DAS ,

Sasa hao wasaidizi unaowazungumzia wewe mleta mada ni kina nani.

Maamuzi yakishafanyika sidhani kama Kuna namna ya kujiondoa katika kuwajibika.
 
Watanzania tuna mahaba ya kijinga sana. Sasa wewe Hapo inawezekana unampenda sana Mama Samia. Mimi sio inawezekana. Mimi nampenda Rais Wangu. Hata kama naishi Somalia huku. Pili. Inawezekana huna hayo mahaba ila una chuki za kijinga kwa JPM.

All two to score [emoji1][emoji1]. Ndio mana unahangaika kumfanya mama yetu awe kama alitokea sayari nyingine na akatua ghafla Tz na kuambiwa utakuwa Rais.

Mkuu Mama yetu mpendwa ndo kiongozi wetu na atahusika na sifa na Pia na malalamiko. Usimpe faraja za kitoto. Alikuwepo na Hapo Harithi chochote , anajua na anawajua.
Baada ya kukurupuka kunijibu nakushauri rudia tena kusoma uzi wangu
 
Si alikuwa Na.2 baada ya kipala? Sasa si walewale tu au unatarajia kuvuna tembele kwenye mwembe-kuku!

20210719_033617.jpg
 
Hamna cha kurithi wasaidizi wala nini, hizo tozo za miamala ya simu hata yeye amezitaka ziwe hivyo ili akajenge barabara, msimtetee kijanja.
 
Awe makini sana...
Mama yetu Raisi SSH,siyo mgeni kabisa katika siasa za Tanzania,serikali za CCM na watawala wake.
Yeye amekuwepo bungeni,serikalini katika awamu tofauti kama mwakilishi,mbunge,waziri,makamu wa raisi hadi leo ni Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hana sababu ya kushindwa kuliongoza taifa letu tukufu.
Lakini hapakosi changamoto, wapo watakao taka kumfitinisha na wananchi kwani wafalisayo hawakosi.Ila akiwachekea atavuna mabua.
 
Back
Top Bottom