Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

digalangosha

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
1,572
Reaction score
2,286
Mtangulizi wake ambae ni JPM alikuwa anafurahia kusifiwa kwamba ataongezewa muda, lakini naona plans zake zilipishana na plans za mwenyezi Mungu.

Rais Samia naona na yeye kaanza kujitabilia kuongoza miaka tisa (9) mbele, bila kujua kama mwenyezi Mungu nae anazo plans pia.

Kwa tunaoamini katika Mungu aliye hai, tunasema majibu huwa ni hapa hapa.

664216033.jpg
273891672.jpg
64041410.jpg
 
Mtangulizi wake ambae ni JPM alikua anafurahia kusifiwa kwamba ataongezewa muda, lakini naona plans zake zilipishana na plans za mwenyezi Mungu.....

Rais Samia naona na yeye kaanza kujitabilia kuongoza miaka tisa (9) mbele, bila kujua kama mwenyezi Mungu nae anazo plans pia.....

Kwa tunaoamini katika Mungu aliye hai, tunasema majibu huwa ni hapa hapaView attachment 2159486View attachment 2159488View attachment 2159490
Hivi huyu mwehu Musiba ameshalipa pesa za Membe?
 
Mtangulizi wake ambae ni JPM alikua anafurahia kusifiwa kwamba ataongezewa muda, lakini naona plans zake zilipishana na plans za mwenyezi Mungu.....

Rais Samia naona na yeye kaanza kujitabilia kuongoza miaka tisa (9) mbele, bila kujua kama mwenyezi Mungu nae anazo plans pia.....

Kwa tunaoamini katika Mungu aliye hai, tunasema majibu huwa ni hapa hapaView attachment 2159486View attachment 2159488View attachment 2159490
Hivi ulishawah kumsikia JPM akisema anataka kuendelea kuwa madarakan ata kama akimaliza mda wake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimbiwa wewe na nani?

Ulimbiwa na nani?

Hao dogo na bimdashi ndio kina nani

Sio wote humu tunaishi uswahilini kama wewe , kuliko jaa majungu na mafumbo

USSR

haya subiri matusi
 
Huyo kipara kashindwa Tanesco kazi kunyoa kipara na kukunja shati kama anapigana vile
 
Leo nawaletea tena kituko kingine ambapo Samia amekiambia kile kikosi chake cha masuala yake ya demokrasia anayoitaka yeye kuwa yupo kwenye kiti cha urais hadi 2030.

Hivi vituko kwa sasa ni vingi sana na vinanichanganya kwa sababu ndugu zangu inajulikana kuwa mwaka 2025 kutakuwa na uchaguzi mkuu.Sasa Samia kajulia wapi sasa hivi kuwa atashinda uchaguzi huo?

Hiki kiburi cha hawa viongozi kuwaona Watanzania ni takataka wasiweza kuchambua mambo wanakitoa wapi?Nani kamwakikishia Samia kuwa atashinda katika uchaguzi mkuu wa 2025?

Tanzania tutaendelea kuwa na viongozi vichaa kama hawa wasiojali sheria zetu hadi lini?Samia ameshindwa hadi kupambana na bei ya mafuta ya kula halafu ghafla anawatangazia Watanzania kuwa yupo hadi 2030?

Sasa kama yupo hadi 2030 kama anavyodai kwa nini Serikali ijisumbue kutenga fedha nyingi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2025?
image9.jpg
 
Hapatakuwa na mpasuko wowote mkuu hii nchi ukiwafungulia watu mlango waweze kula watakupa chochote ulitakacho.

Mkuu love life live life huyo sijui damshi hiko kiti hakuwahi kuwaza kama atakuja kukalia ila ni ajali njiani, kama unafuatilia siasa na matukio ya nchi hii, kumbuka kuliwahi zuka rumours za mtu kutaka kujiuzuru.
 
Back
Top Bottom