Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

Leo nawaletea tena kituko kingine ambapo Samia amekiambia kile kikosi chake cha masuala yake ya demokrasia anayoitaka yeye kuwa yupo kwenye kiti cha urais hadi 2030.

Hivi vituko kwa sasa ni vingi sana na vinanichanganya kwa sababu ndugu zangu inajulikana kuwa mwaka 2025 kutakuwa na uchaguzi mkuu.Sasa Samia kajulia wapi sasa hivi kuwa atashinda uchaguzi huo?

Hiki kiburi cha hawa viongozi kuwaona Watanzania ni takataka wasiweza kuchambua mambo wanakitoa wapi?Nani kamwakikishia Samia kuwa atashinda katika uchaguzi mkuu wa 2025?

Tanzania tutaendelea kuwa na viongozi vichaa kama hawa wasiojali sheria zetu hadi lini?Samia ameshindwa hadi kupambana na bei ya mafuta ya kula halafu ghafla anawatangazia Watanzania kuwa yupo hadi 2030?

Sasa kama yupo hadi 2030 kama anavyodai kwa nini Serikali ijisumbue kutenga fedha nyingi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2025?
View attachment 2159514
Huyo hakubaliki ataa
 
Hapatakuwa na mpasuko wowote mkuu hii nchi ukiwafungulia watu mlango waweze kula watakupa chochote ulitakacho.

Mkuu love life live life huyo sijui damshi hiko kiti hakuwahi kuwaza kama atakuja kukalia ila ni ajali njiani, kama unafuatilia siasa na matukio ya nchi hii, kumbuka kuliwahi zuka rumours za mtu kutaka kujiuzuru.
Nakumbuka vyema...
 
Leo nawaletea tena kituko kingine ambapo Samia amekiambia kile kikosi chake cha masuala yake ya demokrasia anayoitaka yeye kuwa yupo kwenye kiti cha urais hadi 2030.

Hivi vituko kwa sasa ni vingi sana na vinanichanganya kwa sababu ndugu zangu inajulikana kuwa mwaka 2025 kutakuwa na uchaguzi mkuu.Sasa Samia kajulia wapi sasa hivi kuwa atashinda uchaguzi huo?

Hiki kiburi cha hawa viongozi kuwaona Watanzania ni takataka wasiweza kuchambua mambo wanakitoa wapi?Nani kamwakikishia Samia kuwa atashinda katika uchaguzi mkuu wa 2025?

Tanzania tutaendelea kuwa na viongozi vichaa kama hawa wasiojali sheria zetu hadi lini?Samia ameshindwa hadi kupambana na bei ya mafuta ya kula halafu ghafla anawatangazia Watanzania kuwa yupo hadi 2030?

Sasa kama yupo hadi 2030 kama anavyodai kwa nini Serikali ijisumbue kutenga fedha nyingi kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa 2025?
View attachment 2159514
Hahahaha...
Uvccm kesh atake asitake mpaka 2030.
 
Ulimbiwa wewe na nani?

Ulimbiwa na nani?

Hao dogo na bimdashi ndio kina nani

Sio wote humu tunaishi uswahilini kama wewe , kuliko jaa majungu na mafumbo

USSR
Nakufafanulia
1. Dogo ni Mh. Hussein Mkuranga uchumi wa buluu
2. Bimdashi ni Mh Hangaya Samia
Hayo mengine utajiongeza
 
Sio kituko ndio ukweli wenyewe, jitahidi tu kuuzoea
 
Au east Africa wamekosea kuandika! Bado Kuna mtu anaongea hbr hizi kweli! Uchaguzi umefanyika lini
 
Kama akiwa hai Inaweza ikatokea coz Watanzania ;
Screenshot_20220224-103530_Twitter.jpg
 
Mtangulizi wake ambae ni JPM alikuwa anafurahia kusifiwa kwamba ataongezewa muda, lakini naona plans zake zilipishana na plans za mwenyezi Mungu.

Rais Samia naona na yeye kaanza kujitabilia kuongoza miaka tisa (9) mbele, bila kujua kama mwenyezi Mungu nae anazo plans pia.

Kwa tunaoamini katika Mungu aliye hai, tunasema majibu huwa ni hapa hapa.

View attachment 2159486View attachment 2159488View attachment 2159490
Nje ya mada;
Hivi uchaguzi mkuu ni 2025 au ni 2026.
 
Duuh ila haya magazeti yalikua ni balaa , yaani kama jiwe amefariki akiwa na miaka 60+ ,ina maana angetawala miaka 40 basi angeacha urais akiwa na miaka 60+40=100.
Noma sana
Jiwe katukosea sana wagalatia. Laiti angefuata miongozo ya kujikinga na Corona kama kunawa mfululizo Barakoa nk.vHii nchi ilikuwa yetu hadi 2040 huko. 'Ucareless' wake umetucost. Hawa kina The Icebreaker Mlolongo Ritz Otterhound na Dalmine hadi iwe zamu yetu maaamaee ni 2050.

Wagalatia tumekwisha..
 
Guaranteed watu wanafursa za kula kwa urefu wa kamba zao basi tutarajie maajabu mengine.
 
Jiwe katukosea sana wagalatia. Laiti angefuata miongozo ya kujikinga na Corona kama kunawa mfululizo Barakoa nk.vHii nchi ilikuwa yetu hadi 2040 huko. 'Ucareless' wake umetucost. Hawa kina @icebreaker Mlolongo Ritz Otterhound na Dalmine hadi iwe zamu yetu maaamaee ni 2050.

Wagalatia tumekwisha..
Kwa maoni yangu mimi mkristo lakini wakitawala wakristo dhiki huwa inatawala sana, bora waendelee hawahawa, wakristo wana roho mbaya na makatili.
 
Back
Top Bottom