Rais Samia unakumbuka haya, naona umeanza tena kuhusu muda wa madaraka ya Urais

Huyo hakubaliki ataa
 
Nakumbuka vyema...
 
Hahahaha...
Uvccm kesh atake asitake mpaka 2030.
 
Atang'olewa kama yule mwenzake wa Malawi. Mwache aendelee kujishaua
 
Ulimbiwa wewe na nani?

Ulimbiwa na nani?

Hao dogo na bimdashi ndio kina nani

Sio wote humu tunaishi uswahilini kama wewe , kuliko jaa majungu na mafumbo

USSR
Nakufafanulia
1. Dogo ni Mh. Hussein Mkuranga uchumi wa buluu
2. Bimdashi ni Mh Hangaya Samia
Hayo mengine utajiongeza
 
Sio kituko ndio ukweli wenyewe, jitahidi tu kuuzoea
 
Au east Africa wamekosea kuandika! Bado Kuna mtu anaongea hbr hizi kweli! Uchaguzi umefanyika lini
 
Nje ya mada;
Hivi uchaguzi mkuu ni 2025 au ni 2026.
 
Duuh ila haya magazeti yalikua ni balaa , yaani kama jiwe amefariki akiwa na miaka 60+ ,ina maana angetawala miaka 40 basi angeacha urais akiwa na miaka 60+40=100.
Noma sana
Jiwe katukosea sana wagalatia. Laiti angefuata miongozo ya kujikinga na Corona kama kunawa mfululizo Barakoa nk.vHii nchi ilikuwa yetu hadi 2040 huko. 'Ucareless' wake umetucost. Hawa kina The Icebreaker Mlolongo Ritz Otterhound na Dalmine hadi iwe zamu yetu maaamaee ni 2050.

Wagalatia tumekwisha..
 
Guaranteed watu wanafursa za kula kwa urefu wa kamba zao basi tutarajie maajabu mengine.
 
Kwa maoni yangu mimi mkristo lakini wakitawala wakristo dhiki huwa inatawala sana, bora waendelee hawahawa, wakristo wana roho mbaya na makatili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…