Rais Samia unakwama wapi kuona ubabe haufai kwenye demokrasia kama ambavyo hauifai kwenye kukusanya kodi?

Rais Samia unakwama wapi kuona ubabe haufai kwenye demokrasia kama ambavyo hauifai kwenye kukusanya kodi?

This is a logical non sequitur fallacy.

Magufuli kuwakatalia na wao kutofurukuta (si kweli kwamba hawakufurukuta, watu walipinga) hakufanyi haki ya katiba kutokuwa haki ya katiba.

In fact, Magufuli kuwakatalia haki yao ya kikatiba na wao kutofurukuta siku zike ni sababu nzuri sana ya wao kutorudia kosa hilo hilo la kutofurukuta mara nyingine.

Ukikosea mara moja, hiyo si sababu ya kurudia kukosea nara nyingine.

Hiyo ni sababu ya kujizatiti usikosee mara nyingine.

Umetoa sababu kwa nini ni muhimu CHADEMA kukataa kurudi tena kwenye siasa kama za kipindi cha Magufuli.
Tarehe 23/09 walijaribu kupima kina cha maji kwa kuweka mguu. Nadhani matokeo unayakumbuka!!

Waambieni tu CHADEMA wabadili strategy yao ya upinzani. Wasidhani theory ya one size fits all itawasaidia. Walivyo deal na Jakaya Kikwette ndiyo walivyotaka ku-deal na Magufuli na ndivyo wana deal na Samia. Haya masiaasa ya majitaka ambayo vijana wao BAVICHA wanayafanya ndiyo yanasabaisha mkwamo huo.

Kwa nini wasiwe kama ACT? Kwani mpaka utukane ndiyo watu wakuelewe?

Halafu chama chenyewe kinachotaka utwala wa dola kina mwenyekiti mmoja tangu mwaka 2003?? Tuseme hakuna mwana CDM mwingine mwenye uwezo?
 
Tarehe 23/09 walijaribu kupima kina cha maji kwa kuweka mguu. Nadhani matokeo unayakumbuka!!

Waambieni tu CHADEMA wabadili strategy yao ya upinzani. Wasidhani theory ya one size fits all itawasaidia. Walivyo deal na Jakaya Kikwette ndiyo walivyotaka ku-deal na Magufuli na ndivyo wana deal na Samia. Haya masiaasa ya majitaka ambayo vijana wao BAVICHA wanayafanya ndiyo yanasabaisha mkwamo huo.

Kwa nini wasiwe kama ACT? Kwani mpaka utukane ndiyo watu wakuelewe?

Halafu chama chenyewe kinachotaka utwala wa dola kina mwenyekiti mmoja tangu mwaka 2003?? Tuseme hakuna mwana CDM mwingine mwenye uwezo?
Kwa nini unataka kuwapangia watu jinsi ya kutumia haki yao ya kikatiba na kiutu?

Hiyo ni haki yao, waachie waitumie wanavyotaka.
 
Kama ni haki kikatiba mbona Magufuli aliwakatalia na hawakufurukuta??
Na hata baada ya kujua kuwa Magufuli alifanya ushenzi kwa demokrasia yetu bado unatetea huo mfumo? Houoni kwamba wewe ni mtu asiye na haki wala akili?
 
Na hata baada ya kujua kuwa Magufuli alifanya ushenzi kwa demokrasia yetu bado unatetea huo mfumo? Houoni kwamba wewe ni mtu asiye na haki wala akili?
Samia amejitahidi kurekebisha mpaka kuunda Tume ya Haki Jinai, lakini manyumbu ya CDM yamekaidi
 
Ukicheka na nyani utavuna mabua
Viongozi wana wajibu wa kuheshimu utawala wa sheria, utawala bora, haki za kikatiba na za watu.

Wewe huelewi hayo mambo, umelelewa kwa kubwengwabwengwa, kubwengana ndicho kitu unachoelewa.

You are a primitive brute. A country bumpkin.

Tuna watu wengi kama wewe. Ndiyo maana hatuendelei.
 
Hivi majuzi Mheshimiwa Rais Samia amewataka maafisa wa TRA kuacha ubabe wanapofuatilia kodi kwa wananchi. Ni jambo jema.

Lakini nashindwa kuelewa kwanini Rais Samia haoni pia si vizuri kutumia ubabe kuzuia maandamano ya amani ya vyama vya siasa?

Pia soma: Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu
Yeye anahamasisha kukusanya kodi bila kuhamasisha kukomesha ruwa ,ufisadi na matumizi mabaya ya kidi anafikiri nani atamuelewa..
 
Nishatembea sana duniani na kurudi kijijini wala sina shida ya kuishi duniani kama mnyama. Nyie weusi huko hamna lolote zaidi ya kuendeleza utumwa.

Tulifukuza wakoloni kwa kutubagua, ila nyinyi mumewafuata huko huko kuwa physically and mentally enslaved. Huwezi kunifanganya kitu!!

Wesusi wenye fedha wanawekeza tunawaona, wewe una nini cha kukufanya usizoe uharo na makamasi ya viajuza?
Tengeneza internet yako ya weusi ya mabua kwanza halafu ndiyo tujadiliane humo utukane wakoloni.

Sasa wewe hapa unaleta habari za "baniani mbaya, kiatu chake dawa".

You are a public disease.

Nakupeleka ignore list sina muda wa kupoteza kujibizana na mla mavi kama wewe.

Kuanzia hapa sitaona chochote ulichoandika au utakachoandika.
 
Tengeneza internet yako ya weusi ya mabua kwanza halafu ndiyo tujadiliane humo utukane wakoloni.

Sasa wewe hapa unaleta habari za "baniani mbaya, kiatu chake dawa".

You are a public disease.

Nakupeleka ignore list sina muda wa kupoteza kujibizana na mla mavi kama wewe.

Kuanzia hapa sitaona chochote ulichoandika au utakachoandika.
Wewe mpumbavu kila mwaka unatangaza kumipeleka IGNORE list, lakini bado unashoboka kujibu post zangu.

Hebu niweke IGNORE list nami nipumzike kusoma ugoro
 
Tengeneza internet yako ya weusi ya mabua kwanza halafu ndiyo tujadiliane humo utukane wakoloni.

Sasa wewe hapa unaleta habari za "baniani mbaya, kiatu chake dawa".

You are a public disease.

Nakupeleka ignore list sina muda wa kupoteza kujibizana na mla mavi kama wewe.

Kuanzia hapa sitaona chochote ulichoandika au utakachoandika.
Naona umeyatimba kwa Stuxnet mpaka umeamua kumu block. Free speech iko wapi ?
 
Huwezi kuita usanii wakati akina Lissu wenyewe ndiyo wamekosa subira na kuanza kumporomoshea matusi Rais. Mtu kakutembelea hospitali Ubelgiji, kakuambia nini kifanyike ili urudi nyumbani. Kisha Lissu kaweka mlolongo wa mahitaji kama mafao yake ya ubunge, kufutiwa kesi za kubanbikizwa, hela ya matibabu nk.

Mama Samia kaaanza kutekeleza machache, na akiwa anatekeleza Lissu akipanda kwenye majukwaa ndiyo wa kwanza kumchafua mama kwa matusi!! Sasa mtu kama huyu unaendeleaje kumsaidia? Unaanzaje kuchunguza wauaji wake wakati mwenyewe anakudharau??
Wewe ungekuwa Lissu ungekuwa na subira?

1. Yeye alikuwa anafahamu pengine kabla yetu sisi kwamba kwa uhakika kabisa, serikali ndo ilihusika kutaka kumuuwa. Pamoja na hilo, serikali hii ilikataa kumlipia matibabu na stahiki zake na hata kule bungeni. Pia serikali ilikataa kumuhakikishia ulinzi.

2. Hakuna maridhiano yanayoweza kufanikiwa bila kuwa na ukweli. Kama unafahamu “Truth and reconciliation goes hand to hand”

4R ni uongo na usanii. Upigwe risasi 19, uteseke na kuponea kifo. Na maisha yako yamebadilika kabisa. Wewe ungeendelea kuvumilia pamoja na kunyimwa haki zako za kimsingi na hata kutaka kunyimwa haki ya kuishi?
 
Huwezi kuita usanii wakati akina Lissu wenyewe ndiyo wamekosa subira na kuanza kumporomoshea matusi Rais. Mtu kakutembelea hospitali Ubelgiji, kakuambia nini kifanyike ili urudi nyumbani. Kisha Lissu kaweka mlolongo wa mahitaji kama mafao yake ya ubunge, kufutiwa kesi za kubanbikizwa, hela ya matibabu nk.

Mama Samia kaaanza kutekeleza machache, na akiwa anatekeleza Lissu akipanda kwenye majukwaa ndiyo wa kwanza kumchafua mama kwa matusi!! Sasa mtu kama huyu unaendeleaje kumsaidia? Unaanzaje kuchunguza wauaji wake wakati mwenyewe anakudharau??
Acha kutupanga

Sasa angekosolewa kama jirani zetu wanachofanya ingekuwaje?

Ukiwa kiongozi utapokea mengi ni kujitahidi kuwa humble kwa unaowaongoza.

Kama kiongozi. Jipe muda wa kutafakari kwanza sio kujibu kwa hisia zako binafsi.

Awe anakumbuka anaongoza nchi sio familia. Busara Hekima na Upole ni njia sahihi.
 
Hivi majuzi Mheshimiwa Rais Samia amewataka maafisa wa TRA kuacha ubabe wanapofuatilia kodi kwa wananchi. Ni jambo jema.

Lakini nashindwa kuelewa kwanini Rais Samia haoni pia si vizuri kutumia ubabe kuzuia maandamano ya amani ya vyama vya siasa?

Pia soma: Rais Samia: Uchumi wetu unakua lakini tunachokusanya kingi kinaingia mifukoni kwa Watu
Maandamnobyadiyo ya amani hsyaruhusiwi.

Hivi umwambie akuwachie ufanye maandamano ambae kauli nbiu yako ya naandamno ni yeye aondoke nadarakani.


. Una akili sawa wewe?
 
Hahaha
Maandamnobyadiyo ya amani hsyaruhusiwi.

Hivi umwambie akuwachie ufanye maandamano ambae kauli nbiu yako ya naandamno ni yeye aondoke nadarakani.


. Una akili sawa wewe?
unadhani ile kauli mbiu ingemwondoa?
 
Wewe ungekuwa Lissu ungekuwa na subira?

1. Yeye alikuwa anafahamu pengine kabla yetu sisi kwamba kwa uhakika kabisa, serikali ndo ilihusika kutaka kumuuwa. Pamoja na hilo, serikali hii ilikataa kumlipia matibabu na stahiki zake na hata kule bungeni. Pia serikali ilikataa kumuhakikishia ulinzi.

2. Hakuna maridhiano yanayoweza kufanikiwa bila kuwa na ukweli. Kama unafahamu “Truth and reconciliation goes hand to hand”

4R ni uongo na usanii. Upigwe risasi 19, uteseke na kuponea kifo. Na maisha yako yamebadilika kabisa. Wewe ungeendelea kuvumilia pamoja na kunyimwa haki zako za kimsingi na hata kutaka kunyimwa haki ya kuishi?
Angemjibu hivyo Magufuli ningemuelewa, lakini kwa Samia kajiharibia sana.
Maandamnobyadiyo ya amani hsyaruhusiwi.

Hivi umwambie akuwachie ufanye maandamano ambae kauli nbiu yako ya naandamno ni yeye aondoke nadarakani.


. Una akili sawa wewe?

Hawa manyumbu wanaandika uchuro tu hata hawaelewi uongozi wa nchi ni nini!!. Mtu ana bango limeandika Samia Must Go, halafu anataka kuandamana
 
Angemjibu hivyo Magufuli ningemuelewa, lakini kwa Samia kajiharibia sana.


Hawa manyumbu wanaandika uchuro tu hata hawaelewi uongozi wa nchi ni nini!!. Mtu ana bango limeandika Samia Must Go, halafu anataka kuandamana
Hao ni kondoo tu.

Aliyewaita kondoo hajakosea,
 
Tarehe 23/09 walijaribu kupima kina cha maji kwa kuweka mguu. Nadhani matokeo unayakumbuka!!

Waambieni tu CHADEMA wabadili strategy yao ya upinzani. Wasidhani theory ya one size fits all itawasaidia. Walivyo deal na Jakaya Kikwette ndiyo walivyotaka ku-deal na Magufuli na ndivyo wana deal na Samia. Haya masiaasa ya majitaka ambayo vijana wao BAVICHA wanayafanya ndiyo yanasabaisha mkwamo huo.

Kwa nini wasiwe kama ACT? Kwani mpaka utukane ndiyo watu wakuelewe?

Halafu chama chenyewe kinachotaka utwala wa dola kina mwenyekiti mmoja tangu mwaka 2003?? Tuseme hakuna mwana CDM mwingine mwenye uwezo?
Mkuu kwa fikra modeli hii, ninashangaa jinsi ambavyo huwa unamshambulia mwendazake Magufuli kwa ukali sana.

Huoni kuwa watawala wa CCM lengo lao ni moja na njia yao hatimaye ni ileile. (ushindi ni lazima; kwa jasho na damu).

Basi bora angalau ungewashauri CHADEMA waachane kabisa na siasa za kupambania uongozi wa nchi BADALA ya kuwanasihi wawe kama ACT! Heri wafungashe virago na kila mmoja ashike hamsini zake kuliko kuwa hivyo unavyotaka.

Naamini wewe una uelewa wa kutosha kujua kuwa CHADEMA kamwe haiwezi kuwa kama ACT. Hakuna mwananchi atakayewaelewa wakiamua kuwa hivyo. Na ikitokea, hata wewe binafsi utaenda kuchekea chooni!
 
Mkuu kwa fikra modeli hii, ninashangaa jinsi ambavyo huwa unamshambulia mwendazake Magufuli kwa ukali sana.

Huoni kuwa watawala wa CCM lengo lao ni moja na njia yao hatimaye ni ileile. (ushindi ni lazima; kwa jasho na damu).

Basi bora angalau ungewashauri CHADEMA waachane kabisa na siasa za kupambania uongozi wa nchi BADALA ya kuwanasihi wawe kama ACT! Heri wafungashe virago na kila mmoja ashike hamsini zake kuliko kuwa hivyo unavyotaka.

Naamini wewe una uelewa wa kutosha kujua kuwa CHADEMA kamwe haiwezi kuwa kama ACT. Hakuna mwananchi atakayewaelewa wakiamua kuwa hivyo. Na ikitokea, hata wewe binafsi utaenda kuchekea chooni!
Kwa sababu CHADEMA ni mali ya Mbowe na mkwewe Edwin Mtei ndiyo maana haiwezi kuwa kama ACT
 
Back
Top Bottom