Ila wabongo mna nongwaaa nyie..!Kenya match zote za timu za taifa honeshwa bure .
uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure.
Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo
USSR
Unataka TBC1 yenye mchele mcheleKenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure.
Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo
USSR
Hahahah nilisemaNa watapigwa
Kenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure.
Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo
Soma Pia: DR Congo VS Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024
USSR
Ndiyo,Zinatakiwa hela. Ng'ombe shuruti akamuliwe hadi damu!
Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah, Uhakika Bro, mama anatosha, 5 mingine.
Ndiyo,
Dr.Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania mi5 tena ikulu bila mbambamba yoyote..
Na kama kawaida kama dawa, ataendelea kutoa zawadi ya mamilioni kwa goli la mama kwa mechi zote za kimataifa kwa vilabu vyetu nchini vinavyoshiriki mashindano ya kimataifa, Lakini zaidi sana mechi za timu ya Taifa zitakua live kupitia vituo vya utangazaji vya umma hususani tbc Taifa π
nchi nyingine ulizozitaja hazituhusu chochote kwenye masuala yetu ya ndani, na by the way hakuna cha kuiga wala kujifunza kutoka kwao hata kimoja kwasababu hawana furaha ni watu wa fujo tu, ulitaka watulizwe na nini gentleman?
Tanzania itaendelea kua nchi ya umoja, amani na utulivu daima bila kujali mihemko ya mtu yeyote moja, anaelalamikia na kufananisha mambo ya Tanzania na ya huko kwenye vurugu kila uchwao, hiyo ni useless π
zingatia ukweli wa maelezo muhimu,Ungekuwa umemtendea fadhila zaidi kumjibia kama majibu unayo.
Wana nzengi wanauliza:
"Rais Samia unaona sahihi mechi za soka za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za kulipia, uzalendo uko wapi?"
Kwenye bandiko lako, majibu yao yamo?
zingatia ukweli wa maelezo muhimu,
Kama Taifa ni lazima kua wazalendo hasa kwenye suala la kulipa kodi, hakuna haja kujificha kwenye mechi live , ambazo ukifungulia vituo vya habari vingi tu achilia mbali vya umma viko live na ni Free...
Hata hivyo,
Vipaumbele vya waTanzania ni pamoja na maji, afya, elimu, miundombinu, kilimo, biashara, ufugaji, uvuvi n.k na si vinginevyo gentleman π
TBC mechi ya Taifa Stars walikua live na vyombo vingine vingi tu nchini pia walikua live hicho cha kufananisha na huko kwa watu wa fujo na vurugu mie ndiko hasa ningependelea kupaelezea...Wana nzengo wanataka majibu yao, nje ya hapo yote uliyoandika ni ugoro kama mwingine tu ndugu.
Hili siyo la Rais Samia nadhani tuwalaumu TBC , Azam media wametuonyesha lakini nao ilitakiwa watafsiri kwa kiswahiliKenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure.
Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo
Soma Pia: DR Congo VS Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024
USSR