Rais Samia unaona sahihi mechi za soka za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za kulipia, uzalendo uko wapi?

Rais Samia unaona sahihi mechi za soka za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za kulipia, uzalendo uko wapi?

TBC mechi ya Taifa Stars walikua live na vyombo vingine vingi tu nchini pia walikua live hicho cha kufananisha na huko kwa watu wa fujo na vurugu mie ndiko hasa ningependelea kupaelezea...

vinginevyo,
mengine ni malalamiko yasiyo na tija kwa vitu bayana 🐒

Mkuu hii siyo personal wananzengo wanataka hili la timu zao liwepo rasmi kwenye television yao wanayoilipia kodi bure.

Kwamba wao ndiyo wenye nchi, awasikilize.

Au siyo hivyo ndugu yangu?
 
Kenya match zote za timu za taifa honeshwa bure, Uganda match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure.

Rwanda , Burundi na nk match zote za timu za taifa kuoneshwa kwenye channels za bure Tanzania hakuna kitu ni utapeli wa kizalendo

Soma Pia: DR Congo VS Tanzania | Qualification AFCON 2025 | Marty's Stadium | 10 Oktoba, 2024


USSR
Kila kitu kulalamikaa na kumsukumizia Saa 100......kulila mtu analalamika tu anzia Saa 100 hadi alie kindergarten khaa nchii hiiii
 
Hakuna haja ya kupoteza pesa za Bure timu yenyewe haina mvuto
 
Mkuu hii siyo personal wananzengo wanataka hili la timu zao liwepo rasmi kwenye television yao wanayoilipia kodi bure.

Kwamba wao ndiyo wenye nchi, awasikilize.

Au siyo hivyo ndugu yangu?
Mechi ilikua live TBC unless ulileta makasiriko yako hukutaka kuiskiza 🐒
 
Hapo walalamikiwe TBC wnyw, Mana h mechi walikuwa wana uwezo wa kuionyesha mana mechi kama hizi wao hawailipii kuonyesha tofauti na azam anayelipia kuonyesha h mechi
 
Mkuu wapi nilikataa haukuwapo au hata kuwa na makasiriko?

Rejea kuona nilichoandika kujiridhisha.
Zingatia ukweli wa maelezo yangu muhimu kwamba, Mechi ya Taifa Stars ilikua mubashara jana katika vyombo vya habari vya umma na visivyo vya umma, acha kubabaika 🐒
 
Zingatia ukweli wa maelezo yangu muhimu kwamba, Mechi ya Taifa Stars ilikua mubashara jana katika vyombo vya habari vya umma na visivyo vya umma, acha kubabaika 🐒

Zingatia maelezo yangu muhimu ndugu, haupo utaratibu rasmi kuonyesha mechi hizo, na hayo ni matakwa ya wananzengo.

Wapi umeona miye binafsi nikipiga kelele kuhusu mipira, mechi au ya namna hiyo?

Hukugundua miye nilifanya kuongezea sauti kwenye sauti zao?
 
TBC wa busy na chereko na jungu kuu

TBC ovyo
 
Back
Top Bottom