Pointi yangu ni kichanganya na sio kuokotezaUtaratibu wa kuokoteza watumishi nje ya utumishi usitishwe ili kurejesha hadhi ya utumishi wa umma
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema watu wenye tabia ya kuunga mkono kila wakati ni wasaka fursa na hawana msaada wowote katika nchi. Kipindi cha miaka mitano iliyopita tumeona tabia hii ya kusifia kila kitu ikikomaa na kufikia kiwango cha...www.jamiiforums.com
Ana masters UD ya Development Studies .....upo hapo anafanya phD sasaHivi huyu Nikki cv yake ikoje?
Umesema kweli tupuHakuna Rais hapo nchi ipo ipo tu Mungu atusaidie Watanzania.
ACHA JAZIBA!.Hilo la Kalist kupewa cheo ninalipinga kwa 100%. Kwanini? Kalist anapewa cheo sasa kama fadhila za kuunga mkono juhudi na sio kwa sababu ya utendaji wake kama meya wa Arusha. Kile kitendo kiliharibu mwenendo mzima wa utendaji wake, hapaswi kupewa cheo. Tukiendelea na hizi tabia tutaishia kuwa na nchi ya kinafiki sana.
Mama anajaribu kufuta Mwendazake mentality. Hao unaoita wenye uzoefu ndio wametufikisha hapa tulipoNinashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.
Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS, RC’s, RAS etc.
Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma, na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo, kilimo, Afya, Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.
Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi, uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.
Mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini. Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.
Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine.
Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Mataqo yako, Mungu akusaidie wewe uache kuliwa na ndizi,
Rais hakuna ,si uhamie nchi yenye rahisi
Kuchanganya kama ulivyosema ni sawa,lakini kumchukua PHD holder unaweka kwenye rank mmoja na muigizaji wa bongo movie kwa maoni yangu sio sahihi.Hapana..! Kuchanganya ndio njia bora. Hao watendaji wa serikali unaowasema wawepo, na hao wa mtaani pia wawepo, wa private sector wawepo, wa vyama pinzani wawepo, wa jumuiya na asasi za kiraia pia wawepo, nk. Hapo ndipo tutajenga taifa lenye umoja na mshikamano..
Ushauri mzuri sana. Miaka yamwisho ya utawala wa Nyerere, nadhani zaidi ya nusu ya maDC ni watu waliowahi kuwa makatibu watendaji wa Tarafa (kuna kipindi wakiitwa Division Executive Secretary) ; na walitumia madaraka yao vizuri sana na kwa weledi wa juu sana.Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini, uadilifu ili kutengeneza uzalendo.
Kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS, RC’s, RAS etc.
Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma, na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo, kilimo, Afya, Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.
Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi, uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.
Mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini. Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.
Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine.
Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Kama huyo PHD ameridhika kuna tatizo gani?Kuchanganya kama ulivyosema ni sawa,lakini kumchukua PHD holder unaweka kwenye rank mmoja na muigizaji wa bongo movie kwa maoni yangu sio sahihi.
Kila mtanzania ana Uhuru wa kuteuliwa na kufanya serikalini au private, Tena wa serikalini ubunifu huwa ni zero maana wanajua ukipata kazi mpaka uzeeke nayoKwa nini wanaofanya private sector wanataka kuhamia serikalini? Kwa nini hao wanaotoka private sekta wasianzie kuwa watendaji wa kata au watumishi wa ngazi za chini huko wilayani?
Sawa la exposure Ni niambie mtu Kama chopa mchopanga ana exposure gani kwenye Mambo ya serikali .Sikubaliani na ushaur wako aisee ulisema wawe watumishi wa serikali vipi wanaofanya private sector na wako vizuri hafu unasema achukue waliokaa serikalini 20 years hao hata utendaji huwa wa mazoea Tena hawana exposure yoyote, Bora kuteua hata wa binafsi wenye exposure ili kuleta mabadiliko
Kwan kuna tatizo?Ndugu zangu, tuvumilieni tu. Hili nalo litapita.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Sasa huyo mchopanga namjua kwenye bongo movie tu ila Kuna watu wengi wazuri wazoefu na wenye exposure hawako serikalini huko na hawajaingia siasani na ni watendaji wazuri kuliko huko serikalini na wenye maono na hawajapata nafasi. So nafasi zikianza kutolewa kwa utendaji mbona wapo wengi.Sawa la exposure Ni niambie mtu Kama chopa mchopanga ana exposure gani kwenye Mambo ya serikali .
Kwenye taratibu za uendeshaji wa kazi za kiserikali anajua Nini ?
Exposure unayoiongelea hapa Ni ipi !? Ile kusafiri nje ya nchi au ipi?
Kumchagua DC,RC,auDED kutoka Kita Ni sawa na kuwapeleke wanajeshi general ambaye hajui hata kufanya usafi wa silaha kwa kuzingatia Sheria za usalama wa silaha .
Otherwise utakuwa una faidika na hizi teuzi