Raisi anapangiwa safari kila siku wala hatulii , wahuni wanapiga pesa tu .Pale kariakoo watu wnanunua tu majengo tangu Mama iangie .Tuabizane ukweli,serikalini hamna ela!
Wakandarasi wanadai hela almost miezi 9!
Wengine washaanza kuiziwa nyumba na mabenki.
Nasoma magazet naona uwekezaji wa trilion 9 ...mapichapicha!hali inazidi kuwa ngumu, wanaua watu, hii ndio kuongeza petrol juu ya moto.
Mweupe kichwani?Sana, yaani walijipanga toka mwanzo. Kibaya kabisa walimtengenezea mazingira ya kumchukia Msukuma wa watu Dkt Magufuli, wakati Dkt Magufuli alikuwa anampenda sana kwanza tu kwa kuwa mweupe hahaha. Tumuombee sana Dkt Samia apite 2025.
Wanasema hayo ni “makosa ya kibinadamu tu”! Kwamba kila mtu ana yake. Watu wa ajabu sana.😕Magufuli ndiye aliyeleta mambo ya kuteka na kuuwa watu vichakani sijui watanzania tumelogwa vipi hadi kumkumbuka huyu jamaa!
Umri wako?Magufuli ndiye aliyeleta mambo ya kuteka na kuuwa watu vichakani sijui watanzania tumelogwa vipi hadi kumkumbuka huyu jamaa!
Nimeona uko busy kujibizana na Mwijaku, Baba Levo, Steve Nyerere, Mchengerwa na Sisiemu kwa ujumla....kila la kheri mzee!😄Raisi anapangiwa safari kila siku wala hatulii , wahuni wanapiga pesa tu .Pale kariakoo watu wnanunua tu majengo tangu Mama iangie .
Nimejifunza kitu kutoka kwako!Bosi usisumbuke, mimi nina nadharia ya kijinga kijinga. Dkt Samia kama mwenzake Dkt Magufuli, tofauti ni kuwa Dkt Magufuli nadhani aliamini ktk ushauri wa TISS na alifanyia kazi report na mapendekezo ya TISS, Dkt Samia nadhani akipelekewa yeye huwa anakuwa na washauri wengine ambao hawampendi maana wanajiona wao ndiyo walimuweka na kumfikisha hapo alipo na hivyo wanahakikisha hafanyi maamuzi sahihi, na inamgharimu urais wake na mpaka sasa chuki kuu imesababishwa na hilo genge ambalo anadhani ni zaidi ya mfumo halisi. Mama yetu, Dkt Samia kazi iliyopo mbele yake ni ngumu sana, ingawa kikundi fulani anashani ndiyo sahihi zaidi na kimekuwa kikimdanganya bila yeye kuona uhalisia. Mfano tu chuki iliyopo kwa wapiga kura ni kubwa sana tena sana ila akina Mchengerwa ndiyo kawaamini hahaha wakimuambia Mama unaupiga mwingi basi anadhani ni kweli. Kwa ujumla tumuombee Dkt Samia maana kama hatopita kama rais 2025 basi inawezekana kama taifa tukawa na hali ngumu sana mbeleni kwa sababu huyo atakayekuja atataka kufumua mifumo yote ya kifisadi ya Dkt Samia na akiwa anafanya hivyo maana yake nchi haitapiga hatua ni kama yeye Dkt Samia alivyofumua ya Dkt Magufuli matokeo yake miaka yake ya urais ameitumia kufumua ya Dkt Magufuli na kujaribu kuonesha yeye ni better kuliko Dkt Magufuli kitu ambacho kimemgharimu sana na kumshushia hadhi yake mbele ya wapiga kura. So ni bora Dkt Samia aendelee ili tuwe na stability ya uchumi angalau mpaka 2030.
Huhitaji umri na udadisi wowote hapa. Tundu Antipas Lissu ndio ushahidi unaoishi wa vitendo viovu vya Magufuli na watu wake. Hivi unawezaje wewe kuwa na akili timamu kutetea yanayoendelea nchini?Umri wako?
Jitahidi kudadisi mkuu kabla hujahitimisha.
Muulize Ulimboka atakwambia utekaji ulianza lini!
Hizi ndio akili za kiduwanzi za Mtanganyika.Kama wewe unadhani unauelewa kuliko raisi,basi uchaguzi ujao jaza fomu ugombee uraisi,ukishinda uweze kiyafanya hayo mapendekezo yako.
Acha uzwazwa uliotukuka.Magufuli ndiye aliyeleta mambo ya kuteka na kuuwa watu vichakani sijui watanzania tumelogwa vipi hadi kumkumbuka huyu jamaa!
Hujui chochote utekaji upo Tangu enzi za rais kabla ya Magu tena. Utekaji ule ulikuwa wa kujiamini kweli kweli sio wa kujificha ficha. 😅Magufuli ndiye aliyeleta mambo ya kuteka na kuuwa watu vichakani sijui watanzania tumelogwa vipi hadi kumkumbuka huyu jamaa!
Aliendeleza utekaji na kuufikisha kwenye level nyingine sijui kwanin mtu mwenye akili anashindwa kuona matunda ya ukatili huu hata kwa watu walio bahatika kuishi na kusimulia kama Tundu Lissu.Hujui chochote utekaji upo Tangu enzi za rais kabla ya Magu tena. Utekaji ule ulikuwa wa kujiamini kweli kweli sio wa kujificha ficha. 😅
Unamfahamu Dokta Ulimboka?Aliendeleza utekaji na kuufikisha kwenye level nyingine sijui kwanin mtu mwenye akili anashindwa kuona matunda ya ukatili huu hata kwa watu walio bahatika kuishi na kusimulia kama Tundu Lissu.
Sasa si mumsifu Mwinyi ambaye hakuuwa mbona mnamsifu muuaji Magufuli kama nyie sio mmelogwa naye?Acha uzwazwa uliotukuka.
Masuala ya kutekana na kuuana yalikuwepo toka enzi za Hayati Julius Nyerere.
Na hakuna rais ambaye hakuua labda kidogo Ally Hassan Mwinyi.
Yote hayo mambo ya ukatili wa Magufuli halafu mnamtetea nini?Unamfahamu Dokta Ulimboka?
Hapana kabisa Dkt Magufuli hakuleta haya mambo. Kilichotokea ni kikundi cha wahuni fulani fulani kufanya hayo mambo. Dkt Magufuli was a humble man, hakuwa kabisa na chuki wala kisasi zaidi ya kusamehe. Dkt Magufuli ilikuwa unaweza ukamkasirisha na akakutamkia kauli ngumu ila baada ya muda anakutafuta kukuomba msamaha na kukuambia naomba yaishe, yaani Dkt Magufuli alikuwa zaidi ya kiongozi.Magufuli ndiye aliyeleta mambo ya kuteka na kuuwa watu vichakani sijui watanzania tumelogwa vipi hadi kumkumbuka huyu jamaa!
Magufuli tunamsifu kwa uweledi wake wa kuibadili hii nchi.Sasa si mumsifu Mwinyi ambaye hakuuwa mbona mnamsifu muuaji Magufuli kama nyie sio mmelogwa naye?
Hivyo vikundi kina nani tena!?Hapana kabisa Dkt Magufuli hakuleta haya mambo. Kilichotokea ni kikundi cha wahuni fulani fulani kufanya hayo mambo. Dkt Magufuli was a humble man, hakuwa kabisa na chuki wala kisasi zaidi ya kusamehe. Dkt Magufuli ilikuwa unaweza ukamkasirisha na akakutamkia kauli ngumu ila baada ya muda anakutafuta kukuomba msamaha na kukuambia naomba yaishe, yaani Dkt Magufuli alikuwa zaidi ya kiongozi.
Daaah kilimkuta kitu huyo jamaa sintosahau.Unamfahamu Dokta Ulimboka?