Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
Huhitaji umri na udadisi wowote hapa. Tundu Antipas Lissu ndio ushahidi unaoishi wa vitendo viovu vya Magufuli na watu wake. Hivi unawezaje wewe kuwa na akili timamu kutetea yanayoendelea nchini?
Umehama sasa kwenye Swali uliloulizwa, hajazungumzia kutetea yanayoendelea unamlisha maneno, Magu hakuanzisha haya Wala kwa Samia hayatakua yamwisho. Mfumo ni zaidi ya Rais.
Kama unautimamu kamili, nikuulize kwani kina Dr Ulimboka au Dr Mvungi walikutana na uvamizi kipindi Gani?