Rais Samia, usidanganywe na wanaokushauri kuhusu utoaji vibali vya wageni

Rais Samia, usidanganywe na wanaokushauri kuhusu utoaji vibali vya wageni

Mtuflani Official

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2019
Posts
1,952
Reaction score
4,416
Wasaidizi wako wanakudanganya kwa sababu wanafaidika na “kitu kidogo” Usidanganywe na hao wanaokushauri kuhusu utoaji vibali vya wageni.

Kwanza kazi nyingi humu nchini zinaweza kufanywa na wazawa. Kuna umuhimu wa kua na limit ya wageni ambao kampuni inaruhusiwa kuwaingiza humu nchini.

Ukiruhusu wageni zaidi ya 5 kwenye kampuni unakua unawapa nguvu ya kufanya madudu. Kama ukwepaji kodi. Unawapa nguvu ya kutengeneza co-ordination ya ukwepaji kodi.

Hii issue hayati Magufuli aliweza kuigundua na ndo maana akaweka limit ya wageni wanaoruhusiwa kuingizwa na kampuni husika. Kwa bahati mbaya huu mfumo umerudi na Uhamiaji ndo wanaosapoti sana kwa sababu ni njia yao ya kupata rushwa ya ku re-new vibali.

Kwako. Mh Rais, tunaipenda sana nchi yetu na hatutaki wachache wanaojaribu kuiharibu kwa ajili ya manufaa binafsi. #KaziIendelee
 
Wasaidizi wako wanakudanganya kwa sababu wanafaidika na “kitu kidogo” Usidanganywe na hao wanaokushauri kuhusu utoaji vibali vya wageni.

Kwanza kazi nyingi humu nchini zinaweza kufanywa na wazawa. Kuna umuhimu wa kua na limit ya wageni ambao kampuni inaruhusiwa kuwaingiza humu nchini.

Ukiruhusu wageni zaidi ya 5 kwenye kampuni unakua unawapa nguvu ya kufanya madudu. Kama ukwepaji kodi. Unawapa nguvu ya kutengeneza co-ordination ya ukwepaji kodi.

Hii issue hayati Magufuli aliweza kuigundua na ndo maana akaweka limit ya wageni wanaoruhusiwa kuingizwa na kampuni husika. Kwa bahati mbaya huu mfumo umerudi na Uhamiaji ndo wanaosapoti sana kwa sababu ni njia yao ya kupata rushwa ya ku re-new vibali.

Kwako. Mh Rais, tunaipenda sana nchi yetu na hatutaki wachache wanaojaribu kuiharibu kwa ajili ya manufaa binafsi. #KaziIendelee
Tatizo letu sisi ni walalamishi ila ukweli ni wavivu na wadokozi, kuna kampuni inajihusisha na kilimo ililalamikia serikali kwa kukosa vijana wafanyakazi hata walioajiriwa mara tu walipopata mshahara wakapotea, hii ndiyo tabia yetu.
 
Botswana ukienda ukawa na Duka la bidhaa ndogo ndogo lazima muuzaji umweke wa kule kwao hiyo ni sheria. Senegal na nchi nyingine za Africa wakiona mgeni anafanya kazi wanayoiweza

lazma wamuue ukiwa kule lazma uwe na kibali mana wanahisi utachukua ajira zao. Kuuawa ni nje nje. Wabongo kila kitu ruksa bila kuangalia wananchi watapatwa na shda au lah.
 
Tatizo letu sisi ni walalamishi ila ukweli ni wavivu na wadokozi, kuna kampuni inajihusisha na kilimo ililalamikia serikali kwa kukosa vijana wafanyakazi hata walioajiriwa mara tu walipopata mshahara wakapotea, hii ndiyo tabia yetu.
Hiyo kampuni itakuwa ya ovyo kuwahi kuonekana. Ina maana vijana walivyo na shd ya ajira utasema ni wote.? Siamini kampuni iko hapa bongo ikakosa wafanyakazi. Kwa ninavyojua ukubwa wa ttz la ajira.
 
Botswana ukienda ukawa na Duka la bidhaa ndogo ndogo lazima muuzaji umweke wa kule kwao hiyo ni sheria. Senegal na nchi nyingine za Africa wakiona mgeni anafanya kazi wanayoiweza

lazma wamuue ukiwa kule lazma uwe na kibali mana wanahisi utachukua ajira zao. Kuuawa ni nje nje. Wabongo kila kitu ruksa bila kuangalia wananchi watapatwa na shda au lah.
Bongo ukimuweka mbongo akuuzie dukani anaanza kufikiri kufungua lake, atakuibia mpaka utakate, kama vipodozi mbele vinakuwepo nyuma makasha matupu, kama mchele kwenye gunia chini anajaza pumba anaweka nailoni kisha mchele, ukiona unajua umejaa kumbe umepigwa, utagundua siku ametoroka.
 
Hiyo kampuni itakuwa ya ovyo kuwahi kuonekana. Ina maana vijana walivyo na shd ya ajira utasema ni wote.? Siamini kampuni iko hapa bongo ikakosa wafanyakazi. Kwa ninavyojua ukubwa wa ttz la ajira.
Tatizo la ajira lipo na vijana wetu wana matatizo hiwezi amini mimi nachukua sana vijana nifanye nao kazi siwalipi kikubwa ila hawapungukiwi na 300k biashara ikiwa njema na 200k biashara ikidorora ila wapo vijana wengi nimeshawatema kwakuwa akishapokea mshahara mwisho wa mwezi anakaa wiki haji kazini sasa unakuta kuna mzigo wa kupeleka sehemu inabidi mimi ndio nipeleke akija kazi zimeisha unamwambia kakae home hakuna namna. Sasa mm ni mwenyeji je wageni inakuaje? Wapo vijana wangu wakiona wingu wanaanza kutoroka kazini siku mvua ikinyesha hawaji mpka nimewapangishia vyumba sehemu nzuri mwishoe wanazima simu ilimradi waendekeze ngono hela ikiisha wanakuja na kauli nzuri kaka mkubwa boss mkuu ilimradi arudi kazini lakini hajui ashakupotezea timing ya biashara
 
Botswana ukienda ukawa na Duka la bidhaa ndogo ndogo lazima muuzaji umweke wa kule kwao hiyo ni sheria. Senegal na nchi nyingine za Africa wakiona mgeni anafanya kazi wanayoiweza

lazma wamuue ukiwa kule lazma uwe na kibali mana wanahisi utachukua ajira zao. Kuuawa ni nje nje. Wabongo kila kitu ruksa bila kuangalia wananchi watapatwa na shda au lah.

Rostam amewekeza kenya zaidi ya dollar milion 200 kaambiwa asiende na watu zaidi ya wanne wengine wote watoke kenya, kiwanda cha mbolea dodoma cha warundi, kuna warundi zaidi ya 1000 wako wanapiga kazi ndani mule
 
Hiyo kampuni itakuwa ya ovyo kuwahi kuonekana. Ina maana vijana walivyo na shd ya ajira utasema ni wote.? Siamini kampuni iko hapa bongo ikakosa wafanyakazi. Kwa ninavyojua ukubwa wa ttz la ajira.
Hili jambo hata rais Kikwete aliwahi kulizungumzia alipokuwa madarakani na wiki iliyopita mkurugenzi wa kampuni ya Lodhia(inatengeneza nondo na matangi ya maji) huko Arusha alilalamika kuhusu vijana wakilipwa mshahara hawaonekani mpaka ukiisha!
 
What i know is.... Good government doesn't mean simply military power or an efficient intelligence apparatus. Instead, it should mean effective, fair administration in other words "good governance."
 
Mengine Naona hayajawa hatarishi sana ila ujaji WA Wachina Kwa mafungu makubwa ni tatizo kubwa, Wachina, Wachina, watatuangamiza ila Jua nawapenda ila Sio Kwa wingi wao kwenye kila Tenda na kazi zote wamechukua
 
Rostam amewekeza kenya zaidi ya dollar milion 200 kaambiwa asiende na watu zaidi ya wanne wengine wote watoke kenya, kiwanda cha mbolea dodoma cha warundi, kuna warundi zaidi ya 1000 wako wanapiga kazi ndani mule
Mkenya ni mchapakazi ndiyo sababu wakati wa komyunite wao walipewa unyampara.
 
Hii issue hayati Magufuli aliweza kuigundua na ndo maana akaweka limit ya wageni wanaoruhusiwa kuingizwa na kampuni husika
Bibi alipoingia madarakani alisema anafungua nchi eti na wageni waje kama mwekezaji atakavyo. Hawa macho madogo, wahindi, wapakstani wamejaa kila kona kwenye viwanda. Unakuta kiwanda kina mpaka wapishi wageni yani mtu ni operator mwenye elimu ya kawaida kabisa lakini wanajipachika vyeo uchwara eg manager, au hata CEO.
Kipindi Cha Hayati JPM, wageni wote walikuwa wanapeleka vyeti vyao TCU viwe verified kwanza ndio wapewe hizo permit lakini sasa hivi wanakuja na visa ya utalii halafu wanazamia kupiga kazi kama kawaida.
 
Hiyo kampuni itakuwa ya ovyo kuwahi kuonekana. Ina maana vijana walivyo na shd ya ajira utasema ni wote.? Siamini kampuni iko hapa bongo ikakosa wafanyakazi. Kwa ninavyojua ukubwa wa ttz la ajira.

Na ni wajanja siku hizi. Wanaweka Mtanzania na Mgeni cheo kimoja. Ila mgeni atalipwa mara nne ya mzawa. Mzawa ndo unafanya kazi zote. Yeye mgeni issue nyeti kama kuchezesha mifumo ya ukwepaji kodi anafanya mgeni
 
Rostam amewekeza kenya zaidi ya dollar milion 200 kaambiwa asiende na watu zaidi ya wanne wengine wote watoke kenya, kiwanda cha mbolea dodoma cha warundi, kuna warundi zaidi ya 1000 wako wanapiga kazi ndani mule

Ndo serikali yetu hiyo. Hapo Uhamiaji wanapewa rushwa kutoa vibali vya hao Warundi
 
Bibi alipoingia madarakani alisema anafungua nchi eti na wageni waje kama mwekezaji atakavyo. Hawa macho madogo, wahindi, wapakstani wamejaa kila kona kwenye viwanda. Unakuta kiwanda kina mpaka wapishi wageni yani mtu ni operator mwenye elimu ya kawaida kabisa lakini wanajipachika vyeo uchwara eg manager, au hata CEO.
Kipindi Cha Hayati JPM, wageni wote walikuwa wanapeleka vyeti vyao TCU viwe verified kwanza ndio wapewe hizo permit lakini sasa hivi wanakuja na visa ya utalii halafu wanazamia kupiga kazi kama kawaida.
Kuna tatizo kubwa, kinachotakiwa ni kuweka restrictions na kujali Taifa letu, otherwise Vijana wetu watakapoona mambo hayaendi wakiingia mtaani itakuwa shida sana, ila ulipoanza kutaja watu nimeona kama upo biased
 
Back
Top Bottom