Rais Samia, usije ukalaumu kuwa hukujua

Rais Samia, usije ukalaumu kuwa hukujua

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
3,197
Reaction score
7,677
Rais Samia, anatakiwa kutambua kuwa nje ya Serikali (TISS), kuna supper intelligence ambayo TISS haipo.

Huku nje ya Serikali, kuna wataalam wa uchumi ambao kwenye Wizara ya mipango na uchumi, hawapo.

Huko nje ya Jeshi la Polisi, kuna watu wanajua nadharia ya usalama ambayo ndani ya Jeshi la Polisi, haipo.

Huku nje ya Serikali, mahakama na Bunge, kuna watu wanajua sheria na katiba kwa kiwango ambacho kwenye vyombo nilivyovitaja hawapo.

Huku nje ya Serikali, kuna watu ambao wamenyoka, wanaaminika, na wana uwezo wa kuzungumza na kiongozi yeyote Duniani awe wa nchi au taasisi za kimataifa, kwa urahisi na kwa ufanisi kuliko yeyote ambaye yupo Serikalini.

Unatakiwa ufahamu, na uichukulie hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani, unaweza kupuuza, kama ilivyo kawaida;

Maamuzi yalifikiwa nini kifanyike dhidi ya awamu ya 5 kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu na demokrasia. Maamuzi yale yangeanza kutekelezwa nusu ya pili ya mwaka 2021. Lakini Mungu muweza wa yote alikuwa na yake yasiyoweza kuhojiwa na mwanadamu. Yakatokea yaliyotokea.

Maamuzi yale hayakufutwa, lakini kukajengeka nadharia 2 zinazobishaniwa:
1) Mabadiliko ya kiongozi mkuu hayatabadili chochote kwa sababu udikteta uliopo Tanzania umejengeka kwenye mfumo, na kiongozi mkuu ana nafasi ndogo ya kubadilisha mfumo wa kidikteta na kusimika mfumo wa uongozi wa kistaarabu.
2) Rais ana madaraka makubwa sana, anaweza kufanya chochote. Kama ana dhamira ya kuondokana na mfumo wa kidikteta, anaweza.

Maamuzi:
1) Balozi zianishe mabadiliko, kama yapo, kwa kufuatilia na kuzungumza na taasisi zinazopinga udikteta, vyama vya upinzani, na inapowezekana kushuhudia matukio ya ukiukwaji wa haki na demokrasia.
2) Kuanisha ulinganifu wa taarifa zilizokusanywa
3) Kufuta maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama kuna mabadiliko chanya
4) Kutekeleza maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama hakuna mabadiliko ya msingi. Mabadiliko ya msingi ni lazima yahusishe ujenzi wa taasisi huru za kulinda, kukuza na kustawisha demokrasia, haki na uhuru wa watu.

Kosa Kubwa, na Urahisi Uliotengenezwa:
1) Siku zako za mwanzo kabisa zilikuwa ni muhimu sana ili kupeleka ujumbe, kama awamu ya sasa ni kama iliyopita au ni tofauti. Lakini awamu ya 6 ikachukua uamuzi wa kuwa si moto, si baridi, mistake number 1
2) Wakati balozi zikitafuta uthibitisho usio na shaka, awamu ya 6 ikawarahisishia kazi kwa kumbambikia mtu kesi ya ugaidi, kukamata na kuswekwa watu ndani ovyo, yaani kwa kosa la kutaka kuhudhuria kongamano la ndani. Mistake number 2
3) Kukumbatia uovu. Kuna watu walifanya uovu wa kupindukia. Badala ya kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, walibadilishwa tu nafasi, na wengine kuachwa wakirandaranda huru. Mmoja tu, pekee ndiye alifikishwa mahakamani. Matukio makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu yakaachwa bila uchunguzi. Mistake number 3

Mambo ni mengi, muda ni kidogo. Kalamu imeanza kutick utekelezaji wa maamuzi yale yaliyokuwa dhidi ya awamu ya 5.
 
Nikisoma hizo nadharia zako mbili hapo juu, naona nadharia namba moja ya Rais kulazimishwa na mfumo kufanya kile anachotakiwa nao kukifanya, inakufa kwa kutumia nadharia namba mbili ambayo inampa Rais mamlaka makubwa kiutawala.

Hivyo Rais anaweza fanya kulingana na mapenzi yake ili kurudisha mahusiano mazuri na jumuia ya kimataifa, pamoja na kukuza utawala bora na haki za binadamu nchini.

Hata hivyo Rais kushindwa kufanya hayo, moja kwa moja lawama lazima zimuangukie yeye, anashindwa kutumia mamlaka aliyonayo kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha, na kuacha wasaidizi wake kushika usukuani ambapo mwushowe humpoteza kwa kumpa ushauri unaosababisha mgogoro na jumuia ya kimataifa na wananchi wake.
 
Nikisoma hizo nadharia zako mbili hapo juu, naona nadharia namba moja ya Rais kulazimishwa na mfumo kufanya kile anachotakiwa nao kukifanya, inakufa kwa kutumia nadharia namba mbili ambayo inampa Rais mamlaka makubwa kiutawala.

Hivyo Rais anaweza fanya kulingana na mapenzi yake ili kurudisha mahusiano mazuri na jumuia ya kimataifa, pamoja na kukuza utawala bora na haki za binadamu nchini.

Hata hivyo Rais kushindwa kufanya hayo, moja kwa moja lawama lazima zimuangukie yeye, anashindwa kutumia mamlaka aliyonayo kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha, na kuacha wasaidizi wake kushika usukuani ambapo mwushowe humpoteza kwa kumpa ushauri unaosababisha mgogoro na jumuia ya kimataifa na wananchi wake.
Ukweli safari hii tumepigwa haswa
 
Rais Samia, anatakiwa kutambua kuwa nje ya Serikali (TISS), kuna supper intelligence ambayo TISS haipo.

Huku nje ya Serikali, kuna wataalam wa uchumi ambao kwenye Wizara ya mipango na uchumi, hawapo.

Huko nje ya Jeshi la Polisi, kuna watu wanajua nadharia ya usalama ambayo ndani ya Jeshi la Polisi, haipo.

Huku nje ya Serikali, mahakama na Bunge, kuna watu wanajua sheria na katiba kwa kiwango ambacho kwenye vyombo nilivyovitaja hawapo.

Huku nje ya Serikali, kuna watu ambao wamenyoka, wanaaminika, na wana uwezo wa kuzungumza na kiongozi yeyote Duniani awe wa nchi au taasisi za kimataifa, kwa urahisi na kwa ufanisi kuliko yeyote ambaye yupo Serikalini.

Unatakiwa ufahamu, na uichukulie hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani, unaweza kupuuza, kama ilivyo kawaida;

Maamuzi yalifikiwa nini kifanyike dhidi ya awamu ya 5 kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu na demokrasia. Maamuzi yale yangeanza kutekelezwa nusu ya pili ya mwaka 2021. Lakini Mungu muweza wa yote alikuwa na yake yasiyoweza kuhojiwa na mwanadamu. Yakatokea yaliyotokea.

Maamuzi yale hayakufutwa, lakini kukajengeka nadharia 2 zinazobishaniwa:
1) Mabadiliko ya kiongozi mkuu hayatabadili chochote kwa sababu udikteta uliopo Tanzania umejengeka kwenye mfumo, na kiongozi mkuu ana nafasi ndogo ya kubadilisha mfumo wa kidikteta na kusimika mfumo wa uongozi wa kistaarabu.
2) Rais ana madaraka makubwa sana, anaweza kufanya chochote. Kama ana dhamira ya kuondokana na mfumo wa kidikteta, anaweza.

Maamuzi:
1) Balozi zianishe mabadiliko, kama yapo, kwa kufuatilia na kuzungumza na taasisi zinazopinga udikteta, vyama vya upinzani, na inapowezekana kushuhudia matukio ya ukiukwaji wa haki na demokrasia.
2) Kuanisha ulinganifu wa taarifa zilizokusanywa
3) Kufuta maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama kuna mabadiliko chanya
4) Kutekeleza maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama hakuna mabadiliko ya msingi. Mabadiliko ya msingi ni lazima yahusishe ujenzi wa taasisi huru za kulinda, kukuza na kustawisha demokrasia, haki na uhuru wa watu.

Kosa Kubwa, na Urahisi Uliotengenezwa:
1) Siku zako za mwanzo kabisa zilikuwa ni muhimu sana ili kupeleka ujumbe, kama awamu ya sasa ni kama iliyopita au ni tofauti. Lakini awamu ya 6 ikachukua uamuzi wa kuwa si moto, si baridi, mistake number 1
2) Wakati balozi zikitafuta uthibitisho usio na shaka, awamu ya 6 ikawarahisishia kazi kwa kumbambikia mtu kesi ya ugaidi, kukamata na kuswekwa watu ndani ovyo, yaani kwa kosa la kutaka kuhudhuria kongamano la ndani. Mistake number 2
3) Kukumbatia uovu. Kuna watu walifanya uovu wa kupindukia. Badala ya kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, walibadilishwa tu nafasi, na wengine kuachwa wakirandaranda huru. Mmoja tu, pekee ndiye alifikishwa mahakamani. Matukio makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu yakaachwa bila uchunguzi. Mistake number 3

Mambo ni mengi, muda ni kidogo. Kalamu imeanza kutick utekelezaji wa maamuzi yale yaliyokuwa dhidi ya awamu ya 5.
Mkuu, heshima kwako,,,

Umeandika kwa uchungu sana na kiukweli una hoja nzito japo wapo watakaokubeza.

Tatizo kubwa la nchi yetu ni watawala kuamini kwamba wana akili kuliko watawaliwa...jambo linalowavimbisha vichwa na kuupuza ushauri utokao kwa hao watawaliwa.

Pamoja na kulaumu "SYSTEM" , hatuwezi kuacha kumtupia Lawama Kiongozi mkuu kwa mamlaka makubwa alonayo kwa mujibu wa katiba yetu....

Hayo maamuzi unayosema, japo yatakuwa na athari kubwa kwa Watawaliwa, ni bora yachukuliwe tu...kwa Sababu sion ahueni hata sasa
 
Rais Samia, anatakiwa kutambua kuwa nje ya Serikali (TISS), kuna supper intelligence ambayo TISS haipo.

Huku nje ya Serikali, kuna wataalam wa uchumi ambao kwenye Wizara ya mipango na uchumi, hawapo.

Huko nje ya Jeshi la Polisi, kuna watu wanajua nadharia ya usalama ambayo ndani ya Jeshi la Polisi, haipo.

Huku nje ya Serikali, mahakama na Bunge, kuna watu wanajua sheria na katiba kwa kiwango ambacho kwenye vyombo nilivyovitaja hawapo.

Huku nje ya Serikali, kuna watu ambao wamenyoka, wanaaminika, na wana uwezo wa kuzungumza na kiongozi yeyote Duniani awe wa nchi au taasisi za kimataifa, kwa urahisi na kwa ufanisi kuliko yeyote ambaye yupo Serikalini.

Unatakiwa ufahamu, na uichukulie hii ni sauti ya mtu aliaye nyikani, unaweza kupuuza, kama ilivyo kawaida;

Maamuzi yalifikiwa nini kifanyike dhidi ya awamu ya 5 kutokana na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu na demokrasia. Maamuzi yale yangeanza kutekelezwa nusu ya pili ya mwaka 2021. Lakini Mungu muweza wa yote alikuwa na yake yasiyoweza kuhojiwa na mwanadamu. Yakatokea yaliyotokea.

Maamuzi yale hayakufutwa, lakini kukajengeka nadharia 2 zinazobishaniwa:
1) Mabadiliko ya kiongozi mkuu hayatabadili chochote kwa sababu udikteta uliopo Tanzania umejengeka kwenye mfumo, na kiongozi mkuu ana nafasi ndogo ya kubadilisha mfumo wa kidikteta na kusimika mfumo wa uongozi wa kistaarabu.
2) Rais ana madaraka makubwa sana, anaweza kufanya chochote. Kama ana dhamira ya kuondokana na mfumo wa kidikteta, anaweza.

Maamuzi:
1) Balozi zianishe mabadiliko, kama yapo, kwa kufuatilia na kuzungumza na taasisi zinazopinga udikteta, vyama vya upinzani, na inapowezekana kushuhudia matukio ya ukiukwaji wa haki na demokrasia.
2) Kuanisha ulinganifu wa taarifa zilizokusanywa
3) Kufuta maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama kuna mabadiliko chanya
4) Kutekeleza maamuzi yaliyofanywa dhidi ya awamu ya 5 kama hakuna mabadiliko ya msingi. Mabadiliko ya msingi ni lazima yahusishe ujenzi wa taasisi huru za kulinda, kukuza na kustawisha demokrasia, haki na uhuru wa watu.

Kosa Kubwa, na Urahisi Uliotengenezwa:
1) Siku zako za mwanzo kabisa zilikuwa ni muhimu sana ili kupeleka ujumbe, kama awamu ya sasa ni kama iliyopita au ni tofauti. Lakini awamu ya 6 ikachukua uamuzi wa kuwa si moto, si baridi, mistake number 1
2) Wakati balozi zikitafuta uthibitisho usio na shaka, awamu ya 6 ikawarahisishia kazi kwa kumbambikia mtu kesi ya ugaidi, kukamata na kuswekwa watu ndani ovyo, yaani kwa kosa la kutaka kuhudhuria kongamano la ndani. Mistake number 2
3) Kukumbatia uovu. Kuna watu walifanya uovu wa kupindukia. Badala ya kuwakamata na kuwafikisha mahakamani, walibadilishwa tu nafasi, na wengine kuachwa wakirandaranda huru. Mmoja tu, pekee ndiye alifikishwa mahakamani. Matukio makubwa ya uhalifu dhidi ya ubinadamu yakaachwa bila uchunguzi. Mistake number 3

Mambo ni mengi, muda ni kidogo. Kalamu imeanza kutick utekelezaji wa maamuzi yale yaliyokuwa dhidi ya awamu ya 5.
Acha upumbavu Mbowe anatuhuma za ugaidi na kesi iko mahakamani ,unamtishia Rais?,juha mkubwa,mnataka serikali ya wauza ngada ,matapeli,wezi wa mali ya umma,wapiga dili,ambao hayati Magufuli aliwafutilia mbali warudi tena kwa kigezo cha demokrasia?
Nyie ndio mlimmaliza Magufuli mkategemea mambo yenu yatarudi kama zamani,sasa mnaona ugumu uko palepale
 
Acha upumbavu Mbowe anatuhuma za ugaidi na kesi iko mahakamani ,unamtishia Rais?,juha mkubwa,mnataka serikali ya wauza ngada ,matapeli,wezi wa mali ya umma,wapiga dili,ambao hayati Magufuli aliwafutilia mbali warudi tena kwa kigezo cha demokrasia?
Tena nyie ndio mlimmakiza Magufuli mkategemea mambo yenu yatarudi kama zamani,sasa mnaona ugumu uko palepale
Kutukanwa hakuumizi ukijua anayetukana amepungukiwa. Kupungukiwa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Wagonjwa wa akili wanatakiwa kuonewa huruma bafala ya kulaumiwa. Nakuobea huruma.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ushauri wenu haukataliwi endeleeni kushauri lakini tumwache Rais afanye majukumu yake period
 
Kutukanwa hakuumizi ukijua anayetukana amepungukiwa. Kupungukiwa akili ni ugonjwa kama magonjwa mengine. Wagonjwa wa akili wanatakiwa kuonewa huruma bafala ya kulaumiwa. Nakuobea huruma.
Bafala =badala
Nakuobea=nakuombea


UMEPANIKI?
 
Story yooote kumbe unataka kumwombea Mbowe afutiwe kesi!
Mwambie kama hana hati, mahakama itamuacha huru.
Au anaogopa kuumbuka na ushahidi mahakamani?
Atulize ball.
 
Nikisoma hizo nadharia zako mbili hapo juu, naona nadharia namba moja ya Rais kulazimishwa na mfumo kufanya kile anachotakiwa nao kukifanya, inakufa kwa kutumia nadharia namba mbili ambayo inampa Rais mamlaka makubwa kiutawala.

Hivyo Rais anaweza fanya kulingana na mapenzi yake ili kurudisha mahusiano mazuri na jumuia ya kimataifa, pamoja na kukuza utawala bora na haki za binadamu nchini.

Hata hivyo Rais kushindwa kufanya hayo, moja kwa moja lawama lazima zimuangukie yeye, anashindwa kutumia mamlaka aliyonayo kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha, na kuacha wasaidizi wake kushika usukuani ambapo mwushowe humpoteza kwa kumpa ushauri unaosababisha mgogoro na jumuia ya kimataifa na wananchi wake.
Hii ni serikali, ukiwa njee ya serikali na unakichwa chenye uwezo ni kama upo ndani tuu. Pakiwa na úhitaji wa wataalamu wabobezi mnaitwa kwa ushauri na mapendekezo, utekeleza wa ushauri wetu sio lazima.

Kuna watu wenye sifa ambao hawaitwi na hii ni kawaida tuu katika kila tawala.
Pamoja na hayo kuna wajinga a mbao wako upande wa pili lakini kiushabiki wana paishwa lakini hamna kitu kichwani kama ambavyo upande huo wa pili unavyotaka kuwa aminisha watanzania.

Mnaandika vitu vingi utumbo tuu, vipo vyenye akili au fikirishi vyote vinafanyiwa kazi. Humu JF wazee wa usalama na mambo ya uchumi wapo wengi kama ambavyo wachangiaji wengine mlivyo.
 
Back
Top Bottom