Kuwa mpwa sio hoja, kuwa Mkwe sio hoja. Wala kuwa classmate sio habari kabisa. Tusichukie watu bila kuwa na sababu.. Hoja iwe wamekosea nini na wapi. Kumuita mtu mwizi bila kuwa na ushahidi ni kosa. Leteni ushahidi basi ili tuseme kwa usahihi...Hayo yote hatajawahi kuondoka, kuna Mayanga construction, kuna mpwa kuteuliwa kuwa mkuu wa hazina, kuna ya Airport kujengwa kijijini kwa mtu mmoja.
Unajiabisha sana.Do you even know what is the meaning of sampling and it’s purspose in a research?
Look at how pathetic you are hivi kwa akili zako unaweza fanya research ya watu million 60 do you know the amount of data you would have to analyse, the amount of time it would take and the cost of that research?
That’s why people use sampling (a reasonable amount of representation) it means selecting a pocket of population and not the whole.
Sasa kama kitu rahisi kama statistics kinakusumbua unataka kujadiliana na watu usiowajua mambo ya katiba mimi nikikusoma tu naona limitations zako.
You are clearly a disgrace.Let’s just say unachanganya apples and pears.
Raisi/Serikali ina mandate ya kuchagua priority za nchi kama akiamua kununua ndege regardless of weaknesses on the decision by electing him we have bestowed him/her those powers to do so, kiongozi wa nchi kama taasisi anauwezo wa kufanya maamuzi nje ya house of reps ipo ivyo duniani kote,
Yeah kuna literal confusion in interpretating hiko kipengele ambayo kwenye mikutano inakuwa rahisi ku overlap from a to b.
Either way kujitangaza ni kuongelea mambo ya chama husika tu na kuelezea unasimamia nini.
Whereas political campaign ni kunadi sera, kuponda vyama vingine na utendaji wao na kwanini wasichaguliwe tena; hilo jambo haliruhusiwi.
Rwanda wanayo katiba mbovu tu lakini Kagame kaiweka sawa nchi. Katiba ni taratibu tu za kimaandishi za kuiongoza nchi kama watu hawajitumi na sio wabunifu katiba haiwezi kuleta kitu kipya.Hii katiba mpya mnaioverrate sana.
Katiba ina mambo mengi, mueleze mnataka kitu gani kwenye hiyo katiba mpya
Hivi hujui unaweza kupata katiba mpya na mambo yakawa vilevile!
Kenya kwa mfano, nini kimebadilika? au hukumbuki kiongozi wa tume ya uchaguzi aliyeuawa kipindi cha uchaguzi?
Nani alifuatilia? Katiba ilisaidia?
Wakati flani katiba ni muhimu ila fikra za watu ni muhimu zaidi
Hata uwe na katiba nzuri kiasi gani, ila ukiwa na watu wenye fikra za kipuuzi, haisaidii.
Rwanda wanayo katiba mbovu tu lakini Kagame kaiweka sawa nchi. Katiba ni taratibu tu za kimaandishi za kuiongoza nchi kama watu hawajitumi na sio wabunifu katiba haiwezi kuleta kitu kipya.
Hakuna rais afrika ambaye hajawahi kuua au hajawahi kusaini nchi yake iingie kwenye mapigano huku akichangia wanajeshi. Tunaita kulinda amani.Fahamu kwamba;
Rwanda bado ni nchi maskini sana inayotegemea misaada kutoka magharibi na wizi wa rasilimali DRC.Tumewazidi Rwanda kila kitu kiuchumi.
Rwanda wapinzani wanapotezwa, wanapigwa risasa hadi wale waliojificha uhamishoni,wanafungwa na wananya'anganywa mali zao kupitia sheria kandamizi.
Unaposema Kagame kaiweka nchi sawa fafanua kaiweka vipi nchi sawa.
Hakuna rais afrika ambaye hajawahi kuua au hajawahi kusaini nchi yake iingie kwenye mapigano huku akichangia wanajeshi. Tunaita kulinda amani.
Kagame kaifungua Rwanda na ipo vizuri kiuchumi.
Katiba ni mpaka 2025 kuelekea uchaguzi mkuu kwa sasa yapo mengi ya kufanyiwa kazi. Rwanda wapo vizuri mkuu wakiwa na katiba yao mbovu.Hujui hata unachotetea
Katiba ni mpaka 2025 kuelekea uchaguzi mkuu kwa sasa yapo mengi ya kufanyiwa kazi. Rwanda wapo vizuri mkuu wakiwa na katiba yao mbovu.
Hakuna nchi duniani ambayo kila wakati ni mikutano tu ya siasa na kusahau kunakujenga nchi...Katiba mpya ni muhimu ila nadhani labda its not a right time hasa kwakua cash is needed for that ambayo haijawa budgeted for na haikuwekwa kwenye ilani tuliyoipigia kura
Sasa sijui mkuu 'kilatha' ataisemea vipi hiyo nukuu toka kwa Jaji uliyomwekea hapo juu!Jaji Werema uliyesema CCM inaweza kumtuma azungumzie katiba tayari amekwisha zungumza.
"Tumepitia wakati mgumu sana katika miaka mitano iliyopita ambapo madaraka makubwa ya rais ya kufanya vitu bila kuhojiwa na bila kuwajibika yalionekana. Madaraka makubwa ya rais yamekuwa ni hoja ya wanaotaka mabadiliko ya Katiba," Jaji Frederick Werema, AG Mstaafu.
Wewe katiba mpya haikuletei ugali mezani, wananchi hatutaki siasa tunataka pesa.
Ila wewe huwezi kuelewa maana kila kitu anakuhudumia mumeo