cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,448
- 7,972
Tunapoelekea uchaguzi wa 2025 nakuomba mama Samia na Serikali yako itunge sheria na kubadili katiba ya kuruhusu mgombea binafsi ili vijana tusio na maokoto tupate nafasi ya kugombea udiwani, ubunge na Urais.
Kwa hali ilivyo kwenye vyama vya siasa ni ngumu sana kupenya kwa sababu ya wajumbe wanampitisha wale wenye pesa kuwa mgombea wao ni bora tukawa na mgombea binafsi naamini vijana wengi tutakuwa viongozi kupitia mgombea binafsi na wanawake wengi tutakuwa viongozi kupitia mgombea binafsi
Nawaomba vijana na wanawake tupaze sauti tunataka mgombea binafsi ili vijana na wanawake tuwe viongozi kwa wingi, wazee wenye pesa wameteka vyama vya siasa.
Kwa hali ilivyo kwenye vyama vya siasa ni ngumu sana kupenya kwa sababu ya wajumbe wanampitisha wale wenye pesa kuwa mgombea wao ni bora tukawa na mgombea binafsi naamini vijana wengi tutakuwa viongozi kupitia mgombea binafsi na wanawake wengi tutakuwa viongozi kupitia mgombea binafsi
Nawaomba vijana na wanawake tupaze sauti tunataka mgombea binafsi ili vijana na wanawake tuwe viongozi kwa wingi, wazee wenye pesa wameteka vyama vya siasa.