Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Ameyasema hayo leo Februari 24, 2025 wakati akizungumza na Wananchi wa Wilaya ya Lushoto
Februari 11, 2025, Mdau wa JamiiForums.com alishauri viwango vya fidia hizo vipitiwe kwa madai haviendani na uharibifu, akitoa mfano Wakazi wa Ngara waliovamiwa na Tembo wa Hifadhi ya Burigi kuwa hawakusaidiwa na Sheria ya Wanyamapori, bali iliwaumiza zaidi.
Pia soma ~ Serikali ingilieni kati Fidia ya Uharibifu wa Mazao yaliyoharibiwa na Tembo Wilayani Ngara - Kagera: Sheria ya Wanyamapori inakandamiza Wakulima