Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Bora angefanyia kazi kimya kimya maana kuanzia hapo wataanza kupishana kwa kalumanzira!
Mswahili hata ukimwambia kuna laki juu ya meza niikute, ataichukua tu na kusema sio mimi
Yaani pamoja na probation time bado wale wanne wakaiba sasa unatengemea nini hapo
Na sasa hivi wanaojua hawaku perform vizuri ndio wanasomba hata kama kuna gari hapo litauzwa [emoji23][emoji23]