Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Madaraka matamu bwashee! Ndiyo maana wakina Museveni na Kagame wameona bora wafie tu Ikulu.
 
Watu waneanza kujigamba bila kazi YEYOTE wanamalizia kazi walizoachiwa na wenzao halafu wanajisifu mfano january alikuwa ana mhujumu raisi leo kaobekana mzuri hivi kwel hata muhujumu tena?
 
Laana ya kushangilia kifo cha JPM kitawamaliza sisi tunamuunga mkono tu

USSR
 
Tangu 1992 unasema hayahaya

USSR
Mkuu uwe unauliza kwanza kabla ya kujifanya unamfahamu mtu..

Mimi huo mwaka nilikuwa bado sijaletwa hata kwenye hii dunia yenu ya kina chief HANGAYA.

Bora hata ningezaliwa Uswiz huko kuliko kwenye nchi masikin hizi zilijaa viongozi wachumia tumbo na walafi wa madaraka.
 
Wengine wakitia nia wanafukuzwa. Huyu ndiye rais wa kwanza toka kuumbwa kwa nchi hii kutangaza kugombea akiwa hajamaliza hata mwaka uongozini
 

Amenogewa. Madaraka Matamu:

Tupiganie Katiba Mpya: Madaraka Matamu Wachonga Mzinga ni kama Wote

Pana haja ya kupanua wigo kumsimamisha mtu huyu.

Kwani chakubanga naye anasema je?
 
Kwani yule bedui alivyotaka urais wa milele alijua Mungu ni mjomba wake, acheni gubu nyie wapumbavu.
 
Chief Hangaya anawapa matumbo joto tu wapinzani wake, kwa hii miezi mingapi tu unamuona kabisa hadi nuru yake aliyokuwa nayo awali ishaanza kupotea.

Pole kwa kazi MAMA. [emoji484]
Mitano tena.
Kazi anayo - tena pevu!
 
Mlikuwa mnacopy mikutano ya Lowasa ya mwaka 2015. Kawadanganye wasiojitambua. Upinzani nchi hii hakuna. CCM itaongoza nchi had I 2050.
 
Ukiona unaota ndoto za mchana kila wakati ujue karibu utakuwa chizi.
 
Mbowe si wa kuongoza nchi hii. Labda nchi ya KUFIKIRIKA
Hangaya Fanya mipango labda Mbowe Umsweke ndani daima..ila kama atashinda mapema tu mwaka huu wali utajuta kufika hio2025 pia wanawake wenyewe hawakukubali huku mtaani wewe uwe Rais labda hao kina JOKATE wanaotaka ulaji tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…