Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Hapana tusianze kuchanganya issues sasa hivi! Kwanza muda wenyewe bado na hakuna atakaye thubutu kusema anautaka Urais 2025? Labda Januari, huyu anaweza kusema ili wafadhili wake wakae mkao wa kutayarisha mapesa, lakini kwa akina mama hakuna! Turudi kwenye hoja, nadhani Katiba inamruhusu Rais SSH kugombea kwani hajawahi kuwa mgombea wa URAIS na kushinda, kama alivyosema yeye mwenyewe hii ya kwake ya sasa hivi ni kwa kudra ya Mwenyezi Mungu, muhula wake wa kugombea utaanza 2025! Au wewe unaonaje!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…