Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee hicho kifungu kinacho sema hilo.Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Weka hapa hicho kifungu cha katiba acha kuweweseka kama mgonjwa wa malariaLakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
unazungumzia katiba ipi Satan?Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Ebu weka hicho kifungu cha katiba kinachomzuia kugombea.Lakini katiba haimpi nafasi ya kugombea. Labda aibadili.
Hii nchi hii daahRais Samia Suluhu amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Ni vijembe watu wa pwani si unawajuaNdio anajipigia prom hivyo
Ni haki yake ya kikatiba ila tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi wa 2025.Hayo ameyasema leo akizungumza na wanawake
Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amesema hayo akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani DIAMOND JUBILEE Dodoma kwa kusema wanawake hao wanapaswa kusimika Rais kwa kumchagua na yeye amesema mwaka 2025 ndio mwaka ambao Rais wa kike atachaguliwa.
Amesema hayo baada ya kurejea kwamba Rais mwanamke aliyepo kwa sasa ni kwa kudura za mwenyezi Mungu na matakwa ya katiba.
Hivyo mwaka 2025 wanawake wajitafakari na kuweka/kusimika Rais wa kike.