Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Hakuna cha mitano tena wala nini yeye amalize urithi wake asepe akacheze na wajukuu ufukweni huko!!!..Hatutaki tena raisi mwanamke kwenye nchii hii,Raisi unashindwa kuwa na maamuzi binafsi yaani unapangiwa cha kufanya mpaka raia wanashtukia mchezo mzima..Tunataka raisi mwenye misimamo wa kariba ya Magufuli(RIP)
 
"Sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka madarakani mwaka 2025, wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama nani kawaambia?"

SikuYaDemokrasiaDuniani
 
Hii nchi hii daah
 
Ni haki yake ya kikatiba ila tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi wa 2025.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…