Mimi Mtanzania ndugu yangu.Wewe ni Mzanzibari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Mtanzania ndugu yangu.Wewe ni Mzanzibari?
Alipelekwa tu na nyerere hukoKwanza na mwinyi sio mzanzibari, alipwlejwa tu kutawala huko na nyerere. Ni mtanganyika wa mkuranga
1:Sukuma gang ndiyo mwiba mkali sana kwake.Kusema kweli nami naona makundi ndani ya ccm huyu mama hataweza kabisa kushindana nayo kutokana na aina ya watu anaoegemea nao! Tena wengi wao ni wanafiki wakubwa kwake
Yaani 2025 atajua hajui yani. Tunamchinja kobe kuanzia kwenye gamba hadi ndaniKusema kweli nami naona makundi ndani ya ccm huyu mama hataweza kabisa kushindana nayo kutokana na aina ya watu anaoegemea nao! Tena wengi wao ni wanafiki wakubwa kwake
Na tumempania kweri kweri1:Sukuma gang ndiyo mwiba mkali sana kwake.
Naona kweeeeriiii mmesha maliza kazi.Na tumempania kweri kweri
Ajiendae kuitwa raisi mstaafu😂😂😂Naona kweeeeriiii mmesha maliza kazi.
Au nasema uongo ndugu zanguuuu!!!!
Huyu AMEHONGWA u-rc hivi karibuni, naona ndio tatizo.Kujua kuandika majina ya watu wakati kichwani kwako ni kihiyo itakusaidia nini wew libashite? Sisi tunazingumzia hoja nzito za nchi wew Kibwetele unaleta kihoja Cha kujua kuandika majina ya watu. Acha kufikir kwa kutumia Makalio.
Yaani atafanyiwa "surprise" ambayo hatakaa aisahau kamwe, wewe muache tu aipotezee KATIBA MPYA. Atajua hajui huko mbeleni.Ajiendae kuitwa raisi mstaafu😂😂😂
Rekebisha kidogo hapo Mkuu, waligombea (Dr. Salim, Dr. Gharib, Jaji Augustine n.k) lakini hawakupitishwa na chama chetu. Walitupiliwa mbali huko kama maamuzi ya HOVYO ya ma- Jaji wa kesi dhidi ya Mh. Mbowe.Kuna KATIBA za kuandikwa na KATIBA zisizo andikwa ndugu jitahidi kujiongezea elimu. Ndio maana hujaona ilipo andikwa kumzuia Mzanzibari kugombea urais wa Tanganyika lakini hawajagombea toka Mkapa, Kikwete hadi Magufuli hujiulizi kwani hawakuwepo wakina Samia? Sijui wanipata uzuri wewe kijana toka makunduchi?
Angekuwa na Akili angehangaika na KATIBA mpya badala ya kuwafunga magerezani Watanganyika akina Mbowe huku akitumia janja kuwaachia WAZANZIBARI wenzake ndugu zake wa damu mashehe wa uamsho. Anafikiria sisi ni majuha tusijue kuwa alimwachia mdude ili kuweka ghiriba watu wasijadili kuachiwa Wanzanzibari wenzake.Yaani atafanyiwa "surprise" ambayo hatakaa aisahau kamwe, wewe muache tu aipotezee KATIBA MPYA. Atajua hajui huko mbeleni.
Mimi Mtanzania ndugu yangu.
Wewe mwache aendelee KUSHUPAZA SHINGO dhidi ya katiba mpya, mambo ni magumu kote kote.Yaani 2025 atajua hajui yani. Tunamchinja kobe kuanzia kwenye gamba hadi ndani
Hakuna logic basi ya Muungano. Muungano haupo 100%Hii ya sehemu ya Tanzania munaisema nyinyi lkn Zanzibar haiko. Zanzibar ni moja ya nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Atuletee katiba mpya tuta muunga kwa mikono na miguuRais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Madaraka matamu hasa kwa viongozi wa kiafrika.Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.
"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana
Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.
Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.
Alisema Rais Samia Suluhu
Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.
Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Tayari vishaumana pale lumumba.Ajiendae kuitwa raisi mstaafu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo haina ubishi kabisaMadaraka matamu hasa kwa viongozi wa kiafrika.