Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

Kujua kuandika majina ya watu wakati kichwani kwako ni kihiyo itakusaidia nini wew libashite? Sisi tunazingumzia hoja nzito za nchi wew Kibwetele unaleta kihoja Cha kujua kuandika majina ya watu. Acha kufikir kwa kutumia Makalio.
Huyu AMEHONGWA u-rc hivi karibuni, naona ndio tatizo.
 
Kuna KATIBA za kuandikwa na KATIBA zisizo andikwa ndugu jitahidi kujiongezea elimu. Ndio maana hujaona ilipo andikwa kumzuia Mzanzibari kugombea urais wa Tanganyika lakini hawajagombea toka Mkapa, Kikwete hadi Magufuli hujiulizi kwani hawakuwepo wakina Samia? Sijui wanipata uzuri wewe kijana toka makunduchi?
Rekebisha kidogo hapo Mkuu, waligombea (Dr. Salim, Dr. Gharib, Jaji Augustine n.k) lakini hawakupitishwa na chama chetu. Walitupiliwa mbali huko kama maamuzi ya HOVYO ya ma- Jaji wa kesi dhidi ya Mh. Mbowe.
 
Yaani atafanyiwa "surprise" ambayo hatakaa aisahau kamwe, wewe muache tu aipotezee KATIBA MPYA. Atajua hajui huko mbeleni.
Angekuwa na Akili angehangaika na KATIBA mpya badala ya kuwafunga magerezani Watanganyika akina Mbowe huku akitumia janja kuwaachia WAZANZIBARI wenzake ndugu zake wa damu mashehe wa uamsho. Anafikiria sisi ni majuha tusijue kuwa alimwachia mdude ili kuweka ghiriba watu wasijadili kuachiwa Wanzanzibari wenzake.
 
Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.

"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana

Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.

Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.


Alisema Rais Samia Suluhu


Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.

Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Atuletee katiba mpya tuta muunga kwa mikono na miguu
 
Rais Samia Suluhu Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani Mkoani Dar amesema wanawake bado hawajamuweka Rais mwanamke bali aliyekuwepo amepatikana kwa kudra ya Mungu na matakwa ya katiba. Amesema walichofanikiwa wanawake ni kusukuma mpaka kumpata makamu wa Rais mwanamke.

"Kufika hapa, kama isingekuwa kudra ya Mungu ingekuwa ngumu sana, sasa ndugu zangu Rais mwanamke tutamuweka 2025. Mwaka 2025 tukifanya vitu vyetu vizuri, tukishikamana, tukimuweka Rais wetu, tutakutana hapa kwa furaha kubwa sana

Wameanza kutuchokoza kuandika kwenye vigazeti kwamba Samia hatasimama, nani kawaambia? Wanawake oyee. Fadhila za mwenyezi Mungu zikija mikononi mwako usiziachie.

Wanawake wamefanya kazi kubwa kuleta uhuru wa nchi hii, Wanawake tumefanya kazi kubwa kujenga siasa za nchi hii, tumebeba sana wanaume katika siasa za nchi hii, leo Mungu ametupa baraka mikononi, tukiiachia Mungu atatulaani.


Alisema Rais Samia Suluhu


Mengineyo, Rais Samia amesema ataendeleza mema yote katika awamu zote na watajitahidi kuongeza mema mengine.

Kuhusu usawa wa jinsia amesema hawajafika lakini wanawake wataendelea kuongezeka kwani asipofanya yeye hakuna ambae atafanya.
Madaraka matamu hasa kwa viongozi wa kiafrika.
 
Back
Top Bottom