Rais Samia, Wananchi hatutaki madalali wa kisiasa kuingilia ujenzi wa reli ya SGR, tunataka plan ya Hayati Magufuli iheshimiwe kwenye SGR

Huyo Chige ni kati ya watu waliokuja ghafla kutetea mradi wa wachina wa bandari ya Bagamoyo muda mfupi baada ya Magufuli kufa. Ana maslahi flani na hao wazalendo waliotajwa. Kwenye thread ile nilimuambia "watanzania hawajasahau ...."
Mwangalieni huyu!!

FYI, nimeanza kuzungumzia mradi wa Bandari ya Bagamoyo tangu JPM akiwa hai kwahiyo ni kiroja kusema eti mimi ni kati ya watu "waliokuja ghafla" kutetea mradi muda mfupi mbaada ya JPM kufa!!
Hivyo nilitegemea atakuja kwa kasi kutetea upigaji huo unaotaka kufanywa kwenye SGR.
Ilikuwa lazima afanye hivyo sababu makala ya gazeti la Jamhuri imeponda uhuni wa mradi wa bandari ya Bagamoyo kwa kuwahusisha wapigaji hao wanaojiita wazalendo.
Hivi unaonaje ungejadili hoja niliyoweka badala ya kunijadili mimi? Are you this low?!!

Unaonaje ukianza na hoja ya wapi mmepata figure ya 14.2 Billion/kilometer wakati mamlaka zilisema 2560km zingejengwa kwa USD7.6 Billion>

Tuanze hapo kwanza....
 
Mnapenda sana kujitetea, but we know what was there by then, hatudanganyiki...The history betrays you...Kwa mara nyingine tena neno ufisasi limerudi kwenye midomo ya watanzania, ask yourself why?
 
Acheni hizo, we know you better!
 
Ji
Jinga kabisa wewe, unajifanya huijui tanzania?
Ni mala ngapi miladi inabadilika bei tofauti za mikataba ya kwanza,
Sema kama na wewe.unataka kupata hilo gawio.
Bila magufuli kukataa hizo ghalama si ungejengwa wakati hao wataalamu unaowasema waliupisha mwanzo?
 
Japo alikuwa na mabaya mengi zaidi ikiwemo vikundi vya watu wasiojulikana, lakini yale mazuri yake tunataka yaheshimiwe
Kosa lake kubwa; plani zake nyingi zilikuwa hazijulikani kwa yeyote. Hakutaka kutumia taratibu zilizowekwa na Bunge kuendesha nchi!
Kwa kuwa alikuwa muovu alihisi watu wengine nao walikuwa waovu maradufu!
Ukiwa kiongozi elewesha watu kwa Uwazi wajue nini kinafanyikaje ili uondokapo mradi usijue umeondoka!
 
Porojo za kitoto,weka miradi iliyobadilika bei hapa
 
Unapoona polepole anapigwa ubapa, fikiri zaidi!!

Unadhani polepole kaishiwa kiasi hiko?
 
Tofauti ni electrification na Locomotive Speed capacity ambayo hiyo reli inaweza kuaccomodate.

By all standards, SGR ya JPM ni ya viwango vya Juu kuliko aina ya SGR ambayo Kikwete alikuwa anataka.

Kwa hiyo sisi tunakwenda na Hayati kwenye SGR, hatutaki kusikia plan yake ikichezewachezewa
 
Mnapenda sana kujitetea, but we know what was there by then, hatudanganyiki...The history betrays you...Kwa mara nyingine tena neno ufisasi limerudi kwenye midomo ya watanzania, ask yourself why?
Kama alikuwa msafi kwanini alikataa kukaguliwa, SGR ,bwawa la umeme ,Tanesco n.k yote haya mashirika hayajafanyiwa ukaguzi... halafu mnabaki kusifia tu.
 
Wewe uwezo wako wa kufikili ni mdogo Sana Wala Rais hajachafuliwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siwezi kua na uhakika na usahihi wa kile kilichoelezwa. Ila jambo moja la uhakika ni juu ya wapigaji kutafuta mwanya maana kwa magufuli aliwabana roho hadi kupindukia. Jambo muhimu mama samia japo hana ujuzi kama shujaa magufuli afuate model ya magufuli maana walaji wana moyo mpya na wamemzunguka. Wanafanya kila hila awachukie makomrade waliyoaminiwa na magufuli ili waweze kupenyesha mirija yao kuibia taifa. Akifuata magufulists na kuwaamini mradi wa reli utamalizika bila fisadi kuongeza gharama mara mbili au hata tatu kuibia nchi yetu.
 
Pengine humjui mama Samia vizuri, tutaacha lini kuwaamini Hawa viongozi wa CCM?
 
Kumbe unawajua!
 
Mimi Kama Mtanzania ambaye naishi maisha magumu lakini nataka nchi yangu iendeleee kimaendeleo naumia sana kusikia ufisadi Tanzania unarudi kwa kasi sana Tanzania.Inauma roho jamani kusikia watu wataweka tirrioni 02 mfukoni inauma roho sana aseee.
 
Habau wee upo less informed amna atakayekujengea reli ya umeme kww hiyo pesa mchina alitaka kujenga kama ile ya Kenya hata kikweta alisema hilo wew unashupa shingo tu
 
Design ya SGR ya Magufuli ni bora kuliko design ya SGR ya Kikwete. Huo ndiyo ukweli.
Sasa kujaribu kuturudisha kwenye SGR dizaini ya kizamani wakati JPM alikuja na kitu kizuri zaidi "electrified" hatuwezi kukubali
Watu mnapopoma tu bila kufikiri.Magufuli ndio alikuwa sterling wa kusimamia michakato yote ya ujenzi wa Reli ya kisasa na baada ya kujifunza SGR ya kenya ndipo Tanzania ikaja kivingine kabisa,nakumbuka pale jangwani wakati wa kampeni za kumnadai Magufuli,Kikwete akiwa Rais alisema wameenza Mpango wa kujenga Reli ya kisasa na akeenda mbali kusema chini ya Magufuli anaamini mpango huo utafanikiwa.Magufuli naye akaahidi.Immediately alipoapishwa mipango ikaanza, kwa kinywa chake Magufuli baada ya kukutana na Rais wa Uturuki Magufuli akasema walikuwa wameomba kwa ajili ya Ujenzi wa SGR ikiwemo bank ya EXIM CHINA, lakini wamepewa masharti magumu kuwa kila kitu kitoke china,ndipo wakaamua kuongea na waturuki na akamwahidi Rais wa Uturuki kuwa kampuni za kituruki zitapewa kipaumbele kwa Rais wa Uturuki amonesha kuunga mkono.Na ikumbukwe Rais wa uturuki alikuja bongo kuchochea machakato.Hivyo hayo ya kusema SGR ya magufuli ni bora kuliko ya kikwete ni ujuha tu kikwete hadi anaondoka hakuwa ameanza mradi SGR ili ikuwa ni ahadi iliyokuja kuchochewa sana na ile COALITION OF THE WILLING" Kenya,Uganda na Rwanda.
 
Labda hujui kuwa Samwel Sitta wakati huo akiwa waziri mwenye dhamana ya mambo ya usafirishaji kipindi cha JK alishaanza mchakato wa ujenzi wa hiyo reli, Kikwete akamzuia, akasema Wangoje rais mpya afanye hiyo kazi.

Kikwete mwenyewe alipokuwa kwenye trip ya kuangalia ujenzi wa SGR alisema kuwa mpango wao wa awali wa SGR Magufuli aliuboresha kwa kuifanya iweze kuaccomodate locomotives zinazotumia umeme
 
kumbe unakubaliana na mimi kua Kikwete aliucha mchakato na hakuanza mradi.
 
Kama habari ni za kweli,uwezekano Mkubwa wa atakayejaribu kuzuia matakwa ya wale wanaotaka kule hizo trilioni kadhaa za reli,hakika nahisi kupotezwa kwake.Hela nyingi sana hizo,damu inaweza ikamwagika.
Yes.

Up to all hilo ndilo linaweza kutokea.
Nimeona ndg Kadogosa amejibu kiutu uzima, amefaham hapo kuna watu wanataka pesa na akajibu akijua yeye hawezi kuwazuia ila yupo kumsaidia Rais.

Tatizo Rais mwenyewe haeleweki kwenye issue sensitive kama hii, unaweza kudhani yupo na wananchi kumbe 😳!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…