Pre GE2025 Rais Samia: Wananchi muache kuwachagua wanaowapa khanga na hongo hao sio wawajibikaji

Pre GE2025 Rais Samia: Wananchi muache kuwachagua wanaowapa khanga na hongo hao sio wawajibikaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni 99.9% hawakubaliki
So Avunje Bunge tu otherwise ni parapanda tu
Umefanya lini tafiti? Mbona niliko wanakubaliaka? By the way watashindana ndani ya chama watakaoshinda kura za maoni ndio hao watapitishwa ila tuu wawe wanakubaliaka Kwa Wananchi.
 
Na sisi tutamchuja samia akae kando aendelee na kazi yake ya usekretari.

Tutamuweka Makonda akalie kiti cha enzi.
 
Wewe ni mpiga kura wa Kisesa au Nzega vijijini kuwasemea kuwa hawakubaliki au ni chuki binafsi tu?

In all fairness, hata yeye tumchuje tu.
 
Mbona anajiami na Katibu Mkuu wake kuwa fomu itakuwa moja,atoe nyingi aone.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Haina haja ya nyingi Kwa sababu utaratibu wa Chama unajulikana ,Sasa nyingi za nini wakati hakuna aliyejitokeza kushindana nae hadharani?

Pili Kwa nini 2020 mlichapisha fomu 1 ya Mwendazake?
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine 👇

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Tuanze na yeye hafai kuwa hata kiongozi wa kikundi cha wacheza ngoma harusini
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine 👇

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Mwakilishi wa viti maalum ajenga kituo cha wajasiriamali na awanunulia cherehani, basi yatosha!

Hivyo huyo uchaguzi ujao kapita.

CCM, Mungu awaangaza kila kona.
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine 👇

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
3. Bashiru ali kakurwa
4.Job Yustino Ndugai
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine 👇

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Huyu ndo.anatakiwa kuwa wa kwanza kwenye mchujo

Na kwa nini amekataa anataka kadi ya ugombea iwe moja?

Haoni kwamba anajiabisha anapozungumzia wengine kuchujwa
 
Mbunge mchimbaji mdogo wa madini mwenye leseni za uchimbaji PML 's zaidi ya 120 .KULE JIMBO LA HAI, MAMA MKUMBUKE WAKATI HUO UKIFIKA.

Sheria inasemaje huko tume ya madini kuhusu idadi ya kumiliki leseni PML zaidi ya 120 mtu mmoja na haziendelezwi?

TISS fuatilieni mbunge huyo! Pia amejificha nyuma ya Doto kisa walisoma wote huko SAUTI MWANZA.
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine [emoji116]

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
January Makamba - Bumbuli tangu 2010 hakuna jipya
 
Wakuu habari zenu.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.

Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.

Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine 👇

1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine

My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.

============

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake

Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma

Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota

Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao

Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho

Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Ongezea Samia hapo kazi kweka matozo tuu Kila sehem mpaka sukari hainunuliki sasa
 
Back
Top Bottom