Wewe umepimaje kuwa Kigwangalla na Mpina hawawajibiki kwa Wananchi waliowachagua?Unapimaje huo uwezo wake wa kiutendaji? Au unatumia Kipimo Cha chuki binafsi? Thibitisha hapa
Umefanya lini tafiti? Mbona niliko wanakubaliaka? By the way watashindana ndani ya chama watakaoshinda kura za maoni ndio hao watapitishwa ila tuu wawe wanakubaliaka Kwa Wananchi.Ni 99.9% hawakubaliki
So Avunje Bunge tu otherwise ni parapanda tu
Zitoke fomu zaidi ya moja kama atatoboa!Mgongo gani wa JPM? Kwani 2025 utajitosa wewe au Samia?
Kwa nini mlichapisha fomu 1 ya Magu 2020?
Nyie mtamchujia wapi? Yaani chunio lenu liko wapi?Na sisi tutamchuja samia akae kando aendelee na kazi yake ya usekretari.
Tutamuweka Makonda akalie kiti cha enzi.
Mbona anajiami na Katibu Mkuu wake kuwa fomu itakuwa moja,atoe nyingi aone.Jitokezeni Sasa hadharani mshindane nae kwenye mchujo wa Chama mbonanaongelea kwenye corridor? [emoji23][emoji23]
Haina haja ya nyingi Kwa sababu utaratibu wa Chama unajulikana ,Sasa nyingi za nini wakati hakuna aliyejitokeza kushindana nae hadharani?Mbona anajiami na Katibu Mkuu wake kuwa fomu itakuwa moja,atoe nyingi aone.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
NdioWewe ni mpiga kura wa Kisesa au Nzega vijijini kuwasemea kuwa hawakubaliki au ni chuki binafsi tu?
In all fairness, hata yeye tumchuje tu.
Tuanze na yeye hafai kuwa hata kiongozi wa kikundi cha wacheza ngoma harusiniWakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine π
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Ndio ni jibu gani, unakuwa na ujinga mwingi ukiweka uCCM, unajitoa akili na kutumia masaburi all the time.Ndio
Liko zenji.Nyie mtamchujia wapi? Yaani chunio lenu liko wapi?
Mwakilishi wa viti maalum ajenga kituo cha wajasiriamali na awanunulia cherehani, basi yatosha!Wakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine π
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
3. Bashiru ali kakurwaWakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine π
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Huyu ndo.anatakiwa kuwa wa kwanza kwenye mchujoWakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine π
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
January Makamba - Bumbuli tangu 2010 hakuna jipyaWakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine [emoji116]
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Ongezea Samia hapo kazi kweka matozo tuu Kila sehem mpaka sukari hainunuliki sasaWakuu habari zenu.
Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT Samia SH amesema Chama hicho kikubwa na makini kitawachuja na kuwaengua Wabunge wote ambao hawawanibiki Kwa Wapiga kura wao na wanaosababisha chama kupakwa matope.
Kwa mustakabali wa CCM na Taifa ni vyema tumsaidie Mwenyekiti kuwataja Wabunge ambao hawawajibiki Kwa Wananchi na chama Chao.
Listi Inaanza na Hawa,unaweza ongeza na wengine π
1. Luhaga Mpina (Kisesa)
2. Hammis Kigwangala (Nzega Vijijini)
3...
Unaweza ongeza na wengine
My Take: Hakuna Ubunge wa Mseleleko 2025.
============
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema chama hicho kitawapima viongozi wao wakiwemo wabunge, wawakilishi na Madiwani kutokana na utendaji kazi wao kama ambavyo ilani ya CCM ilivyoahidi kuwaletea maendeleo wananchi wake
Rais Dkt. Samia ameeleza hayo wakati akizundua kituo cha wajasiriamali kilichopo Mahonda Mkoa wa Kaskazini Unguja kilichojengwa na Mwakilishi wa viti Maalum UWT kupitia Mkoa huo na Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na watoto Riziki Pembe Juma
Akiwa katika eneo hilo Dkt Samia amewataka wana-CCM kuwachagua viongozi wanaowajibika na kuacha kurubuniwa kwa kanga na fedha huku shughuli za maendeleo zikizorota
Amesema chama hicho kitataka kupata tathmini na kujionea juu ya hatua za maendeleo zilizofanywa na viongozi hao
Akiyataja mafanikio yatakayopatikana katika kituo hicho cha Wajasiriamali ni pamoja na kuwawezesha wananchi kiuchumi kupata shughuli rasmi ya kujiingizia kipato huku akiahidi kuongeza idadi ya Cherehani kwaajili ya kuendeleza harakati za kituo hicho
Dkt. Samia amehitimisha ziara yake leo katika mkoa wa Kaskazini Unguja ambapo kesho atamalizia ziara hiyo katika mkoa wa Kusini Unguja, Mjini na Magharib
Tozo na sukari vinahusikaje? Matajiri ndio wanalipwa Kodi wewe njaa Kali inalipa Kodi gani Hadi utiliwe maanani?Ongezea Samia hapo kazi kweka matozo tuu Kila sehem mpaka sukari hainunuliki sasa