Pre GE2025 Rais Samia: Wananchi muache kuwachagua wanaowapa khanga na hongo hao sio wawajibikaji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Choice Variable.....nakuheshimu wewe ni kijani mwenzangu lakini hapo kwa LUHAGA MPINA unazinguq
Kura za maoni zitaamua.Kama anakubalika jimboni ila hayuko royal kwenye chama Kwa nini asihamie upande wa pili si atachagulowa tuu?
 
Si aruhusu aone iwapo atabaki...!
Nakushangaa aruhusu nini? Wewe umewahi msikia mwana CCM yeyeote akitamka hadharani kwamba anataka kupimana na Samia? Wote wanasema mama anatosha Sasa ruhusa ya nini unayotaka wewe?

Nimekuuliza mlichapisha fomu 1 mwaka 2020 Kwa Ajili ya Jiwe Kwa nini? Membe alijitokeza hadharani kupingana na Mwendazake na nyie jitokezeni kupingana na Samia shida nini?
 
Naunga Mkono hoja. Pia Labda utaratibu wa kulambisha wajumbe asali ubadilike!!!
Ndio maana ya kuwa na Mwenyekiti.Siku hizi wajumbe wanalamba asali na hawakuchagui.

Mwenyekiti atafyeka wote ambao hawakubaliki bila kujalisha walishinda Kwa asali
 
Mwaka 2015 JPM alipigiwa kura na Halmashauri kuu ya CCM pamoja na wagombea wengine watano akiwemo Membe, J. Makamba, Asha Rose Migiro, na Amina salum akashinda.

Baadaye akiwa na wagombea wengine watatu yaan JPM, ASHANA AMINA wakapigiwa kura na mkutano mkuu wa CCM Magufuli akashinda
Je Samia amewahi Kushindanishwa na nani nafasi ya urais ndani ya CCM na akashinda ?
 
No,kwani Lazima mwenye mtazamo tofauti atoke upande wa pili. MPINA wahuni ndani ya chama wanamhujumu
Hana staha Huwa anafanya ukosoaji kama ugomvi,kuna wengi wanakosoa kama Gachuma,Mbunge wa Makete,Yule wa Sengerema nk

Wako wengi wanawasha moto sana ila Mpina ana nongwa.
 
Na Mimi nimesema watu wajitokeze hadharani wachukue fomu kama wanaweza mshinda Samia ila Kwa kuwa wako kimya manake wanakubali mama anatosha zaidi ya kutosha.

Kwani mnaogopa nini? 😂😂😁😁

Ukimya wenu manake mumejipima mkaona msisumbue watu mama ni Moja kwa Moja Hadi 2030 pale ni fungulia mbwa 😆😆
 
Yeye mwenyewe anatakiwa achujwe.
 
Kwa mara nyingine mods wamebadili heading.Hovyo kabisa

View: https://www.instagram.com/reel/C2Rw5L7qnib/?igsh=NnhvNm1iamdudmZn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…